TUSHIRIKISHANE Mjadala wa Mipango ya Maendeleo kwa Jimbo la Bukoba Mjini

Tupeni hata habari nzuri za mwenge jamani
 
Mlioko site tupeni updates za mambo kibao hapo town jamani tulioko mbali tunapenda sana kujua yaliyoko huko nyumbani, msitubanie na sie wa mbali
 
Shana iwe nabomwanyu inywenka!
Katika ishu za maendeleo sikuwahi kuona komenti yako hata ya maneno mawili ...tunahitaji komenti zako kuhusu maendeleo ya mkoa wetu na sie tutafurahi sana kwa mchango wako. Usikwazike kwa lolote lile wala kuijiweka kando na mkoa wetu Kagera kwani unatuhitaji sote
 
Mwezi February tuliona mkuu wa mkoa akiamlisha Mkandarasi wa kujenga barabara Mecco akamatwe na kufikishwa ofisini kwake huku tenda ikitangazwa upya. Tunaomba tujue baada ya hapo ni nini kilifuata na sahivi hari ikoje?

Mlioko mkoani tunaomba mmpunguze ubinafsi wa habari, habari ni nguzo kubwa sana kimaendeleo. Wanasema information is power ...tunaomba tuendelee kuhabarishana kwa yale yote yanayojiri mkoani kwetu
 
Unajua sie wanadamu wa Tz kuna kipindi najiuliza sijui tumeumbwaje sie. Yaani ukiona watu walivyobusy kwenye page ya mange alafu ulageukia page hii isivyotakiwa kuonekana kwao unabaki kinywa wazi. Kweli wazungu wameendelea kututawala sana kwa kila aina na mbinu
 
Baada ya mda mrefu wa kusota kujua na kuona habari juu ya masuala mbalimbali ya mkoa wetu yakienda mbele pasi na msaada, nimekata shauri la kurudi nyumbani kwa ajiri ya kuifanya hiyo kazi. Namuomba Mwenyezi Mungu anisaidie ili ndani ya miezi hii michache kabla ya 2019 niwe nimerejea ili kuendelea na harakati za kuukomboa mkoa wetu.

Na kama watakuwepo waliyo tayari katika kuungana nami kurudi kwenda kuwasaidia ndugu zetu basi twende pamoja na tukajitoe kwa ajiri ya watu wetu. Yako mengi ya kupeleka na kushiriki na ndugu zetu walioko huko. Tusisahau kwamba hatuna mjomba wala shangazi nje ya sisi katika kuusaidia mkoa wetu ...thus, it is our time and it is our turn.
 
Kweli tupu
 
Tupo sote tupo live ...tupe habari za ujenzi wa miundombinu hapo make tunajua ipo mingi tu kuanzia ihungo, barabara za W. Bank, stand n.k tupeni hata tupicha tulishe macho yetu
Ihungo inapendeza kweli yaani inaupamba mji
 
Ni mawazo mazuri sana sijui watayaona
 
Kamati ya CCM ya Mkoa Kagera wametoa maagizo ya kusitisha ujenzi wa soko jipya na stendi kwa sababu haijashirikisha wananchi, kampuni ishawahi kunyooshewa kidole kwenye ubadhilifu. Source: kasibante fm
Sasa sijui wamefikia wap
 
Ila Bk INA siasa nyingi ndo maana haiendelei
 
Neema kagera ujenzi Wa chuo cha veta kuanza July bukoba wachina hao walikuwa bukoba kusurvey eneo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…