Hivi inawezekanaje mtu ashindane na usingizi? Eti hata iweje silali... Inawezekana kweli?
 
KATAA NDOAA KAMA UMEOA MCHUNGE MKEO
Kukataa ndoa kwangu ni kumfanya BWANA MKUBWA aliyeniumba kuwa mwongo aliposema mke ni msaidizi Wangu, na akasema Ndoa na iheshimiwe na watu wote...

Naamini hata Sodoma na Gomora kulikuwa na movement Kama hizi zenu...

Kwenu ni rahisi kuwaambia watu wakatae ndoa kuliko kuwaambia WATUBU DHAMBI, wamrudie MUNGU.
 
Nimekuelewa lakin kwa dunia hii ya sasa ndoa zimekua mapicha picha sana tofauti na zamani miaka ya wazee wetu
 
Kijana wa kiume umekomaa kataa ndoa unawaonea wivu wanawake? hii movement ya kataa ndoa ina elements za LGBT movement chunguzeni kwa umakini
 
Mkuu siku ikatokea nimebananishwa kuliko nipakwe mafuta nitajiua chap kama wasamarai.

Utajiua vipi wakati uko chini ya ulinzi mkali. Hapo lazima utatoa tu 😆😄😄na ndio malipo ya kuchukua wake za watu.
 
Mwaka huu wataelewa dadek kutoka ile general (kataa ndoa ) mpaka kataa cheti cha ndoa mpaka watuelewe
 
Umeua baba naomba uzi ufungwe
 
WAKATI WATU WA DUNIA WANAPAMBANIA USHOGA IWEJE SISI TUSHINDWE KUKATAA CHETI CHA NDOA ???? GUYS TUONGEZE BIDIII ...
#Kataa cheti cha ndoa
 
Hii kampeni imenirahisishia utafiti wangu kuhusu ndoa na kuoa asee mimi nasema hivi ndoa ni ushenzi, unyonyaji, nk ila kuoa ni jambo jema. Km kuna mtu anabisha basi ani PM nimjuze machache kati ya mengi
 
UNA MNUNULIA ZAWADI, UNA GHARAMIA MIHITAJI YAKE YOTE, UNAJARIBU KUTOA ULINZI NA KUFANAYA MWENYE FURAHA. YOTE HI UNAFANYA KWA AJILI YA KUMUONYESA UNAVYO MPENDA.
YOTE HAYA KWA MALIPO YA UNYUMBA TU! KUFANYA MATUSI TU ! BAASI!!!

[emoji23][emoji23][emoji23]
 
waliotengeneza vyeti vya ndoa hasa hv wanatengeneza vyeti vya ndoa ya jinsia moja je wanaumin wa ndoa mpo tayar kusaini na hizo ndoa za jinsia moja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…