Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo la nyie watani wangu, mna mbwembwe na mipango miiiiingi sana, mwisho wa siku hamna kitu.
Muoneni mwenzenu Malinzi hadi anagombea uenyekiti wa mkoa wakati ana uenyekiti wa kitaifa, ambao unamtoa jasho - sifahamu anataka kujifunza mchangani.
Halafu hivyo vitu sijui ahadi za kufuatilia hapo/ vipau mbele mlivyoweka hapo naona ni vya kitoto sana, ambavyo mhaya mmoja tu angevishughulia na nyie mngebaki mnashughulikia mambo mazito.
Haya reserved.
Unanipiga mkwara? Unaona sasa Malinzi yamemkuta? Msichanganye mambo [emoji12] [emoji12]Wewe babu zako si wazaliwa wa Bukoba au hufahamu hilo?Muone!
Haa haa.Malinzi kaponzwa na Simba sports club...Unanipiga mkwara? Unaona sasa Malinzi yamemkuta? Msichanganye mambo [emoji12] [emoji12]
Usikate tamaa ndugu zaidi ni kutoa elimu kadri unavowezaHili jukwaa letu huwa linanisikitisha sana na sijui ni kwanini. Kwamba mtu unaweza kugeuka mchawi kwa mambo yako mwenyewe na usielewe kama unajichawia. Hapa ni Jf ambako kwa siku panapita watu wengi sana na miongoni mwao mbaluga aha kyaro chonka mbashobeza, okwo oshanoti tibabona anga bakauma amaisho. Tibabyetaileo wala tibaikubifao ...omukijungu "negligence".
Ndamanya lwango, ndamanya bufela, ndamanya butamanya... koikubabona aha kihanda ameshwante ti kawaida, ila kufao mbali balikuluga, wapi!!! ...ndamanya ayabatwete amagezi nowai!!! hii thread ina members walio active wasiozidi 5, ila ukienda fb/Instagram huko hadi kero, ebi ebya kunu nimubitantala kabiba byowa si? aba buhaya mweshubeho mala mwefeo, nimujanguka!
Chei, ichwe abahaya twina amatatizo nikyo twikulemela nagemelelela owaitu. Titwikwegesibwa kuthamini omuka kwema tukyali banaUsikate tamaa ndugu zaidi ni kutoa elimu kadri unavoweza
Ungeshauri kuhusu uwanja wa ndege ningekuona wa maana zaidiNdugu Jimmy Karugenzi na viongozi wenzako mkoani Kagera, mojawapo ya ufumbuzi wa upanuzi na uboreshaji wa mji wa bukoba ni kulihamisha gereza la bkb mjini. Miji yote mikubwa na ya kisasa magereza hujengwa nje ya miji km. Butimba mwanza na segerea dsm. Gereza la bkb pale lilipo ni prime area sawa na mnazi mmoja dsm. Ni vema serikali ya mkoa ikashauriana na serikali kuu ili kutekeleza hatua hii kuacha lile eneo likajengwa chuo kikuu au complex ya biashara, makazi n.k
Katika lipi Ss Jr?Wahaya mko vizuri ukilinganisha na makabila mengine
Yeye kuona gereza na wewe ungeongezea uwamja wa ndegeUngeshauri kuhusu uwanja wa ndege ningekuona wa maana zaidi
Watu walioko bukoba nadhani hapa watusaidie tunaomba updatesTupeni mrejesho wa miradi hapo mjini
Matako yao hao waliozuia. Walitaka wananchi gani kutoka nchi gani? kwani madiwani wakiamua ni kwa niaba ya nani na mbona kwenye vikao vyao hata madiwani wa CCM walikuwa pamoja na wenzao CDM? Hao kamati ya CCM ni vihiyo wa karne ya 22Kamati ya CCM ya Mkoa Kagera wametoa maagizo ya kusitisha ujenzi wa soko jipya na stendi kwa sababu haijashirikisha wananchi, kampuni ishawahi kunyooshewa kidole kwenye ubadhilifu. Source: kasibante fm