MJADALA: Kwanini pale alipo mtu mweusi hali ya uchumi huwa ni tete? Nini chanzo cha umasikini?

MJADALA: Kwanini pale alipo mtu mweusi hali ya uchumi huwa ni tete? Nini chanzo cha umasikini?

Ngozi nyeusi tuna tatizo kubwa la msingi la namna tunavyotumia akili zetu kufikiri na hiki ndo kinachotutofautisha na ngozi nyeupe, mengine ni blah! blah.......kwa hiyo utagundua hata udumavu wa mwili na akili upo kwa kiwango cha juu sana miongoni mwa watu weusi.
 
Poverty inategemea na kipimo wanachotumia, poverty ya Botswana siyo sawa na poverty ya Tanzania, mfano USA watu wanaoishi kwenye poverty ni kama 10% ambapo ni kama watu milioni 30 lkn poverty ya USA wanatumia vipimo vingine siyo sawa na Tanzania mtu masikini USA labda ana pato la $ 1000 kwa mwezi lkn mtu masikini Tanzania ana 0$ / mwezi, hivyo kuna poverty na absolute poverty hivyo ni vitu viwili tofauti.

Nimefika Botswana na nimetembea huwezi kuona mtoto kwa mfano anakwenda Shuleni peku, Tanzania ni kawaida tembea kidogo Mikoani angalia watoto wakienda shuleni, Botswana hata vijijini kwenye nyumba 5-10 kuna bomba la maji safi ya kunywa, Tanzania wengi wanakunywa maji machafu ya kisima ambacho pia wanyama wanakunywa.

Nachotaka kusema poverty ina viwango, kuna poverty halafu kuna absolute poverty hivyo ni vitu viwili tofauti!
Safi sana. Katika hiyo research wamesema waliangalia nini mojawapo ni vulnerability yaani mambo yakibadirika kidogo hali inakuwa tete. Kingine waliangalia ubora wa elimu generally wako better kuliko TZ. Sijaona ubora wa huduma ya afya, maji safi umeyazngumzia nafikiri ndio maana Magu alikuwa inspired na hizo nchi mbili umezi mention.
 
Lazima tuwe na mifumo imara,dira na taasisi nzuri zenye usimamiaji wa dhati..

Swala la kuachia uzalendo wa mtu ndo uongoze tutapotea!,watu wanatafuna pesa na wanachekewa tu!. Ifike hatua hata tukiweka jiwe kwenye uongozi serikali iweze kujiongoza maana miongozo mizuri ipo,nidhamu na uwajibikaji.. itoke mentality ya ukipata nafasi basi ukaonyeshe uwezo wako wa kutatua changamoto na sio akili za upigaji.
Hayo yanawezekana tu kupitia Katiba nzuri, a.k.a Katiba Mpya!
Lkn watawala hawataki hilo 🙄
 
Mbali na nchi nyingi za weusi kuwa maskini ila nimeona pia hata nchi tajiri duniani ambapo kuna watu weusi wanaishi utakuta bado hali yao ni duni sana

Hawana maendeleo kabisa na sehemu zao ni chafu na maisha yao wengi ni obese wapo wapo tu hata iwe [emoji631]

[emoji636] pia hivyo hivyo sehemu wanapoishi watu weusi kwa wingi ni mtihani tu ukipita unaona kabisa dhiki na tafrani
Kwa weusi unakuta biashara zao wamepangana vinyozi na wasuka nywele tu na vipodozi hawajui biashara zingine

Pia nilienda Jeddah pia kuna sehemu inaitwa Haraat ul abiid Yaani sehemu ya watumwa
Nyumba wanazoishi na maisha yao unaweza kulia
Kazi zao ni kuchimba makaburi na labour jobs tu
Huku pia niliona kwa macho

Sasa hata kama tulikandamizwa na wakoloni na waarabu Kwa hiyo mpaka leo wamechukua na bongo zetu pia wamegoma kuturudishia

Mbona mweusi kila alipo ni dhalili?
Hata India nilienda nimewakuta wana hali mbaya sana na wananyanyaswa sana na wahindi wenzao

Mweusi kafanya nini mpaka anashindwa kujitetea tena na kuwa na maendeleo?

