Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukweli mchunguKwenye ndoa zenu kuna mitoto yetu.
huwa nashangaa sana hili jambo.Hivi mtu na akili zako timamu unaambiwa utoe 3mil upewe mwanamke
hivi zinakutosha kweli kichwan
Huwez kusema hivyo wakati visa vya mashoga wengi apa tz wapo kwenye ndoa mkuu ,fikiri kabla ya kunena.Vijana wanakwepa mahukumu mashoga ndio wanaosambaza hii kampeni ili wasikose watu wa kuwapiga mshedede
Inasikitisha sana kuwa na wanawake wa aina yakoNDOA NI MIPANGO YA KUMKWAMISHA MWANAUME
UNAENDA KAZN ANAGAWA MBUSUSU
USIKUTE KATAA NDOA NDO ANAMCHAKATA
Ukipata pesa nyingi sana utaona sababu gani watu wanapinga ndoa , ww tafuta pesa tu.Bado wapinga ndoa sijaona sababu ya kujitoshelezwa. Natamani nipate mtu anipe sababu ya kueleweka
halaf unaanza kumhudumiahuwa nashangaa sana hili jambo.
Inasikitisha mnoo..halaf unaanza kumhudumia
na familia yake pia
kitandani napo umkojoze atakavyo,
halaf mwisho wa siku anagongwa kwa chips
KAMA UMEMPATIA BAA, UNATEGEMEA NINI?NDOA NI MIPANGO YA KUMKWAMISHA MWANAUME
UNAENDA KAZN ANAGAWA MBUSUSU
USIKUTE KATAA NDOA NDO ANAMCHAKATA
Umeona eee!!!!Dhambi ya uzinzi tunaipa nguvu bila kujijua
Kiukwel hata mahusiano nae tu haifai maana utajikuta ameshakuingiza kwenye matumiz makubwaMwanamke akishakuwa na kipato ni hatari sana....Tena kinachozidi chako ujue umekwisha..
binafsi siwez kuoa mwanamke mtumish et tusaidizane maisha hapana au hata kuwa na mahusiano nae.
Matumizi hayazidi kipato, na kila ukiwa na kipata kikubwa basi jua na matumizi nayo yanaongezeka na kuwa makubwa.Kiukwel hata mahusiano nae tu haifai maana utajikuta ameshakuingiza kwenye matumiz makubwa
Fact.Kiukwel hata mahusiano nae tu haifai maana utajikuta ameshakuingiza kwenye matumiz makubwa
Kataa ndoa nimpango wa SAITAN asee.Ndoa ni mpango wa Mungu. Je kataa ndoa ni mpangonwa nani?
Aliemfanya Adam awe mume na Eva awe mke, huyo ndiye aliewafungisha ndoa Ada na Eva.Hivi hizi ndoa ni za nini? Nani aliyewafungisha ndoa Adam na Eva?