Mjadala: Nini chanzo na tiba ya tatizo la upele kuota kwenye uume?


Wewe baki kwenye kula tunda mkuu.

mimi niliisha pata tiba nikapona nikasahau since mwaka jana uko. Huo ni ugonjwa wa ngozi walinambia ni ukurutu na kwa bahati ni kweli maana nliishi Mkoa flan uko maji yalikua yanatoka mara 1-2 kwa wiki afu yanakaa kwenye matenk ya chini so nlipatia uko.

unachangiwa na maji unayotumia kama ni machafu, kushare matandiko na wengine hii sana sana ni kwa wanafunzi.

Mwili unakua unawasha especially jioni so mtu anashauriwa kumuona daktar wa ngozi apate tiba na kufata kanuni za usafi kama kubadili matandiko ata kila baada ya siku 3 , kujiweka msafi mda wote na ufuaji wa nguo kwa maji safi.

Mtu asinifate inbox kwa kuhutaji nimtajie majina ya dawa kwakua mimi sikumbuki majina ya dawa maana vilikua n vidonge nlikunywa mwezi mzima na uwezi kunywa dawa pasipo ushauri wa daktari so nashauri mtu amuone daktar wa ngozi kama upo Dsm nenda pale posta karibu na laptop city hospital ya burhan utapata msaada omba appointment ya kumuona daktr wa ngozi ugonjwa huu una ambukiza kama mnashare vitu maana mimi nliumwa, watoto nyumba nzima na Kaka angu.
 
Sasa hata dawa uliyopewa hujui ni dawa gani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nkajua unaleta shule kumbe maneno ya kwenyw khangaaa haya mkuu alafu UKURUTU dawa yake ni kuoga mkuu jitahdi uwe unaoga...
 
Sasa hata dawa uliyopewa hujui ni dawa gani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nkajua unaleta shule kumbe maneno ya kwenyw khangaaa haya mkuu alafu UKURUTU dawa yake ni kuoga mkuu jitahdi uwe unaoga...

Unaweza kuwa mtu mzima ila hauna busara nimekupa fact nimeumwa mwaka jana mwezi wa tisa uko mpaka sasa ni mwaka umepita dawa nitakumbuka? Mimi nimesoma kuhusu mambo ya madawa?

Nimetoa muongozo kua wapi watapata tiba au haujasoma?

Nimekupa sababu why nikapata ugonjwa je na hawa wengine pia hawaogi ?

Ukubwa sio umri bali ni hekima, busara pamoja na utashi ukubwa sio majigambo au ujuaji mwingi. Naomba nisikujibu vibaya maana atuwezi lingana kwa akili na Maarifa uwezo wako wa kufikili nimeuona unaishia wapi ni jumatatu hii mkuu wacha tujenge taifa.
 
Sasa aliekosa busara nani...!! Nimeshauri tokana na uelewa wangu na ninachokifahamu.. Wewe umekuja na kejelii na kukosoa nilichosema nikajua una fact kumbe maneno ya khangaa......[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sasa aliekosa busara nani...!! Nimeshauri tokana na uelewa wangu na ninachokifahamu.. Wewe umekuja na kejelii na kukosoa nilichosema nikajua una fact kumbe maneno ya khangaa......[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Basi ushauli wako sio na umekurupuka maana ukisoma bandiko hili utaona nliwai jibu kuwa nlipata tiba na hii ni baada ya madaktar kanjanja wengi wajuaji kumbe hawajui wanakharibu taaluma za watu.

Before tiba nlizunguka hospital zote unazozijua hapa mjini Dar ila wapi nimekuja pata tiba kwa mwanadada pale burhan na nlivyo mpa tu maelezo ata dk 5 azikuisha akanambia ata usinioneshe nishajua unasumbuka na nini.

Nyuma apo nimekunywa dawa nyingi sana plus sindano za magonjwa ya zinaa, damu nimepima mpk nkachok kumbe lilikua tatizo kidogo, kama hii taaluma ni yako basi yakupasa uitendee haki na sio kebehi nlichokujibu nlitaka tu kukuonesha kua busara ni kitu cha msing ktk afya za watu na kazi azifanywi kimazoea maana magonjwa mengi dalili zina shabirihihana.
 
Weee jamaa kwa hyo maupele kwenye yaliisha kabsa maana nmeogopa nilipoona picha hyo mkuuu
 
daaah mkuu una idea ya hii kitu maana inanitesa sana
Sina mkuu, ebu jaribu kupitia comments za wadau na ikikupendeza weka na picha ili wadau waje waone. Ingawa inakupasa kuwa mvumilivu, maana kuna mdada aliusifia mjegejo wa mleta mada pamoja na kuumwa
 
yap mkuu japo vyangu naona ni vya tofaut na huyo mtoa mada vyangu ni kama vile vya kuoteshwa vinyama vidogo vidogo ukijaribu kuvikuna vinatok nyama alf vinaanza vikiwa vidogo alf vinakuwa taratibu

Sent from my SM-A500H using JamiiForums mobile app
Daaaah...pole sana kaka!
Jamaa huyo yeye anadai kesha pona hana tena...njoo pm ulete pic nije nijaribu waulize wataalam fulan kama bado unasumbuliwa navyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…