Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Tuelekeze kwako tuwe tunakuja kushinda huko
Na ukifanya hayo pia kuna watu watakuona una matatizo, kama hivi wewe unavoona wanaotoka, kunywa kushangilia mpira wana matatizo.....Mimi sipo perfect, Nina mapungufu na makosa yangu lakini sio ya kunywa pombe.
Ndyomaana nimesema ukiwa haufanyi hayo mambo jamii inakuona kama hujakamilika au una matatizo.
Mie nakuambia ukweli, kua makini na mashangazii tena hao wako koko ndo kabisaa.Jiheshimu wewe...
Acha makelele yako [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Dar es salaam ya wap iyo,!?Ifikapo wikiendi wanaume wengi utawakuta maeneo ya kunywa pombe na kutazama michezo hasa mpira, wamejazana kwa wingi wakitumia kwa urefu wa kamba zao.
Katika jamii ya sasa ukiwa haufanyi mambo hayo, unaonekana kama bado sio mwanaume halisi, ili ukamilike ni lazima ubishane kuhusu mpira na ukae kwenye viti virefu.
Inasikitisha kwakweli.......
Niwatakie weekend njema wadau wote, iwe na heri kwenu na familia zenu.
Sijasema wana matatizo, nimesema tabia zao zinasikitisha kwakweliNa ukifanya hayo pia kuna watu watakuona una matatizo, kama hivi wewe unavoona wanaotoka, kunywa kushangilia mpira wana matatizo.....
Kwangu hakuna kreti wala mizinga ya ulabuTuelekeze kwako tuwe tunakuja kushinda huko wikiisha
Imekuwa opposite kivipi mkuu, fafanuaMiaka ya zamani,mtu abayekunywa Pombe,alionekana ni kama mtu aliyepotea,asiye na heshima kwenye jamii,
Ila miaka hii imekua ni opposite.
NYIE WANAWAKE WA MIKOANI MNA USHAMBA MWINGI. YAANI KWA KUWA YOU BOYFRIEND KAKWAMBIA HIVYO NDO IMEKUWA KWA WANAUME WOTE??????????????????Ifikapo wikiendi wanaume wengi utawakuta maeneo ya kunywa pombe na kutazama michezo hasa mpira, wamejazana kwa wingi wakitumia kwa urefu wa kamba zao.
Katika jamii ya sasa ukiwa haufanyi mambo hayo, unaonekana kama bado sio mwanaume halisi, ili ukamilike ni lazima ubishane kuhusu mpira na ukae kwenye viti virefu.
Inasikitisha kwakweli.......
Niwatakie weekend njema wadau wote, iwe na heri kwenu na familia zenu.
Ya TanzaniaDar es salaam ya wap iyo,!?
Acha watu waishi maisha yao, ilimradi hawavunji sheria, watu wanapitia mengi....acha wainjoi, waipe miili pole, wachangamshe akili.Sijasema wana matatizo, nimesema tabia zao zinasikitisha kwakweli
Unajitoa ufahamu kusema mimi ni mwanamke sindiyo, ila ujumbe wangu nimeufikisha.NYIE WANAWAKE WA MIKOANI MNA USHAMBA MWINGI. YAANI KWA KUWA YOU BOYFRIEND KAKWAMBIA HIVYO NDO IMEKUWA KWA WANAUME WOTE??????????????????
Rough riders je???Kwangu hakuna kreti wala mizinga ya ulabu
Mbona sijawapangia watu maisha Madam, nimesema tu tabia zao zinasikitisha kwakweliAcha watu waishi maisha yao, ilimradi hawavunji sheria, watu wanapitia mengi....acha wainjoi, waipe miili pole, wachangamshe akili.
We endelea zako kukaa ndani kwa raha zako, huku ukinywa mirinda nyeusi, pembeni kuna biblia na tenzi za rohoni.
Mkuu Kuna kunywa na Kuna kulewa........Miaka ya zamani,mtu abayekunywa Pombe,alionekana ni kama mtu aliyepotea,asiye na heshima kwenye jamii,
Ila miaka hii imekua ni opposite.
Ni kitu gani hicho Madam?Rough riders je???
😂😂😂 utashangaa peponi tutao anza kupewa pisi 72 ni wale tulio kuwa tunapiga kuanzia 4some.. nyie mtakuwa wa mwisho mwishoPepo wewe....🔥🔥🔥🔥🔥
Hapana huwezi nishawishi hivo me
Yapo maeneo naweza kupata inspiration lakini sio baa, yaani walevi ndyo wanipe motivation ya Maisha??? Hilo hapana aiseeSasa umejifungia geto unakula ugali wako na dagaa mchele una kibubu Kila siku unatumbukiza tu buku mbili mbili halafu umeridhika mwenyewe.