Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Hawa viumbe bila kuwapeleka kijeda umekwishaSafi sana, lazima ukaze ukilengeza tu umeisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa viumbe bila kuwapeleka kijeda umekwishaSafi sana, lazima ukaze ukilengeza tu umeisha
Ww ndo umeongea pointNi kweli, Wengi wanaotumia hashtags za "#kataa ndoa" ni mapunga, wanataka wanawake wasiolewe ili wao wapate wa kuwafira
Punga hiloooHapo sijaona hoja yako wewe mleta mada, swala ni kukataa ndoa na sio kukataa Kibwenye
Tofautisha ndoa na Kibwenye, ndoa ni utumwa yanini ujipe stress, hzo ajenda za upinde sema tu wewe mtoa mada ndo unaipush na ushindwe ulegee
KATAA NDOA NI UTUMWA
Imetokea kuna binti 21 yrs, nilikuwa napunguza naye upwiru (siyo mchumba), akapata mimba na kujifungua mtoto. Wazazi wake hawanijui hata chembe maana ni miji (, hometowns) yetu ni tofauti na iko mbalimbali lkn binti kanitaja wao kuwa mimi ndiye mhusika.
Sasa Jana jioni, baada tu ya mtoto kutimiza miezi 2 baba wa binti kamtimua na kumtaka binti yake aje aishi nami niliyempachika mimba.
Baada ya tafakuri pana na mshikaji wangu wa karibu tukaukwepa mtego huo. Maswali yalikuwa haya:-
1. Kwao hatupajui na ndugu zake hatuwajui, huyu binti akifa je?
2. Itakuwa vipi endapo wazazi wake watatóa taarifa polisi kuwa binti yao kapotea? Nani atatuelewa?
Tukaamua kuwa " kwa kuwa kurudi kwao haiwezekani kutokana na umbali, tutoe taarifa kwa mjumbe na alale kwa mjumbe, halafu kesho yake ageuze kurudi kwao. Tukafanya hivyo na asubuhi akapewa nauli na hela ya kula kisha akapandishwa gari.
Je, wadau mpk hapa niko salama? Sheria zinasemaje kuhusu kuzaa na mtu vs kumuoa? Mzazi huyu (baba wa binti) siwezi kumshitaki kwa kitendo alichofanya na kunisababishia usumbufu?
Acha kugeneralise huyu kijana nimpumbavu kama wavuta bangi walio wengi, kataa ndoa wana hoja zao na wako smart usiwajumuishe na lijinga kama hilo.Hawa vijana walikuwa na hoja nzuri sana kuwa ndoa ni kifungo cha maisha cha kumnyima mtu uhuru,
Lakini mambo wanayoyafanya yanaumiza sana, Huu sio ubinadamu ni unyama
Mfano huu hapa
Kwa akili kama hizi tunaandaa Taifa la hovyo kabisa.
Kuanzia leo hawa vijana nimewadharau sana walaaniwe
Kama ndoa ni mpango wa Mungu MBONA YESU HAKUOA??Ndoa ni mpango wa Mungu. Je kataa ndoa ni mpangonwa nani?
anajipanga ila ataoa.Kama ndoa ni mpango wa Mungu MBONA YESU HAKUOA??
Wajuzi wa Biblia natamani kujua kama YUSUPH ALIMUOA BIKIRA MARIA?? [emoji848]
#KIJANA KATAA NDOA
Kwanza walioana??anajipanga ila ataoa.
Kuhusu Maria na Yusuph kiukweli ndoa yao sio maarufu kiasi cha kuandikwa na waandishi wa Biblia.
Wee muache tu. Anatakiwa kujifunza kutoka kwa masanja tangu kugongewa kawa mpole hamposti tena mke wake. Halafu sauti yake imebadilika sana ina mikwaruzo nadhani kwasababu ya kulia sana.Ngoja siku utombew(e) ndio utatuelewa..!!!
#YNWA
Sasa tuishijeNdoa ni forex trade.....kataa 😹
Tufunge ndoa Dec hii babe.Ndoa ni forex trade.....kataa 😹