Kama ni nchi zetu africa mbona hatuna maendeleo Sisi wenyewe hata kuwa na viwanda? Na tukajiuzia sisi wenyewe waafrika?

Naona viongozi pia wanachangia kiasi kikubwa kwa kutokutumia akili bali kuiba tu
Challenge kweli kweli. Umezungumzia viwanda - inawezekana kuna njia nyingine za kutengeneza pesa zaidi ya kuwa na kiwanda. Naona Tender mtu anashinda ya millioni kadhaa halafu yeye anaiuza kwa fraction ya hiyo hela kwa mtu ambaye wala haku tender. easy money. Mfano madudu aliyoyakuta mwanza kwenye ujenzi wa meri Hapa kazi tu. Mkorea kashinda tenda then kaiuza na huyo mtu anaendelea kubakia nchini akifanya kazi hizohizo.
 
Inawezekana ugali ukawa ni tatizo maana angalia ile kanda ya wapenda ugali IQ zao mtihani tu.
😂
Inategemea ni ugali wa kitu gani.. kama sembe ni shida.
Lkn kama ni mixer ya muhogo, mtama, ulezi, uwele, nk.. iQ inakuwa juu zaidi ya wastani
 
Kutopendana kunatufanya tushindwe hata kuunganisha visenti vyetu tukaanzisha biashara ya pamoja (partnership).

Wanaojaribu kufanya partnership huishia kugombana tu, wawe wanafamilia, marafiki, ama wanafamilia huishia kushikiana mapanga na kugawana mbao. Weusi ni laana
Ukitaka kuwa na maisha mafupi fanya partnership
 
Aisee hata mimi sikuwahi hata kutafiti daah Jamii forum ni kisiwa cha maarifa - Asante mdau
sio maindi nakumbuka hata mihogo(cassava) wao ndio wameleta.
mkuu inaonekana kwenye pindi la Vasco da gama class ulikua bize na totoz
 
mkuu inoanekana kwenye pindi la Vasco da gama class ulikua bize na totoz
Not real totozi ni ile kuchukulia vitu for granted. Kama kuona jani linaanguka wala huwezi kubodha unajua ndio ilivyo lkn kuna mwingine anawaza why? kwa nini halianguki likaenda juu?
 
Issue kubwa kwa mtu mweusi inayo fanya awe nyuma kimaendeleo kulinganisha na watu weupe ni ubnafsi .Aliye bahatika kupata nafasi nzuri ya kutumikia sehemu flani ata hakikisha iwe kwa udi au uvumba anaweka watu wake hata kama hawana uwezo. Kingine mtu anaenda shule kusoma lakini lengo sio kupata maarifa ili aya tumie lakini lengo ni kupata cheti ili awe promoted akae kwenye AC africa msomi ni yule anaye jua kukariri na anaye jua kujieleza lakini lakini kiutendaji hamna kitu.Ili tutoke hapa tuweke watu wenye uwezo husika bia kujalisha ni mtoto wa nani wa mjini au kijijini kutumika sehemu husika alafu hoja ya Gwajima ya kuwa na long term plan ni ya kuizangatia sana nchini kama watu au sehemu ni productive kwa kitu flani ndio tuwekeze nguvu kubwa huko kwa miundo mbinu wezeshi ili kuleta matokeo makubwa:
 
Mbali na nchi nyingi za weusi kuwa maskini ila nimeona pia hata nchi tajiri duniani ambapo kuna watu weusi wanaishi utakuta bado hali yao ni duni sana

Hawana maendeleo kabisa na sehemu zao ni chafu na maisha yao wengi ni obese wapo wapo tu hata iwe [emoji631]

[emoji636] pia hivyo hivyo sehemu wanapoishi watu weusi kwa wingi ni mtihani tu ukipita unaona kabisa dhiki na tafrani
Kwa weusi unakuta biashara zao wamepangana vinyozi na wasuka nywele tu na vipodozi hawajui biashara zingine

Pia nilienda Jeddah pia kuna sehemu inaitwa Haraat ul abiid Yaani sehemu ya watumwa
Nyumba wanazoishi na maisha yao unaweza kulia
Kazi zao ni kuchimba makaburi na labour jobs tu
Huku pia niliona kwa macho

Sasa hata kama tulikandamizwa na wakoloni na waarabu Kwa hiyo mpaka leo wamechukua na bongo zetu pia wamegoma kuturudishia

Mbona mweusi kila alipo ni dhalili?
Hata India nilienda nimewakuta wana hali mbaya sana na wananyanyaswa sana na wahindi wenzao

Mweusi kafanya nini mpaka anashindwa kujitetea tena na kuwa na maendeleo?

