Mjini Dar es salaam, sifa ya mwanaume ni kulewa wikendi na kutazama mchezo mikubwa

Mjini Dar es salaam, sifa ya mwanaume ni kulewa wikendi na kutazama mchezo mikubwa

Bob Manson

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2021
Posts
4,158
Reaction score
7,787
Ifikapo wikiendi wanaume wengi utawakuta maeneo ya kunywa pombe na kutazama michezo hasa mpira, wamejazana kwa wingi wakitumia kwa urefu wa kamba zao.

Katika jamii ya sasa ukiwa haufanyi mambo hayo, unaonekana kama bado sio mwanaume halisi, ili ukamilike ni lazima ubishane kuhusu mpira na ukae kwenye viti virefu.

Inasikitisha kwakweli.......

Niwatakie weekend njema wadau wote, iwe na heri kwenu na familia zenu.
 
Ifikapo wikiendi wanaume wengi utawakuta maeneo ya kunywa pombe na kutazama michezo hasa mpira, wamejazana kwa wingi wakitumia kwa urefu wa kamba zao.

Katika jamii ya sasa ukiwa haufanyi mambo hayo, unaonekana kama bado sio mwanaume halisi, ili ukamilike ni lazima ubishane kuhusu mpira na ukae kwenye viti virefu.

Inasikitisha kwakweli.......

Niwatakie weekend njema wadau wote, iwe na heri kwenu na familia zenu.

Tofauti ya Tanzania na kwingine Iko hapa:

IMG_20240824_065438.jpg


Bila kujitathmini kwa kina, Kwa hakika tungali bado sana.
 
weekend kama hii ni kubanjuana tu, tena mwendo wa 3some..
Astakafillah astakafillah astakafillah astakafillah astakafillah astakafillah astakafillah astakafillah astakafillah astakafillah astakafillah astakafillah astakafillah astakafillah astakafillah

Nilijua we jamaa ni mtu wa maana kumbe ...... Sasa 😂😂😂😂😂
 
Aaaah kwa sasa sina mengi ila naskilizia ratiba za ant caraphina tuone atasemaje maana naona ana heka heka huko ndani...

Mi nasubri tuu ratiba ya leo ila sioni dalili ya kutoka hapa..

Napata shaka leo kama hakuna viporo vya kazini huko basi kuna kazi tu tafanya aiseee
 
Jumamosi kama hii unagonga zako breakfast heavy home, mchana unagonga ugali mkubwa na samaki. Unalala kidogo kubuy buy time.

Kwenye saa Tisa unaamka unaoga zako, kisha unapiga pensi, t-shirt na sendo. Unajisogeza kigrocery cha karibu na home mnapokutana washkaji wawili watatu wa mtaani. Unstoa Loki kidogo.

Kwenye saa moja moja usiku unaenda kiwanja chenye vibe kimtindo unasikiliza muziki mkubwa. Huku ukicheki cheki warembo tofauti tofauti. Unacheki gemu kama ipo mda huo. Kwenye saa nne unageuza zako home.
 
Starehe ni kufanya kile kinachokupa furaha ndani ya nafsi yako wewe mwenyewe,

Kama kuna mtu anafanya vitu kwa kufuata mkumbo ili tu na yeye aonekane ila hiyo starehe haimpi furaha,basi mtu huyo anakua anaishi kama mtumwa tu,anaishi kwa ajili ya watu wamuone,

Live the life u love
Love the life u live.
 
Ifikapo wikiendi wanaume wengi utawakuta maeneo ya kunywa pombe na kutazama michezo hasa mpira, wamejazana kwa wingi wakitumia kwa urefu wa kamba zao.

Katika jamii ya sasa ukiwa haufanyi mambo hayo, unaonekana kama bado sio mwanaume halisi, ili ukamilike ni lazima ubishane kuhusu mpira na ukae kwenye viti virefu.

Inasikitisha kwakweli.......

Niwatakie weekend njema wadau wote, iwe na heri kwenu na familia zenu.
Wewe hatumii kilevi?
 
Jumamosi kama hii unagonga zako breakfast heavy home, mchana unagonga ugali mkubwa na samaki. Unalala kidogo kubuy buy time.

Kwenye saa Tisa unaamka unaoga zako, kisha unapiga pensi, t-shirt na sendo. Unajisogeza kigrocery cha karibu na home mnapokutana washkaji wawili watatu wa mtaani. Unstoa Loki kidogo.

Kwenye saa moja moja usiku unaenda kiwanja chenye vibe kimtindo unasikiliza muziki mkubwa. Huku ukicheki cheki warembo tofauti tofauti. Unacheki gemu kama ipo mda huo. Kwenye saa nne unageuza zako home.
Oaaa weee pigo zako kama za Dizasta Vina
 
Aaaah kwa sasa sina mengi ila naskilizia ratiba za ant caraphina tuone atasemaje maana naona ana heka heka huko ndani...

Mi nasubri tuu ratiba ya leo ila sioni dalili ya kutoka hapa..

Napata shaka leo kama hakuna viporo vya kazini huko basi kuna kazi tu tafanya aiseee
Leo tulia tu upunguze uchovu wa wiki nzima, na ukijaribu kutoroka ukirudi uwe na maelezo ya kutosha kwa Bibie
 
Starehe ni kufanya kile kinakupa furaha ndani ya nafsi yako wewe mwenyewe,

Kama kuna mtu anafanya vitu kwa kufuata mkumbo ili tu na yeye aonekane ila hiyo starehe haimpi furaha,basi mtu huyo anakua anaishi kama mtumwa tu,anaishi kwa ajili ya watu wamuone,

Live the life u love
Love the life u live.
Wengi wanafuata mikumbo tu, wengine wanadai wanapunguza mawazo, ila mwisho wote ni walevi
 
Back
Top Bottom