MJADALA: Kwanini Padri Luther aliondoa baadhi ya vitabu kwenye Biblia, na kwanini alijiondoa kanisa Katoliki?

Ww unatakiwa kufuata mafundisho ya biblia...sio kanisa
 
Hahaha ....tatizo la hawa ni moja ....akijua kukemea pepo tu basi amefuzu Theology yote ....ndio maana ameshindwa hata kujua tofauti ya watu hao huku akiandika kwa kujiamini kabisa ....[emoji38] [emoji38] [emoji38]
Ukikemea pepo na likatoka hiyo ndiyo theology kuu kupita zote. Theology isiyokuongoza katika toba na kufuata maagizo ya Mungu huo ni upagani.
 
Kwa uelewa wangu, agano liliwekwa kati ya Mungu na Ibrahim, na sio Mungu na Mariamu.

Mariamu alikuwa ni mmaliziaji wa agano kati Ibrahim na Mungu.
Hivyo, Ibrahim anaweza kuwa na credit kubwa zaidi ya Mariamu.
 
Ina maana mpaka leo hakuna watu waelewa na mbona Biblia inatumika hiyo hiyo mpaka leo kwanini hatutumii hiyo ya zamani izo
 
Theology ya kweli ni kuyajua na kuyatenda mapenzi ya Mungu.Kinyume na hapo ni propaganda ambazo hazina maana.
Malizia kabisa kwa kusema, mapenzi ya Mungu yanapatikana kupitia neno lake - Biblia
 
Kiongozi, hapa umetumia nguvu kujibu ila sio hoja. Naona unaanza kuteteleka au umapanic .
 
Kiongozi, hapa umetumia nguvu kujibu ila sio hoja. Naona unaanza kuteteleka au umapanic .
Huu uzi nipo nao tokea mwanzo cha kinifanya ni panic nini....?

Maswali niliyomuuliza yote nilishamuuliza ila hakuna anachojibu zaidi ya ngonjera
 
Theology ya kweli ni kuyajua na kuyatenda mapenzi ya Mungu.Kinyume na hapo ni propaganda ambazo hazina maana.

Hii ni maana nyingine ya Theology ninayoisikia kutoka kwako...daah

Vipi ile uliyojinasibu na kutolea rejea za miaka ni kitu gani...?
 
Mzee wa Theology...

Unajinasibu unajua hesabu, nakupa mtihani wa hesabu unajibu stadi za kazi..

Kazi ipo...Msiwe mnapenda kuvamia thread ambazo zipo juu ya uwezo wenu...
Tatizo lako unaamini kuwa misale iko juu ya Biblia.hadithi za misale ya waumini haina nafasi hapa.ukija hapa tuhojiane kwa kutumia "sola scriptura" upo hapo? Misale na rozari peleka kwa waabudu sanamu wenzio.
 
Tatizo lako unaamini kuwa misale iko juu ya Biblia.
Tangu lini misale ikawa juu ya Biblia...Misale ni kiongozi wa Ibada za kila siku ndani ya Kanisa..

hadithi za misale ya waumini haina nafasi hapa.
Hadithi gani mkuu...? Maana huu uzi yakupasa kuwa nondo kwenye historia....Karibia unachanganyikiwa..

ukija hapa tuhojiane kwa kutumia "sola scriptura" upo hapo? Misale na rozari peleka kwa waabudu sanamu wenzio.
Kwani hapa tunajadiliana nini..??

Mzee wa Theology...Daah....

Soon GC itachana manuscript za EGW
 
Mzee usiniambie mmekaa mkao wa fisi kusubiri mkono udondoke!
 
Mzee usiniambie mmekaa mkao wa fisi kusubiri mkono udondoke!
Nimekuambia nitakuhabarisha yatakayotokea....Mafundisho ya mama EGW yamekuwa mzigo ...hivyo tunayabadilisha taratibu ila kwa ustadi mkubwa, huku nyie washangiliaji mkiendelea kushangilia bila kujua...

Women Ordination lazima mtashangilia sana...na kadiri mnavyoshangilia ndivyo mnaparanganyika kiulaini.
 
Nimekuambia nitakuhabarisha yatakayotokea....Mafundisho ya mama EGW yamekuwa mzigo ...hivyo tunayabadilisha taratibu ila kwa ustadi mkubwa, huku nyie washangiliaji mkiendelea kushangilia bila kujua...

Women Ordination lazima mtashangilia sana....
Ni sawa kabisa maana uzoefu mnao kwa kubadili amri na kulishwa "matango pori" yaani amri kumi zilizochakachuliwa huku mkiambiwa hamna haja ya Biblia ila misale ya waumini tu inatosha.
 
Ni sawa kabisa maana uzoefu mnao kwa kubadili amri na kulishwa "matango pori" yaani amri kumi zilizochakachuliwa huku mkiambiwa hamna haja ya Biblia ila misale ya waumini tu inatosha.
We hujiulizi kipindi cha nyuma kwanini ilikuwa ni haramu kuweka picha kwenye tukio lolote la SDA ila leo hii ni ruksa...

Hujiulizi ni nini kimebadilika..? Hujiulizi kwanini na wewe umebaki unashangilia tena ukisifia...? Hujiulizi..?

Kaa mkao wa kula ni muda unaongea
 
Inaonekana hii umesoma mahali, mambo ya Mungu huwa yanakwenda kwa ufunuo wa Neno(revelation) kutoka kwake.Ukiyatafuta kwa akili ya kawaida huyapati.Martin Luther ni mmoja wa hao waliopata ufunuo wa namna kanisa linatakiwa liwe kulingana na Neno la MUNGU.Na ndio maana alifanya reformation kulingana na Ufunuo wa Kimungu aliopata katika Neno
 
Hebu tupe jibu...Kwanini Luther alipunguza vitabu 7 vya Agano la kale ..?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…