Mjamzito afariki kwa kukosa pesa ya mafuta gari la wagonjwa, wakati Mama ananunua magoli

Mjamzito afariki kwa kukosa pesa ya mafuta gari la wagonjwa, wakati Mama ananunua magoli

Wakati anaupiga mwingi, kwa kununua magoli ya Yanga na Simba kuna watu wana safa sana kwa huduma za afya. Kule Kilosa Mama kafariki kwa kukosa pesa za mafuta ya Gari ya kubebea wagonjwa.

Mkuu wa Wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro, Shaka Hamdu Shaka ametoa siku tatu vyombo vya usalama kuchunguza tukio la mama mjamzito aliyefariki baada ya familia yake kukosa pesa za kuweka mafuta gari la wagonjwa.

Shaka alipokea tuhuma hizo kutoka kwa mume wa marehemu, Seleman Makuani wakati akisikiliza kero za wananchi katika Kata na Kijiji cha Kidodi, mkoani humo.

Hii hakuna anaye jali kabisa.

Buduma za afya kwenye emergency inabidi ziwe bure kwa Watanzania,wote.
 
kina vitu havihitaji hata kuuliza ndugu! ile aio starehe ya kwamba mtu anahitaji hiyo pesa akalewee ile ni shida inayohusu afya moja kwa moja!.
nyie kama mnaona kilichofanyika ni sahihi hizo ni peo zenu,lkn usije ukategemea rais akashuka akaja kukuambia kuwa huyu anahitaji msaada msaidie halafu swala la malipo baadae! unauliza kama vile hauna hekima mkuu!
Sijapinga mengine uliyosema kwenye post yako. Ila naangalia uhalali wa wewe kumlaumu dereva kwa gari kukosa mafuta. Tuseme ambulance ni ya serikali, unafikiri dereva akiamua tu kuinunulia mafuta, ambayo kawaida anayapatia GPSA hiyo pesa yake nani atamrudishia? Najaribu tu kumtoa dereva kwenye lawama.
 
Wakati anaupiga mwingi, kwa kununua magoli ya Yanga na Simba kuna watu wana safa sana kwa huduma za afya. Kule Kilosa Mama kafariki kwa kukosa pesa za mafuta ya Gari ya kubebea wagonjwa.

Mkuu wa Wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro, Shaka Hamdu Shaka ametoa siku tatu vyombo vya usalama kuchunguza tukio la mama mjamzito aliyefariki baada ya familia yake kukosa pesa za kuweka mafuta gari la wagonjwa.

Shaka alipokea tuhuma hizo kutoka kwa mume wa marehemu, Seleman Makuani wakati akisikiliza kero za wananchi katika Kata na Kijiji cha Kidodi, mkoani humo.

Hii hakuna anaye jali kabisa.
Tutatoa za rambi tambi kufidia kifoo chake na hayo mafuta
 
Ni wakati wa sisi wananchi kuambiana ukweli afya, elimu na chakula na mengineyo ni jukumu letu kila mmoja binafsi cha bure hewa tu. Haiwezekani mimba tangu ina mwezi mmoja hadi tisa hauweki akiba ya fedha hata kidogo ukitegemea upewe kila kitu bure! Vituo vya afya vijijini bado vinachangamoto nyingi, ambazo serikali imeweza kufanya pakubwa.
Wanasiasa nao wawaambie ukweli wananchi wao! sisi ni dunia ya tatu' kiuchumi bado tunajitafuta, watu wafanye kazi kwa bidii na wapange uzazi kuweza kumudu gharama za maisha wasije kuishia kulaumu magoli ya mama ambayo yanatengeneza morali ya kujituma zaidi kwa wachezaji wetu itakayokuja kupelekea ajira nyingi zaidi kwa vijana ikiwa mpira wetu utauzika nje ya nchi.
 
ulitaka nieleweje ng'ombe wewe
nipo serikalini umeshawahi sikia Rc, dc au mkurugenzi au waziri, amekosa mafuta nyang'au wewe wao wana thamani watanzania wengine? yaani serikhali wanakosa mafuta ya ambulance lakini mafuta ya kukimbiza mwenge yapo nyoka mkubwa wewe.
du
Niliwahi kuwa na jamaa yangu hospitali ya rufaa Morogoro aliyepata ajali ya pikipiki, inatakiwa aende Muhimbili kwa ambulance. Hapo kuna majeruhi wengine wawili wa ajali ya gari, wanaunganishwa wote kwenye ambulance na kila mgonjwa alitakiwa kutoa 350K. Yule jamaa yetu ilibidi tumpakie Abood kesho yake kwani kesi yake ilikuwa ni ya fracture tu ya mkono
ipo shida mahali na nahisi kabisa watu wanakula kwasababu ya shida za watu
 
Watoto mnaoishi mijin bana kazi sana,msipende kusikiliza kelele za wanasiasa majukwaan hali halisi n mbaya sana uko vijijin vituo vinaambiwa vijiendeshe kwa mapato wanayoingiza na ilihali wanaambiwa watoe huduma bure,ambulance kutokuwa na mafuta n issue ya kawaida vijijin uko ndo maana mgonjwa inabid achangie mafuta.alafu 180k n lita 50 mkuu ambayo n reasonable apo si wamesema kilosa to mikumi go n return
mh!
 
