Mjadala kwa wanaokubali kuoa (Ndoa)
Vijana wanakwepa mahukumu mashoga ndio wanaosambaza hii kampeni ili wasikose watu wa kuwapiga mshedede
 
Zuhura alikataa kuolewa, wakati wake ulipofika kaolewa.

Ni suala la muda tu, ukifika hakuna pingamizi. Mungu HAKOSEI hata sekunde ndio sababu katuumba me na ke
 
Waendesha hiyo campaign are just fighting their own demons.

Ukichunguza no is forcing them to marry!!!
They're very free to do what they want,
You'd think marriage would be the last thing in their heads,

cha kushangaza mawazo ya ndoa hayawaishi kichwani wanalala nayo na kuamka nayo!!


Wana stress za ndoa!! They really want it but they can't have it for whatever reason, whether ni mapunga, mahanithi, ma jobless, ma rejects, ma mental cases, waathirika...

tuwahurumieni !
 
Bado wapinga ndoa sijaona sababu ya kujitoshelezwa. Natamani nipate mtu anipe sababu ya kueleweka
 
Huu ujinga wa vijana wa hovyo ambao hamtaki kuwa responsible na maisha ya familia ikiwa ni kutunza mke na watoto mnaosambaza humu mitandaoni ni upuuzi wa kiwango cha standard gauge.

Pia kuna kundi la vijana ambao sio riziki pia wanaojihusisha na maswala ya kugawa speaker aina ya "tweeter" naona hii kampeni wanaishabikia sana maana wanaona wingi wa wanawake ni threat kwa soko lao la mitarimbo.

Kama hujajipanga kiakili na kimkakati usije ukathubutu kuoa. Ndoa ni kwa watu strong mentally and physically fit. Wewe ukiwa unaona kabisa mwanamke atakuzidi ujanja basi kaa pembeni kimya na uache kulisha ujinga vijana waliojipanga kukabiliana na ndoa na kutengeneza familia na jamii bora.

Kama ishu ni mali kuna form huwa inajazwa kabla ya kufungishwa ndoa inayo state kama kuna mali zozote ambazo zinamilikiwa kabla ya ndoa.

Hakuna sababu ya kulia lia tafuta mali zako sajili kampuni ziandikie hizo mali za kampuni. Kisha ukioa muende mkaishi kwenye nyumba ya kampuni mbona ishu iko simple. Mwanasheria wako wa kampuni ndio atalinda mali zako kama hutaki mkeo ahusike nazo.

Kama hayo hapo juu yatakushinda basi una haki ya kutafta mashangazi kokote mjini ili uweze kujipatia huduma ya kuaminika bila kujiingiza kwenye mkataba wa ndoa. Acheni ujinga wa kupumbaza wenzenu.
I can feel your pain bro!

Enjoy life big man / happy wife happy life.
 
Waendesha hiyo campaign are just fighting their own demons.

Ukichunguza no is forcing them to marry!!!
They're very free to do what they want,
You'd think marriage would be the last thing in their heads,

cha kushangaza mawazo ya ndoa hayawaishi kichwani wanalala nayo na kuamka nayo!!


Wana stress za ndoa!! They really want it but they can't have it for whatever reason, whether ni mapunga, mahanithi, ma jobless, ma rejects, ma mental cases, waathirika...

tuwahurumieni !
i GUESS mlio kwenye ndoa mko happy sana kuliko mabaharia?
is this true?
 
When you're truly happy and at peace you won't care what your neighbor is doing,
You'll be busy swimming in bliss,
infact you'll be infecting people with your happiness without knowing.

Ndomana hutoona posts za watu kusifia mahusiano/ndoa zao,
Because they are living it in real time!

Haya madebe tupu sasa!!!!!!

The fact that y'all have to advertise you're happiness and compare your miserable lives to other miserable lives and see who is more miserable is alarming to an investigative mind!!!
 
Back
Top Bottom