Daaah acha tu mkuu vinanipa mawazo sana ila itabid nitume picha maana daaah ni tatizo kubwa sana kwangu[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]Daaaah...pole sana kaka!
Jamaa huyo yeye anadai kesha pona hana tena...njoo pm ulete pic nije nijaribu waulize wataalam fulan kama bado unasumbuliwa navyo
Sent from my SM-A500H using JamiiForums mobile app