Sijapinga mengine uliyosema kwenye post yako. Ila naangalia uhalali wa wewe kumlaumu dereva kwa gari kukosa mafuta. Tuseme ambulance ni ya serikali, unafikiri dereva akiamua tu kuinunulia mafuta, ambayo kawaida anayapatia GPSA hiyo pesa yake nani atamrudishia? Najaribu tu kumtoa dereva kwenye lawama.
labda sielewi utaratibu wa serikali kwani mtu hawezi kudaiwa baada ya huduma..??
 
Ila ujauzito ni mchakato maandalizi ya kujifungua ni muhimu sana hasa kwa wanaume tusiishie kutia mimba tu tuwajibike unakuta jitu linatia mimba tu Kila baada ya miaka miwili hospital akiambiwa achangie japo dawa na vipimo anakuambia Sina pesa inasikitisha sana.

Kuna jamaa mmoja limeoa binti wa watu akampa mimba ikalelewa hivyo hivyo kimagumashi mpaka ikatimiza miez 9 ikatakiwa 350000 ya operation na huduma nyingine bahati nzuri wale ma Dr wa Hospital ya Mwanyamala waliweka mbele ubinadamu wakamzalisha salama yule binti ila wakasema hatoki mpaka pesa ilipwe jamaa anaambiwa na baba Mkwe wake Lete pesa japo kidgo anasema Hana hata Senti yule binti alizuiliwa hospital karibu week 2 ndio baba Mkwe akaingia mfukoni kwake na kutoa 350000 kwa minajiri kwamba Mkwe atamrudushia mpaka Leo mtoto ana miez 11 na pesa jamaa hajamlipa baba Mkwe wake sasa hii sio sawa.
Sidhani kama mfano wako unaendana na hali halisi, sera ya serikali kwa wamama wanaojifungua inasemaje? Wanalipia gharama ?

Pili wako ni uselfish wa ajabu, kumbuka yuko kijijini na kuna zahanati pale na je tunatakiwa kuweka hela ya mafuta ya gari kwenye taasisi za serikali ambayo inakusanya kodi?

Ni rahisi mwananchi wa kijijini kuwa na sh 180,000/ ? Acheni roho za kichawi kama wewe ni rahisi kuwa na pesa wahurumie wasiokuwa nazo usiwalaumu wala kuwaona hawana akili kwa kukosa hela huo ni ulimbukeni na ushamba
 
Wakati anaupiga mwingi, kwa kununua magoli ya Yanga na Simba kuna watu wana safa sana kwa huduma za afya. Kule Kilosa Mama kafariki kwa kukosa pesa za mafuta ya Gari ya kubebea wagonjwa.

Mkuu wa Wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro, Shaka Hamdu Shaka ametoa siku tatu vyombo vya usalama kuchunguza tukio la mama mjamzito aliyefariki baada ya familia yake kukosa pesa za kuweka mafuta gari la wagonjwa.

Shaka alipokea tuhuma hizo kutoka kwa mume wa marehemu, Seleman Makuani wakati akisikiliza kero za wananchi katika Kata na Kijiji cha Kidodi, mkoani humo.

Hii hakuna anaye jali kabisa.
Mama akinunua magari shida asiponunua ndo hayaa sasa
 
Watoto mnaoishi mijin bana kazi sana,msipende kusikiliza kelele za wanasiasa majukwaan hali halisi n mbaya sana uko vijijin vituo vinaambiwa vijiendeshe kwa mapato wanayoingiza na ilihali wanaambiwa watoe huduma bure,ambulance kutokuwa na mafuta n issue ya kawaida vijijin uko ndo maana mgonjwa inabid achangie mafuta.alafu 180k n lita 50 mkuu ambayo n reasonable apo si wamesema kilosa to mikumi go n return
Sijui kiungo gani unatumia kufikiria, bila aibu mwananchi wa kijijini unadai achangie sh 189k, tena unasema kirahisi tu Ä·wa sababu wewe unazo.
Je sera ya serikali inasemaje kwa wanaojifungua wachangie mafuta huko vijijini? Wala rushwa na mafisadi utawajua tu kwa kauli useless kabisa.
 
