Daaah acha tu mkuu vinanipa mawazo sana ila itabid nitume picha maana daaah ni tatizo kubwa sana kwangu[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]Daaaah...pole sana kaka!
Jamaa huyo yeye anadai kesha pona hana tena...njoo pm ulete pic nije nijaribu waulize wataalam fulan kama bado unasumbuliwa navyo
hv kuna mtu anayependa kumwa tena sehemu nyet kama hyo kweli?nilirud nikapewa daqa nyingine na ilibid nibdilishe na hospital lkn bila mafanikio ndo maana nikaj humu mwenye idea na hili coz kuna madaktari humu na kuwa waliowah kupata hili coz jf naamni ni mtandao mkubwaAisee noma sana.[emoji85]
Tokea May? Na hii ni December!! Kwanini hukurudi Hosp baada ya dawa kuisha na nafuu haipo.
Rudi hosp aisee, dudu haiwezi kuwa hivyo na wewe umerelax tu miezi yote hiyo.
OT. Safisha kucha
noouma mkuuDu pole kaka, kuna mbunye nyingine ni sumu hata ukitumia ndom haisaidii, rudi tena hospital utapata tiba, ila pia hapa unaweza pata msaada ila uwe mvumilivu
jomba hayo maelekezo ni mafup lkn kabla ya hapo kuna ugonjwa wa ngoz ambo niliambukizwa ndo maana ikichahochea kupta hup ugonjwa ..sijawah kuugua hilo tatzo ni mazingira na mm siyo playboy ki hvyo girlfriend wangu juz imebid mpaka nimuache coz ndo sababu ya hili ...nso wanasemaga usilolijua bi usiku wa giza mkuuMkuu inaonekana unapenda mashimo halafu Condom si rafiki kwako. Madhara ya kavu hayo.
camera pia ni nyeus mi pia ni mweus sanaMbona nyeusi sana
Nashukuru sana Watu kama nyie ndo mnatakiwa bitalifanyia hili nasubiria mwenje kujua mwenye tatizo hili kwa kina au hospital maana nimezunguka sana..unajua siku hizi hata hospital hawatibu bt wako kimaslahHio naona ni genital warts mkuu, sasa baada ya kuleta uzi naomba hatua nyingine inayofuata ni uende hospitali ili daktari aweze kuexamine severity ya hivyo vipele na pia achukue blood samples.
Ahsante mwambaPole mkuu
jomba hayo maelekezo ni mafup lkn kabla ya hapo kuna ugonjwa wa ngoz ambo niliambukizwa ndo maana ikichahochea kupta hup ugonjwa ..sijawah kuugua hilo tatzo ni mazingira na mm siyo playboy ki hvyo girlfriend wangu juz imebid mpaka nimuache coz ndo sababu ya hili ...nso wanasemaga usilolijua bi usiku wa giza mkuu
inaitwaje mkuuHizo zinaitwa Genital warts.
Kuna dawa flani ya kuvichoma.
Ahsante mkuuPole mkuu.