Mjini Dar es salaam, sifa ya mwanaume ni kulewa wikendi na kutazama mchezo mikubwa

Mjini Dar es salaam, sifa ya mwanaume ni kulewa wikendi na kutazama mchezo mikubwa

Jumamosi kama hii unagonga zako breakfast heavy home, mchana unagonga ugali mkubwa na samaki. Unalala kidogo kubuy buy time.

Kwenye saa Tisa unaamka unaoga zako, kisha unapiga pensi, t-shirt na sendo. Unajisogeza kigrocery cha karibu na home mnapokutana washkaji wawili watatu wa mtaani. Unstoa Loki kidogo.

Kwenye saa moja moja usiku unaenda kiwanja chenye vibe kimtindo unasikiliza muziki mkubwa. Huku ukicheki cheki warembo tofauti tofauti. Unacheki gemu kama ipo mda huo. Kwenye saa nne unageuza zako home.
Na huo ndyo mtindo wa maisha ya vijana wengi hapa town
 
Sio wote aiseee kuna sisi wengine tumefungiwa humu ndani...

Sijui hata natokaje tokaje dada
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wee develekaaa tyuu hapo kwa shangazi koko wa uswaziiii.
Atakapokutolea Dildos akuchokoee huko mferejini ndo utajua hujui.
Neng'enekaa hivyo hivyo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Astakafillah astakafillah astakafillah astakafillah astakafillah astakafillah astakafillah astakafillah astakafillah astakafillah astakafillah astakafillah astakafillah astakafillah astakafillah

Nilijua we jamaa ni mtu wa maana kumbe ...... Sasa 😂😂😂😂😂
😂😂 ulipoteza sana mda wako kujua mie ni mtu wa maana, watu wa maana wapo bungeni huko , wizarani na jeshi la polisi pamoja na TISS pasipo kusahahu CCM huko ndio wamejaa watu wenye maana zao
 
Wee develekaaa tyuu hapo kwa shangazi koko wa uswaziiii.
Atakapokutolea Dildos akuchokoee huko mferejini ndo utajua hujui.
Neng'enekaa hivyo hivyo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Dildos ndo nini
..
Mbona unataka kunichanganya na wewe 😂😂😂😂😂
 
Muulize huyo shangazi yako akuambiee.
Wee neng'enekaaaa, kikulambeeeee, waulize wenzio.
Woiiiiih [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimetoka ku google hapa daaah 😂😂😂😂😂😂😂..
Wee mbinguni utapaskia tuu Sheeenziiiii kabisa
 
Ukipiga mahesabu ya haraka, ukinunua beer ukatulia nyumbani au whiskey unatumia gharama ndogo sana.

Bar lazima ukutane na marafiki ndipo inaanza ile "nipe moja kwa yulee.."

Unakuja kutoka unagundua pesa uliyotumia ungenunua carton za kutosha ukaweka nyumbani ukanywa hata mwezi mzima.

Kile kisingizio bar tunapata connection sio bongo.
Ni makelele tu ya amapiano. Ujinga tu.
 
😁😁 kama hela ingekuwepo kama watu wa maana walizo nazo sasa hivi ningekuwa napiga kabisa 5some, kwenye hotel ya 5star.. tumefungua vioo upepo unapiga na sio kutumia feni wala A.C maana huwa vinakausha utelezi
Astakafillah astakafillah astakafillah
😂😂😂 Aaaaah punguza sasa...

Naona leo unaamua kunionesha how you are.....😂😂😂😂😂😂😂5some hapana kea kweli si ushaitwani huo
 
Ifikapo wikiendi wanaume wengi utawakuta maeneo ya kunywa pombe na kutazama michezo hasa mpira, wamejazana kwa wingi wakitumia kwa urefu wa kamba zao.

Katika jamii ya sasa ukiwa haufanyi mambo hayo, unaonekana kama bado sio mwanaume halisi, ili ukamilike ni lazima ubishane kuhusu mpira na ukae kwenye viti virefu.

Inasikitisha kwakweli.......

Niwatakie weekend njema wadau wote, iwe na heri kwenu na familia zenu.
Hii post imekaa ki wivu wivu sana sana juu yawatu wanao ishi mjini!
 
Back
Top Bottom