Kama ni nchi zetu africa mbona hatuna maendeleo Sisi wenyewe hata kuwa na viwanda? Na tukajiuzia sisi wenyewe waafrika?

Naona viongozi pia wanachangia kiasi kikubwa kwa kutokutumia akili bali kuiba tu
Soma kitabu cha why i am no longer talking to white people about race cha Reni Eddo-Lodge...
Haya mambo ya race ni complicated kuliko unavyodhani.
 
Bora kwa nani ? Kwa macho au kwa afya ?

Tuongelee makazi kidogo.., je ni afya kujifungia kwenye kuta nne bila hewa sijui dirisha la aluminium wakati ukilifungua unapata hewa half the space ?!!!

Au tuongelee kipindi kirefu watu walijiona wajanja kutumia eti bati za kisasa (Asbestos) ila kuja kugundua madhara yake kwa afya na watu walikuwa wanajifungia humo kutwa na kuchwa !!!, Don't get me wrong ubora na kuboresha ndio maisha ila sio kila kipya ni kizuri na cha zamani ni kibaya..., Mfano nyumba ya udongo ni environmental friendly na inakupa joto kwenye baridi na baridi kwenye joto kuliko nyumba ya cement...

Unaongelea lishe bora, Mmasai anakula fresh food na sio processed food ambayo imejaa makemikali na addictives za kufa mtu (junk food)..

Kwahio perception yetu ni kwamba the grass is greener kwa jirani ila kwa mtu ambaye ameishi maisha yote huku na kule atakwambia its not so...

Umasikini upo mijini, umasikini upo sasa na utaendelea kuwepo kutokana na gap in classes kuongezeka siku baada ya siku..., Umasikini unachangiwa na sio sababu kuna less for everyone (there is enough for everyone need ila sio for everyone greed)..., kwahio kutokuweza ku-manage mazingira yetu ndio kunaleta umasikini na sio sababu mtu mweusi hana akili (la hasha) sababu ni marginalization, as well as indoctrination ambayo tumeshajengewa ya kwamba nini kinafaa na nini hakifai hence kutukuza mkate zaidi ya muhogo..., cement zaidi ya udongo, bati la msausi zaidi ya msonge n.k. (wakati hivyo vyote vingeweza kuboreshwa kuendana na wakati na mazingira yetu)...,

Don't get me wrong siongelei kila cha jirani ni kibaya hivyo tusiige mazuri (bali naongelea pia kila kilicho chetu sio kwamba hakifai na kinahitaji kuboreshwa)
Real good contribution kila kitu ni jinsi unavyokiona. Ila mmasai anaweza kula green matibabu? sehemu anayolala?, maji anayokunywa ni salama?
 
Challenge kweli kweli. Umezungumzia viwanda - inawezekana kuna njia nyingine za kutengeneza pesa zaidi ya kuwa na kiwanda. Naona Tender mtu anashinda ya millioni kadhaa halafu yeye anaiuza kwa fraction ya hiyo hela kwa mtu ambaye wala haku tender. easy money. Mfano madudu aliyoyakuta mwanza kwenye ujenzi wa meri Hapa kazi tu. Mkorea kashinda tenda then kaiuza na huyo mtu anaendelea kubakia nchini akifanya kazi hizohizo.

