Mjamzito afariki kwa kukosa pesa ya mafuta gari la wagonjwa, wakati Mama ananunua magoli

Mjamzito afariki kwa kukosa pesa ya mafuta gari la wagonjwa, wakati Mama ananunua magoli

Wakati anaupiga mwingi, kwa kununua magoli ya Yanga na Simba kuna watu wana safa sana kwa huduma za afya. Kule Kilosa Mama kafariki kwa kukosa pesa za mafuta ya Gari ya kubebea wagonjwa.

Mkuu wa Wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro, Shaka Hamdu Shaka ametoa siku tatu vyombo vya usalama kuchunguza tukio la mama mjamzito aliyefariki baada ya familia yake kukosa pesa za kuweka mafuta gari la wagonjwa.

Shaka alipokea tuhuma hizo kutoka kwa mume wa marehemu, Seleman Makuani wakati akisikiliza kero za wananchi katika Kata na Kijiji cha Kidodi, mkoani humo.

Hii hakuna anaye jali kabisa.
She Must Go!
 
kwenye hili nitamtetea jamaa hata kama kujipanga ndio lkn 180000 hiyo nauli hata dar mwanza ni kubwa! hapa kuna namna ambulance imepewa wapigaji kuna upuuzi umefanyika kwa maksudi hapa!.
Hakuna Sheria ya kulipia mafuta huo ni uhalifu
 
Ila ujauzito ni mchakato maandalizi ya kujifungua ni muhimu sana hasa kwa wanaume tusiishie kutia mimba tu tuwajibike unakuta jitu linatia mimba tu Kila baada ya miaka miwili hospital akiambiwa achangie japo dawa na vipimo anakuambia Sina pesa inasikitisha sana.

Kuna jamaa mmoja limeoa binti wa watu akampa mimba ikalelewa hivyo hivyo kimagumashi mpaka ikatimiza miez 9 ikatakiwa 350000 ya operation na huduma nyingine bahati nzuri wale ma Dr wa Hospital ya Mwanyamala waliweka mbele ubinadamu wakamzalisha salama yule binti ila wakasema hatoki mpaka pesa ilipwe jamaa anaambiwa na baba Mkwe wake Lete pesa japo kidgo anasema Hana hata Senti yule binti alizuiliwa hospital karibu week 2 ndio baba Mkwe akaingia mfukoni kwake na kutoa 350000 kwa minajiri kwamba Mkwe atamrudushia mpaka Leo mtoto ana miez 11 na pesa jamaa hajamlipa baba Mkwe wake sasa hii sio sawa.
yaani mtu kuitwa baba anaipenda ila kuhudumian aah
 
Ule mpango wa m-mama haupo nchi zima? Hizi habari zinahitaji kusikia taarifa kutoka pande zote mbili kabla ya kurusha lawama. Huko vijijini watu wana tabia ya kujifungulia nyumbani wakiona hali mbaya ndio wanakwenda kituo cha afya, wakati mwingine wanakuwa wamechelewa sana. Nimewahi kuona kesi ya mjamzito kujifungulia nje ya kituo ndio maana nimewaza hivyo.
 
Hatuwezi kulaumu serikali kwa kila kosa linalofanywa na watu huku chini!,sio kwamba hawakuweza kumuwahisha hospital huyo mama mambo mengine sie wananchi wenyewe hatuna uwajibikaji huyo dereva alishindwa nini kuwasaidia mafuta ya 180000! hata nauli mwanza dar haifiki hiyo hii ni rushwa sasa!..
huo si uzembe wa rais ni uwajibikaji wa dereva ama hiyo sehemu anayofanyia kazi,mwananchi hawezi kulipia pesa yote hiyo et mafuta huo ni uzandiki!.

watanzania tubadilike kwanini tutumie shida za mwengine kama sehemu yakupatia fedha,kwani kila mtu akifanya wajibu wake nini kitaharibika!!.
uchunguzi ufanyike na wanaotakiwa kuwajibishwa wawajibishwe hatuwezi kulea huu upuuzi kiasi hichi,hizi ni tamaa za watu binafsi!.
Watoto mnaoishi mijin bana kazi sana,msipende kusikiliza kelele za wanasiasa majukwaan hali halisi n mbaya sana uko vijijin vituo vinaambiwa vijiendeshe kwa mapato wanayoingiza na ilihali wanaambiwa watoe huduma bure,ambulance kutokuwa na mafuta n issue ya kawaida vijijin uko ndo maana mgonjwa inabid achangie mafuta.alafu 180k n lita 50 mkuu ambayo n reasonable apo si wamesema kilosa to mikumi go n return
 
