Mjadala kwa wanaokubali kuoa (Ndoa)
Hawa vijana walikuwa na hoja nzuri sana kuwa ndoa ni kifungo cha maisha cha kumnyima mtu uhuru,

Lakini mambo wanayoyafanya yanaumiza sana, Huu sio ubinadamu ni unyama

Mfano huu hapa
Imetokea kuna binti 21 yrs, nilikuwa napunguza naye upwiru (siyo mchumba), akapata mimba na kujifungua mtoto. Wazazi wake hawanijui hata chembe maana ni miji (, hometowns) yetu ni tofauti na iko mbalimbali lkn binti kanitaja wao kuwa mimi ndiye mhusika.

Sasa Jana jioni, baada tu ya mtoto kutimiza miezi 2 baba wa binti kamtimua na kumtaka binti yake aje aishi nami niliyempachika mimba.

Baada ya tafakuri pana na mshikaji wangu wa karibu tukaukwepa mtego huo. Maswali yalikuwa haya:-

1. Kwao hatupajui na ndugu zake hatuwajui, huyu binti akifa je?
2. Itakuwa vipi endapo wazazi wake watatóa taarifa polisi kuwa binti yao kapotea? Nani atatuelewa?

Tukaamua kuwa " kwa kuwa kurudi kwao haiwezekani kutokana na umbali, tutoe taarifa kwa mjumbe na alale kwa mjumbe, halafu kesho yake ageuze kurudi kwao. Tukafanya hivyo na asubuhi akapewa nauli na hela ya kula kisha akapandishwa gari.

Je, wadau mpk hapa niko salama? Sheria zinasemaje kuhusu kuzaa na mtu vs kumuoa? Mzazi huyu (baba wa binti) siwezi kumshitaki kwa kitendo alichofanya na kunisababishia usumbufu?

Kwa akili kama hizi tunaandaa Taifa la hovyo kabisa.

Kuanzia leo hawa vijana nimewadharau sana walaaniwe
 
Hawa vijana walikuwa na hoja nzuri sana kuwa ndoa ni kifungo cha maisha cha kumnyima mtu uhuru,

Lakini mambo wanayoyafanya yanaumiza sana, Huu sio ubinadamu ni unyama

Mfano huu hapa


Kwa akili kama hizi tunaandaa Taifa la hovyo kabisa.

Kuanzia leo hawa vijana nimewadharau sana walaaniwe
Acha kugeneralise huyu kijana nimpumbavu kama wavuta bangi walio wengi, kataa ndoa wana hoja zao na wako smart usiwajumuishe na lijinga kama hilo.
 
Kama ndoa ni mpango wa Mungu MBONA YESU HAKUOA??

Wajuzi wa Biblia natamani kujua kama YUSUPH ALIMUOA BIKIRA MARIA?? [emoji848]

#KIJANA KATAA NDOA
anajipanga ila ataoa.

Kuhusu Maria na Yusuph kiukweli ndoa yao sio maarufu kiasi cha kuandikwa na waandishi wa Biblia.
 
Utandawazi, usaliti, na ugumu wa maisha vimepelekea vijana wengi hasa hasa wakiume kuona ndoa haina maana maishani mwao.

Ndoa bado ni muhimu sana kwa kila Mwanadamu maana ni heri kuoa kuliko kuishi maisha ya uasherati.

Kwa vijana wa kiume msiogope kuoa, cha msingi chagua msichana sahihi wa kuoa.

Ukimkuta sio BIKRA usioe, narudia tena USIOE.

Dini yangu inaniambia hivi; "Mke ni chombo cha heshima".
Chombo kilichochafuliwa na wahuni, wahuni wamechovya chovya na kuchafua hakiwezi tena kuwa "chombo cha heshima".

Soda inauzwa 600 tu, lakini huwezi kukubali kununua Soda iliyotolewa "kizibo". Zingatia neno "kizibo".

Mke ana thamani kubwa sana kuliko soda. Iweje ukubali kuoa Mke aliyetobolewa na wengine??? Zingatia neno "aliyetobolewa".

Mbaya zaidi wengine wanaoa hata wale waliotobolewa "tundu lisilofaa kutobolewa". Zingatia neno "tundu lisilofaa kutobolewa".

Ukimpata msichana aliyeweza kutunza "kizibo" chake mpaka ile siku ya ndoa huyo ana hofu ya MUNGU. Zingatia neno "kizibo".

Hofu ya MUNGU itamwongoza Mkeo akutii, akuheshimu, akupende, na ajiepushe na kila tamaa zitakazo mfanya akusaliti.

Dunia imepinda sana lakini miongoni mwetu wapo wasichana wenye hofu ya MUNGU. Wapo wasichana wanatunza "vizibo" vyao.

Na wewe Mwanaume ili ufurahie maisha yako ni lazima pia uwe na hofu ya MUNGU.

Oaneni, maana sio vyema kuishi maisha ya kutanga tanga.
 
Sio kwa zama hizi za makulumbembe, washupaza shingo kudai haki, na wagombea mgawanyo mali.
 
Back
Top Bottom