DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Ulikuwa mwanza maeneo GANI mkuu?,,usikute ulikuwa unakaa ukerewe,taja ulipokuwa unakaa
Mwanza na kagera bado ni vijiji na sijui huwa wanatumia vigezo gani kusema mwanza ni jiji na Bukoba ni manispaa
Hizi sehemu zote uchumi wake ni mgumu na wakazi wengi wana hali ngumu Sana.
Nimekaa mwanza
Nimekaa Bukoba
Kiufupi hata Kama wewe ni mpambanaji kutoboa inachukua muda Sana watu wenye huge capital ndo wana-survive.
Ila hustler aliyetoka chuo mwanza na Bukoba ukiwa umeajiriwa hapo uhakika.
Mwanza na Bukoba ndo sehemu unakuta MTU Ana miaka 60 anatembeza nguo za mtumba
Vijana wametelekeza wazazi wao
Wanaamini uchawi Sana
Kiufupi Dar itabaki kileleni na kidogo Arusha kwa mbali
Mimi najua usiwe mbishi ,seminar kubwa 90% zimepangwa kufanyika Arusha . Kww ndio unayesema semina kubwa zimeisha ...kwa taarifa Yako mwanza imefanya zaidi ya convention ,semina na mikutano si chini ya 30 kwa mwaka huu View attachment 3124917
Labda mwaka 2005 ndio mwanza unayosemeaMimi nimekaa Bugando
Kiufupi huo mkoa umezubaa Sana na sijui vigezo gani vilitumika kusema ni jiji sehemu ambayo Biashara zinafungwa saa tatu usiku usafiri shida n.k
Ndio maana bukoba ni mji wa kimaskini na umejaa mabanda kwa sababu wenyeji wa huko mna akili za matope kama hiv
Kwa hyo lengo lako unataka battle au .hoja Yako umesema Mwanza sa hv hamna semina nimekuletea semina unaanza kuleta habari za Arusha..sasa Mwanza tu hatuna international center lakin mikutano kama yote tukijenga je si ndio Kuna vijiji vitatia hurumaMimi najua usiwe mbishi ,seminar kubwa 90% zimepangwa kufanyika Arusha . KView attachment 3124922View attachment 3124923View attachment 3124924View attachment 3124925View attachment 3124926
Labda mwaka 2005 ndio mwanza unayosemea
Kwanza mwanza ya kulinganisha na bukoba ya Leo ni mwaka 1992
Jiajir wewe acha kutegemea kuajirowaHabari viongozi,
Nimechunguza muda mrefu na kugundua Mwanza ni jiji lakini fursa za ajira hamna kabisa, hasa hasa kwa private sector, ukiangalia matangazo ya ajira ni Dar na Arusha tu na Dodoma kidogo, Mwanza ni mara chache sana, Au Mwanza mnapeana kazi chini kwa chini?
Kila sehemu ni nguvu kiufupi Mwanza imeuliwa , naongea hili kwa sababu nimekaa miaka ya 2018 mpaka 2020 , nimecheza sana seminars .Mwanza na kagera bado ni vijiji na sijui huwa wanatumia vigezo gani kusema mwanza ni jiji na Bukoba ni manispaa
Hizi sehemu zote uchumi wake ni mgumu na wakazi wengi wana hali ngumu Sana.
Nimekaa mwanza
Nimekaa Bukoba
Kiufupi hata Kama wewe ni mpambanaji kutoboa inachukua muda Sana watu wenye huge capital ndo wana-survive.
Ila hustler aliyetoka chuo mwanza na Bukoba ukiwa umeajiriwa hapo uhakika.
Mwanza na Bukoba ndo sehemu unakuta MTU Ana miaka 60 anatembeza nguo za mtumba
Vijana wametelekeza wazazi wao
Wanaamini uchawi Sana
Kiufupi Dar itabaki kileleni na kidogo Arusha kwa mbali
Kila sehemu ni nguvu kiufupi Mwanza imeuliwa , naongea hili kwa sababu nimekaa miaka ya 2018 mpaka 2020 , nimecheza sana seminars .
Pia, Mwanza usafiri wa ndege una nguvu sana, kuna abiria wengi kuzidi hata Arusha hapo kwa watu ndani sio wataliii ...Mwanza ni mji unatakiwa kuwa na muingiliano mkubwa sana , kitu ambacho kwa sasa sio rahisi .
Ilikuwa mwaka gani huo mkuu?,maana hayo unayoongea saivi hayapoMimi nimekaa Bugando
Kiufupi huo mkoa umezubaa Sana na sijui vigezo gani vilitumika kusema ni jiji sehemu ambayo Biashara zinafungwa saa tatu usiku usafiri shida n.k
Leta figure sio maneno matupuAngalia usafiri
Angalia maduka yanafungwa saangapi
Angalia GDP
Mwanza ni mkoa masikini ukifatiwa na Bukoba
Kule mwanza kupata elfu kumi sio jambo jepesi mzunguko wa hela hamna.
Kazi hamna
Wananchi wengi wanategemea uvuvi na boda boda we acha tu
Wewe hujui unachotaka sio , nimekuambia kwa sasa haipewi kipaumbele hata seminars hazipo zimehamia Arusha ....Ni suala la muda ..Ule upepo kama jiji la pili umekata , ni wapi nimekuambia kuna battle?Kwa hyo lengo lako unataka battle au .hoja Yako umesema Mwanza sa hv hamna semina nimekuletea semina unaanza kuleta habari za Arusha..sasa Mwanza tu hatuna international center lakin mikutano kama yote tukijenga je si ndio Kuna vijiji vitatia huruma
Ungekuwa una thibitisha unacho kiongea Kwa data ingekuwa powa sana Kwa sisi wapitiajiAngalia usafiri
Angalia maduka yanafungwa saangapi
Angalia GDP
Mwanza ni mkoa masikini ukifatiwa na Bukoba
Kule mwanza kupata elfu kumi sio jambo jepesi mzunguko wa hela hamna.
Kazi hamna
Wananchi wengi wanategemea uvuvi na boda boda we acha tu
ukitoa Dar hakuna mji wa kuufikia mwanza kwa mzunguko wa pesa , hata tukeshe mpaka asubuhi ..Huo mji tangia zamani hauna maendeleo ya kiuchumi
Nyie watumishi ni ngumu Sana kuelewa mambo ya Economic na purchasing power Ila wafanya Biashara wao wanajua.
Unataka kusema mwanza ya sasa hv imepoa kuliko ya mwaka 2018 ..Kila sehemu ni nguvu kiufupi Mwanza imeuliwa , naongea hili kwa sababu nimekaa miaka ya 2018 mpaka 2020 , nimecheza sana seminars .
Pia, Mwanza usafiri wa ndege una nguvu sana, kuna abiria wengi kuzidi hata Arusha hapo kwa watu ndani sio wataliii ...Mwanza ni mji unatakiwa kuwa na muingiliano mkubwa sana , kitu ambacho kwa sasa sio rahisi .
ukitoa Dar hakuna mji wa kuufikia mwanza kwa mzunguko wa pesa , hata tukeshe mpaka asubuhi ..
Bora umesema wweukitoa Dar hakuna mji wa kuufikia mwanza kwa mzunguko wa pesa , hata tukeshe mpaka asubuhi ..
Wew mhaya ...kwenu bukoba ndio Kuna mzunguko mkubwaKwahiyo kati ya Arusha na mwanza wapi kuna mzunguko mkubwa wa pesa ?