Sharamdala
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 3,558
- 6,538
Mke here, mke there, mke everywhere 🤣🤣🤣Imagine yesu angekua na mke. Biblia ingekua na page ngapi?
1000000000pgs
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mke here, mke there, mke everywhere 🤣🤣🤣Imagine yesu angekua na mke. Biblia ingekua na page ngapi?
Besides kama Yesu angeoa, angekuwa distracted kutoka kwa kilichomleta, kukomboa jamii ya wanadamu kutoka kwenye dhambi na kifo.Imagine yesu angekua na mke. Biblia ingekua na page ngapi?
Kwanza mtu yeyote anayepinga ndoa awe mwanamke au mwanaume basi huyo ni wakala wa shetani hilo halina mjadala.
Mtu yeyote akikwambia eti usioe au usiolewe hata kama ni rafiki yako au ndugu yako basi kuanzia siku hiyo mhesabu kama shetani na adui wa maisha yako kwa sababu mtu anaye kushauri kuwa usioe au usiolewe ina maana ana kushauri kuwa mzinzi na ukisha kuwa mzinzi tiyari ww ni adui wa Mungu.
Ukitaka kuishi maisha yanayo mpendeza mungu ndoa haiepukiki maana mbadala wa ndoa ni uzinzi kwa sababu binadamu hauwezi kuishi bila kufanya ngono.
Kuoa ni dhihirisho la mamlaka ya mwanaume hapa duniani sasa ww mwanaume unaanzaje kukataa kuowa?
Watu wana sema eti ndoa za siku hizi ni pasua kichwa lakini ukichunguza ni zimekuwa pasua kichwa kwasabau jamii imeendekeza uzinzi ,matatizo mengi ndani ya ndoa kwa sasa haya sababishwi na kingine zaidi ya wanandoa kuendekeza uzinzi hata wawapo ndani ya ndoa, ni mara chache kukuta ndoa ina mgogoro inayo husiana na Mambo mengine nje ya wanandoa kutuhumiana juu ya usariti ndani ya ndoa.
Halafu kingine matatizo hayapo kwenye mahusiano ya kindoa tu hata huko kwenye mahusiano yenu ya kinzinzi yamejaa tele. Kwani mara ngapi hapa tumesikia vijana wanajiuwa kisa kuachwa na mademu zao? au mbona kuna vijana kibao wanauwa mademu zao kisa amegundua ana mwanaume mwingine? ina maana pia hata kwenye mahusiano yasiyo ya kindoa bado uzinzi ni tatizo? Kiufupi uzinzi ni sumu kwenye mahusiano yeyote yale.
Kwa maelezo yangu utagundua kuwa uzinzi ndo saratani ndani ya jamii yetu na si ndoa, ina maana jamii yetu ikiamuwa kudhibiti na kuacha kuhusudu uzinzi wa kiholela basi kwa kiasi kikubwa migogoro ndani ya ndoa itapungua sana.
Haya ni baadhi ya madhara ya jamii kuendekeza uzinzi.
(1)Kumeleta rundo la watoto wasio na baba.
(2)Umeshabisha rundo la single mother mitaani.
(3)Umeshababisha rundo la magonjwa ya ajabu ajabu.
(4)Umeshababisha kiwango cha kuheshimiana ndani ya jamii kimeshuka.
(4)Umeshabisha migogoro kwenye ndoa na kusababisha watoto kuteseka hasa baada ya wanandoa kuachana kwa sababu ya uzinzi.
Usikatae ndoa bali kataa uzinzi.
Kataa uzinzi, kataa uzinzi, kataa uzinzi.
umetisha 😂😂😂😂😂😂well said, huu ni zaidi ya ujambazi
soma hapo mstari wa pili ulioandikaKwamba ni wakala wa shetani sio Kweli.
1 Wakorintho 7:8
[8]Lakini nawaambia wale wasiooa bado, na wajane, Ni heri wakae kama mimi nilivyo.
1 Wakorintho 7:9
[9]Lakini ikiwa hawawezi kujizuia, na waoe; maana ni afadhali kuoa kuliko kuwaka tamaa.
Hivyo maandiko yameruhusu pia kutokuoa.
Nimeuona huo mstari na nimeuelewa sana Palinasoma hapo mstari wa pili ulioandika
Mtume Paul nadhan alisemea usioa kama unaweza yashinda majaribu ya uzinzi
Nyie mnaendeza hizi kampeni za kataa kuoa meanwhile behind closed doors mnafanya ya kufanya yaan mnazini mtume Paul hakuwaongelea type yenu.
Kwahiyo mapadre Wa katoliki siyo wanaume kamili?Hoja ni watu wanao kataa ndoa kuwa ni pasua kichwa hali ya kuwa hata kwenye mahusiano yasiyo ya kindoa ni pasua kichwa hivyohivyo.
Mwanaume huwezi kukamilika kuitwa mwanaume kamili kama hujaoa hata kama ungekuwa na vimada 100.
Alafu kuhusu vijana kutofanya mapenzi mpaka pale watakapo owa inafatana na jamii husika ina mtazamo gani juu ya hili suala.
Wewe unasema kuwa vijana hawawezi kuvumilia kutofanya mapenzi mkapa watakapo owa huo mtazamo wako umetokana na aina ya jamii uliyo kulia na kukulea.
Lakini kuna jamii nyingi hasa za kiasia ambazo ni mwiko kufanya uzinzi kabla ya ndoa na watu wanaweza kuvumilia.
Barani Asia kuna jamii nyingi ambazo ili uolewe ni lazima uwe bikra.
Uzinzi anafanya mtu aliyeowa, mtu ambaye hajaowa hawezi kufanya uzinzi, tafuta tafsiri hamjui maandiko.soma hapo mstari wa pili ulioandika
Mtume Paul nadhan alisemea usioa kama unaweza yashinda majaribu ya uzinzi
Nyie mnaendeza hizi kampeni za kataa kuoa meanwhile behind closed doors mnafanya ya kufanya yaan mnazini mtume Paul hakuwaongelea type yenu.
Pia ni aibu kwa kwa familia yote unapopigwa matukio bila kurudisha au unapokuwa zuzu kwenye ndoaNdoa ni gereza ulilojihukumu bila kujua ila ni furaha na heshima kwa ndugu na jamaa.
Kazi kwisha. Naungana naTatizo la wanandoa kila mtu anaona kamzibiti mwenzake wakati kashindwa kujizibiti mwenyewe
Kataa ndoa, afya ya akili ni bora kuliko ndoaNimesoma vizuri kuanzia mwanzo mpaka mwisho ila nihitimishe kwa kusema KATAA