Mkuu sheria zetu ni mbaya sana na hakuna wa kuadhibiwa
Waziri anamfukuza mkurugenzi kwa wizi wa 1. B Halafu imeisha hiyo hausikii tena kama kafungwa au hela zimerudi

Hii michezo inachezwa sana na Sisi tunafanywa wajinga sana kwa kukubali kuwa wajinga

Kila kukicha wenye magazeti hao wanafiki wasiojua taaluma zao
Wao wanaitwa kwenye tukio wakishapiga picha na kumrekodi waziri akimtumbua mtu utasikia

Takukuru wako wapi ? Mchukueni huyu
Huyo mkurugenzi kapiga hela ndefu anapandishwa gari na waandishi uchwara wamepewa hela yao ndio imetoka hiyo

Hawafuatilii tena wala kujua huyo mwizi alipelekwa wapi na je hela zilipatikana na je alifungwa?
Au waligawana mbele kwa mbele?
Mkuu kuna mambo yanafanyika nyuma ya pazia Sisi tunajua tu kuwa hela zinapigwa ila zinaenda wapi hatujui bali kuna wengine wanasema nchi nyingi huwa zinadumdulizwa kwa ajili ya elections [emoji848][emoji848]
 
Issue kubwa kwa mtu mweusi inayo fanya awe nyuma kimaendeleo kulinganisha na watu weupe ni ubnafsi .Aliye bahatika kupata nafasi nzuri ya kutumikia sehemu flani ata hakikisha iwe kwa udi au uvumba anaweka watu wake hata kama hawana uwezo. Kingine mtu anaenda shule kusoma lakini lengo sio kupata maarifa ili aya tumie lakini lengo ni kupata cheti ili awe promoted akae kwenye AC africa msomi ni yule anaye jua kukariri na anaye jua kujieleza lakini lakini kiutendaji hamna kitu.Ili tutoke hapa tuweke watu wenye uwezo husika bia kujalisha ni mtoto wa nani wa mjini au kijijini kutumika sehemu husika alafu hoja ya Gwajima ya kuwa na long term plan ni ya kuizangatia sana nchini kama watu au sehemu ni productive kwa kitu flani ndio tuwekeze nguvu kubwa huko kwa miundo mbinu wezeshi ili kuleta matokeo makubwa:
Matatizo ya africa yana mizizi mirefu..
Ubinafsi watu walioelimika kama wanavyojiita na ambao hawajaelimika ni wapi wabinafsi!?
Kabla ya hii elimu na baada ya kupata elimu nan yuko subjected na ubinafsi!?
Toka uko mdogo unaulizwa unataka usome uje kuwa nani!!? na si unataka usome uje
uifanyie nini jamii yako...
 
Soma kitabu cha why i am no longer talking to white people about race cha Reni Eddo-Lodge...
Haya mambo ya race ni complicated kuliko unavyodhani.

Asante Mkuu ila Niko nao miaka 33 sasa na ninawajua vizuri sana

Nitajitahidi kukisoma pia
 
2.Hatuna institution za kudhibiti mapato au za kujiendesha bila kutegemea siasa. Ukiona mwanasiasa eg. Makamba kijana alikopa 400m toka PSSR kama sikosei na hataki kulipa na hamna cha kumfanya basi hapo tatizo lipo kuanzia kwa Rais mwenyewe.

Dawa nafikiri appointment zingine zisifanywe na Rais kuwe na bodi ya wataalamu -Regulatory Board ) ambako wakurugenzi wanawajibika. Maoni yangu please
Tunahitaji sana 'Taasisi huru' zinazoweza kutenda kazi bila kuingiliwa..
Shida ni kuwa zitapatikana kwa muujiza gani?
 
Tunahitaji sana 'Taasisi huru' zinazoweza kutenda kazi bila kuingiliwa..
Shida ni kuwa zitapatikana kwa muujiza gani?
Hizi mambo theoretically ni rahisi kuzitaja na kudhani zitafanya kazi kama ulivyotegemea.
Kwenye practical unakutana na matatizi mengine zaidi...
Ni ngumu sana kuwa na taasisi huru kwenye jamii ya watu ambao bado elimu yao ni duni,
kama profesa anaitwa nonsense na bado anasujudu kwa form four failure na open uni
nadhani elimu ianzie ngazi ya familia ya kujitambua, na sio kudhani shule ndio itakufanya uelimike.
 
Back
Top Bottom