Watoto mnaoishi mijin bana kazi sana,msipende kusikiliza kelele za wanasiasa majukwaan hali halisi n mbaya sana uko vijijin vituo vinaambiwa vijiendeshe kwa mapato wanayoingiza na ilihali wanaambiwa watoe huduma bure,ambulance kutokuwa na mafuta n issue ya kawaida vijijin uko ndo maana mgonjwa inabid achangie mafuta.alafu 180k n lita 50 mkuu ambayo n reasonable apo si wamesema kilosa to mikumi go n return
Wewe unaona ni sawa? Yaani wahalifu mafuta tuwanunulie ya kuwapeleka na kuwarudisha mahabusu ila kuwanunulia mafuta wagonjwa tunashindwa? Serikali acheni kuleta uhuni wajibikeni unatoa bilioni 20 kwa wasanii ila unashindwa kuwapa ruzuku ya mafuta vituo vya afya? Serious
 
Ila ujauzito ni mchakato maandalizi ya kujifungua ni muhimu sana hasa kwa wanaume tusiishie kutia mimba tu tuwajibike unakuta jitu linatia mimba tu Kila baada ya miaka miwili hospital akiambiwa achangie japo dawa na vipimo anakuambia Sina pesa inasikitisha sana.

Kuna jamaa mmoja limeoa binti wa watu akampa mimba ikalelewa hivyo hivyo kimagumashi mpaka ikatimiza miez 9 ikatakiwa 350000 ya operation na huduma nyingine bahati nzuri wale ma Dr wa Hospital ya Mwanyamala waliweka mbele ubinadamu wakamzalisha salama yule binti ila wakasema hatoki mpaka pesa ilipwe jamaa anaambiwa na baba Mkwe wake Lete pesa japo kidgo anasema Hana hata Senti yule binti alizuiliwa hospital karibu week 2 ndio baba Mkwe akaingia mfukoni kwake na kutoa 350000 kwa minajiri kwamba Mkwe atamrudushia mpaka Leo mtoto ana miez 11 na pesa jamaa hajamlipa baba Mkwe wake sasa hii sio sawa.
Acha ujinga
 
Wakati anaupiga mwingi, kwa kununua magoli ya Yanga na Simba kuna watu wana safa sana kwa huduma za afya. Kule Kilosa Mama kafariki kwa kukosa pesa za mafuta ya Gari ya kubebea wagonjwa.

Mkuu wa Wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro, Shaka Hamdu Shaka ametoa siku tatu vyombo vya usalama kuchunguza tukio la mama mjamzito aliyefariki baada ya familia yake kukosa pesa za kuweka mafuta gari la wagonjwa.

Shaka alipokea tuhuma hizo kutoka kwa mume wa marehemu, Seleman Makuani wakati akisikiliza kero za wananchi katika Kata na Kijiji cha Kidodi, mkoani humo.

Hii hakuna anaye jali kabisa.
sasa hama Mh SSH anahusikaje na kifo hicho? mambo mengine tuahe kumsingizia.hapo wakuajibishwa ni DMO na RMO basi.Hata waziri wa afya hahusiki kihivyo sembuse raisi wa nchi.
 
Wakati anaupiga mwingi, kwa kununua magoli ya Yanga na Simba kuna watu wana safa sana kwa huduma za afya. Kule Kilosa Mama kafariki kwa kukosa pesa za mafuta ya Gari ya kubebea wagonjwa.

Mkuu wa Wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro, Shaka Hamdu Shaka ametoa siku tatu vyombo vya usalama kuchunguza tukio la mama mjamzito aliyefariki baada ya familia yake kukosa pesa za kuweka mafuta gari la wagonjwa.

Shaka alipokea tuhuma hizo kutoka kwa mume wa marehemu, Seleman Makuani wakati akisikiliza kero za wananchi katika Kata na Kijiji cha Kidodi, mkoani humo.

Hii hakuna anaye jali kabisa.
Kwa hiyo hili nalo ni lawama kwa rais? serious!!
 
Watoto mnaoishi mijin bana kazi sana,msipende kusikiliza kelele za wanasiasa majukwaan hali halisi n mbaya sana uko vijijin vituo vinaambiwa vijiendeshe kwa mapato wanayoingiza na ilihali wanaambiwa watoe huduma bure,ambulance kutokuwa na mafuta n issue ya kawaida vijijin uko ndo maana mgonjwa inabid achangie mafuta.alafu 180k n lita 50 mkuu ambayo n reasonable apo si wamesema kilosa to mikumi go n return
ni kama mambo ya kumfikisha afisa kilimo shambani. fungua wallet tu
 
Back
Top Bottom