Mjamzito afariki kwa kukosa pesa ya mafuta gari la wagonjwa, wakati Mama ananunua magoli

Mjamzito afariki kwa kukosa pesa ya mafuta gari la wagonjwa, wakati Mama ananunua magoli

Goli la mama.limeingiaje

Tungekuwa wote tunafanya wizara ya afya wahandisi wangekuwa wapi

Ndioo maana kila sehemu
Wakati anaupiga mwingi, kwa kununua magoli ya Yanga na Simba kuna watu wana safa sana kwa huduma za afya. Kule Kilosa Mama kafariki kwa kukosa pesa za mafuta ya Gari ya kubebea wagonjwa.

Mkuu wa Wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro, Shaka Hamdu Shaka ametoa siku tatu vyombo vya usalama kuchunguza tukio la mama mjamzito aliyefariki baada ya familia yake kukosa pesa za kuweka mafuta gari la wagonjwa.

Shaka alipokea tuhuma hizo kutoka kwa mume wa marehemu, Seleman Makuani wakati akisikiliza kero za wananchi katika Kata na Kijiji cha Kidodi, mkoani humo.

Hii hakuna anaye jali kabisa.
Kuna fani yaoo....

Rip mama....ujaonaaa mtu amefia kwenye ambulance na katoka mzima

Mapenzi ya Bwana yatimizwe
 
Wakati anaupiga mwingi, kwa kununua magoli ya Yanga na Simba kuna watu wana safa sana kwa huduma za afya. Kule Kilosa Mama kafariki kwa kukosa pesa za mafuta ya Gari ya kubebea wagonjwa.

Mkuu wa Wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro, Shaka Hamdu Shaka ametoa siku tatu vyombo vya usalama kuchunguza tukio la mama mjamzito aliyefariki baada ya familia yake kukosa pesa za kuweka mafuta gari la wagonjwa.

Shaka alipokea tuhuma hizo kutoka kwa mume wa marehemu, Seleman Makuani wakati akisikiliza kero za wananchi katika Kata na Kijiji cha Kidodi, mkoani humo.

Hii hakuna anaye jali kabisa.
Kuna mbunge wa huyo mama kuna mkuu wa wilaya anayotoka huyo mama, kuna mkuu wa mkoa. kuna serikali nzima kabla hujamhusisha SSH.

Wote hao wanahusika na wanawajibika kumsaidia huyo mama. Kuna zahanati zinazojengwa kwa pesa za kodi na huko Morogoro zipo nyingi tu.

Magoli yatanunuliwa tu kwani Simba na Yanga ni walipa kodi wakubwa kuliko taasisi nyingi zilizopo nchini. Wanao mchango mkubwa wa kukuza jina la Tanzania kimataifa.

Kila wanapofuzu makundi au robo fainali kuna pesa nyingi wanazoingiza kwenye akaunti za vilabu vyao na kuna kodi nyingi inayoingia serikali kuu.

Serikali haiwezi kumsaidia moja kwa moja kila mwanamke mjamzito, tupunguze hizi nongwa za kipuuzi.
 
Wakati anaupiga mwingi, kwa kununua magoli ya Yanga na Simba kuna watu wana safa sana kwa huduma za afya. Kule Kilosa Mama kafariki kwa kukosa pesa za mafuta ya Gari ya kubebea wagonjwa.

Mkuu wa Wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro, Shaka Hamdu Shaka ametoa siku tatu vyombo vya usalama kuchunguza tukio la mama mjamzito aliyefariki baada ya familia yake kukosa pesa za kuweka mafuta gari la wagonjwa.

Shaka alipokea tuhuma hizo kutoka kwa mume wa marehemu, Seleman Makuani wakati akisikiliza kero za wananchi katika Kata na Kijiji cha Kidodi, mkoani humo.

Hii hakuna anaye jali kabisa.
Mama Sa100 kagundua kwenye mpira ndo kumejaa WAJINGA wengi kaamua kuelekeza nguvu kubwa huko na kuacha mambo ya msingi ya kuondoa changamoto za Watanzania. Huduma za afya mbovu, barabara mbovu nk.
 
Wakati anaupiga mwingi, kwa kununua magoli ya Yanga na Simba kuna watu wana safa sana kwa huduma za afya. Kule Kilosa Mama kafariki kwa kukosa pesa za mafuta ya Gari ya kubebea wagonjwa.

Mkuu wa Wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro, Shaka Hamdu Shaka ametoa siku tatu vyombo vya usalama kuchunguza tukio la mama mjamzito aliyefariki baada ya familia yake kukosa pesa za kuweka mafuta gari la wagonjwa.

Shaka alipokea tuhuma hizo kutoka kwa mume wa marehemu, Seleman Makuani wakati akisikiliza kero za wananchi katika Kata na Kijiji cha Kidodi, mkoani humo.

Hii hakuna anaye jali kabisa.
 

Attachments

  • VID-20240912-WA0034.mp4
    10.2 MB
Uchunguzi unaendelea, haya mambi sio ya kuwapa wanasiasa.

Iwe jino kwa jino, mtafute aliesababisha wife na yeye mpeleke kuzimu.
 
Taifa limekuwa cursed kwa kuongozwa na mwanamke,

Yes hatutegemei kiongozi kuwa perfect 100 percent but kuna matumizi ya kipumbavu sana yanafanyika na huyu mwanamke ambayo kwa anayewaza sawasawa hakuna kiongozi atakubali yafanyike
 
Hatuwezi kulaumu serikali kwa kila kosa linalofanywa na watu huku chini!,sio kwamba hawakuweza kumuwahisha hospital huyo mama mambo mengine sie wananchi wenyewe hatuna uwajibikaji huyo dereva alishindwa nini kuwasaidia mafuta ya 180000! hata nauli mwanza dar haifiki hiyo hii ni rushwa sasa!..
huo si uzembe wa rais ni uwajibikaji wa dereva ama hiyo sehemu anayofanyia kazi,mwananchi hawezi kulipia pesa yote hiyo et mafuta huo ni uzandiki!.

watanzania tubadilike kwanini tutumie shida za mwengine kama sehemu yakupatia fedha,kwani kila mtu akifanya wajibu wake nini kitaharibika!!.
uchunguzi ufanyike na wanaotakiwa kuwajibishwa wawajibishwe hatuwezi kulea huu upuuzi kiasi hichi,hizi ni tamaa za watu binafsi!.
Kwa hiyo wewe ungekuwa dereva wa hiyo ambulance ungetoa fedha yako ununue mafuta?
 
Back
Top Bottom