Ni wakati wa sisi wananchi kuambiana ukweli afya, elimu na chakula na mengineyo ni jukumu letu kila mmoja binafsi cha bure hewa tu. Haiwezekani mimba tangu ina mwezi mmoja hadi tisa hauweki akiba ya fedha hata kidogo ukitegemea upewe kila kitu bure! Vituo vya afya vijijini bado vinachangamoto nyingi, ambazo serikali imeweza kufanya pakubwa.
Wanasiasa nao wawaambie ukweli wananchi wao! sisi ni dunia ya tatu' kiuchumi bado tunajitafuta, watu wafanye kazi kwa bidii na wapange uzazi kuweza kumudu gharama za maisha wasije kuishia kulaumu magoli ya mama ambayo yanatengeneza morali ya kujituma zaidi kwa wachezaji wetu itakayokuja kupelekea ajira nyingi zaidi kwa vijana ikiwa mpira wetu utauzika nje ya nchi.
Baba yako angetumia condom tu, mwananchi wa kijijini anaweza kulipa sh 180,000? Umeona posho wanazolipana maofisa wa serikali?
Umeona magari ya thamani yanayonunuliwa serikali kila mwaka?
Unajua kuna halmashauri huwa zinarudisha pesa serikalini kwa kukosa matumizi?
Unajua wastani wa kipato cha mwananchi wa kijijini?

Ubinafsi wa kichawi huu kushindwa kuwaonea wengine wasio na kipato. Hebu tuambie serikali imefanya juhudi gani za kimkakati ili kuinua maisha ya watanzania vijijini?
 
Wakati anaupiga mwingi, kwa kununua magoli ya Yanga na Simba kuna watu wana safa sana kwa huduma za afya. Kule Kilosa Mama kafariki kwa kukosa pesa za mafuta ya Gari ya kubebea wagonjwa.

Mkuu wa Wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro, Shaka Hamdu Shaka ametoa siku tatu vyombo vya usalama kuchunguza tukio la mama mjamzito aliyefariki baada ya familia yake kukosa pesa za kuweka mafuta gari la wagonjwa.

Shaka alipokea tuhuma hizo kutoka kwa mume wa marehemu, Seleman Makuani wakati akisikiliza kero za wananchi katika Kata na Kijiji cha Kidodi, mkoani humo.

Hii hakuna anaye jali kabisa.
Inasikitisha sn, kwani hizo ofc zao hazina petty cash? Wanashindwa kuwa hata wazalendo? Naimani alivyofariki hao wafanyakazi wa afya walishiriki msiba wake kwa kuyoa fedha za pole, stupid kabisaaa. Ukishajiona unakinga mkono kila mwisho wa mwezi kutoka serikalini usijione ndio umefika na wenzako ni takataka. Sasa walishindwa hata kuchanga fedha za mafuta hao wafanyakz wa afya?

Lakini kuna maana gani ya kuwa na gari la wagonjwa ambalo halina mafuta? Si bora lisiwepo jamani.

Huyu Raisi anasafiri sana na mambo kibao yasiyonamsingi yanafanyika lakini wananchi wanaopaswa kula keki ya taifa wanakufa kwa sababu hata hiyo keki yenyewe wanatakiwa walipie. Nimesikitika sana kupotrza watu wawili kwa uzembe na ubinafsi.

Hapo kuna watoto either kawaacha wanatunzwa na mwanamke gani wa kuwapenda kama mama aloyewazaa? Nina masikitiko sana jaman kwa kweli, ni huzuni sanaa kwa familia hiyo. Mtafanya uchunguzi lakini hamuwezi kufuta alama ya hiyo familia, na chuki mliyoitengeneza ni kubwa sanaaa.

Wakati anaupiga mwingi, kwa kununua magoli ya Yanga na Simba kuna watu wana safa sana kwa huduma za afya. Kule Kilosa Mama kafariki kwa kukosa pesa za mafuta ya Gari ya kubebea wagonjwa.

Mkuu wa Wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro, Shaka Hamdu Shaka ametoa siku tatu vyombo vya usalama kuchunguza tukio la mama mjamzito aliyefariki baada ya familia yake kukosa pesa za kuweka mafuta gari la wagonjwa.

Shaka alipokea tuhuma hizo kutoka kwa mume wa marehemu, Seleman Makuani wakati akisikiliza kero za wananchi katika Kata na Kijiji cha Kidodi, mkoani humo.

Hii hakuna anaye jali kabisa.

Kuna haja gani ya kuwa na gari lisilo na mafuta? Machungu mliyotengeneza kwa hiyo familia ni makubwa sanaa
 
Back
Top Bottom