Mjadala mpya: Ni nani aliwaokoa abiria 24 wa ndege ya Precision Air?

Ukweli wanaujua waliojaaliwa
 
Nimesoma bandiko lako lote nashindwa kujua unakanusha nini kwa nilichoandika na pia umechagua kipengele kimoja tuu kati ya mambo mengi niliyoandika hapa
 
Nimesoma bandiko lako lote nashindwa kujua unakanusha nini kwa nilichoandika na pia umechagua kipengele kimoja tuu kati ya mambo mengi niliyoandika hapa
Nimeona hizo nyingine ni prediction zako juu ya siasa ya Tanzania hivyo sikuona haja ya kuweka mchango wangu kwani huna uhakika na mengi ulizungumza..
 
Maisha ndivyo yalivyoo bahati ndo kitu pekee kakutana nacho majaliwa so mengine hata yasemwe vipi hakuna anaejua ukweli wa kilichotokea ila majaliwa hakuwa sehemu ya ajali lakini kwa jitihada zake akajikuta nae yupo hopsital kama vile MAGU alivyokuwa rais wakati hata form alilazimishwa kuchukua dakika za mwisho
 
Nimeona hizo nyingine ni prediction zako juu ya siasa ya Tanzania hivyo sikuona haja ya kuweka mchango wangu kwani huna uhakika na mengi ulizungumza..
Ok basi sawa hapo utakuwa hujalitendea haki hili andiko kwakuwa litakosa mtiririko sahihi sasa
 
kama vile MAGU alivyokuwa rais wakati hata form alilazimishwa kuchukua dakika za mwisho[emoji23]
 
Watu wawili walizidi kwenye ndege.

Abiria kutoka mbio kuelekea pasipo julikana.

Mtu kumzuia Majaliwa asivunje kioo.

Kasia kuvunja mlango wa ndege.

Majaliwa kujikuta hospitali.
 
Kama mnajua kwanini ajali ilitokea wekeni wazi, maswali yasiyo na majibu yamekua mengi sana.
 
Ukiachilia mbali maajabu hayo sisemi kwasababu ya wivu hapana najaribu kwe na uhalisiaa binafsi najua hata mlango wa daladala kuupiga mpk ufunguke kwa kasiaa sio jambo rahisi lakini sasa utakuaje mlango wa ndege ufunguke na ninavojuaa mimi huenda mlango wa ndege ni imara zaidi kwasababu ndege inapaa hewan kwaio ile forces of gravity ni kubwa na huenda mlango umetengenezwa kwa ubora mkubwa zaidi kwaio sio rahisi jambo la tatu ni kwamba mlango ule unaonekana umefunguliwa na haujabondeka wala kupasuka je majaliwa yeye alivunjaaa waaaap?
 
Ndege ilishaangukia majini.. sio kila kitu kitakuwa kama mwanzo. pengine ulipinda ukafunguka wenyewe......,
 
Mkuu uimara wa mlango wa ndege sio wa kitoto...
Kwa tuliotumia usafiri huu sio rahisi kunidanganya eti kasia lilifungua mlango kwa kuugonga. Never
 
Sawasawa.......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…