Mjue kwa undani nabii TB Joshua

Mtumishi wa mungu hauwezi ukamiliki ukwasi namna hiyo, auze mali zake awagaie wasiojieeza au atumie utajiri wake wote ajenge apartment kwa homeless kama alivyofanya Manny parciao.

Ni vigumu Tajiri kuingia ufalme wa mungu.
Ukisoma bibilia hakuna mtumishi wa Mungu alokua masikini
 
hahahaa
sku penda kuwakumbusha watu machungu.
na wenyewe wanayajua hayo.
ila Lumumba koooooonyo,sina hamu nao!
wakafanya mtumishi aonekane karubandika!
ahahahhhahhahahahha!
kabisa unabiiii ukaenda hewani!
 
ila Lumumba koooooonyo,sina hamu nao!
wakafanya mtumishi aonekane karubandika!
ahahahhhahhahahahha!
kabisa unabiiii ukaenda hewani!
hahahahaa
mi mwenyewe siku amini yaan walimchinja halaf bila hata kumwangalia usoni
 
Mungu anamtumia sana lakini yeye kama binadamu hawezi kosa mapungufu machache kama kujua mapema jengo lake litaanguka, ushindi wa Trump lakini kwa kiwango kikubwa utabiri wake uwa unakuwa sahihi
Mapungufu lzm yawepo ili kudhihirisha kwa nae ni binadamu.ila makubwa na mema ni mengi zaidi aliyofanya kuliko mapungufu.
Biblia inasema mtafanya miujiza zaidi ya aliofanya Yesu,kws hio ni kipawa anacho.
 
tapeli tu huyo hana lolote na huko Israeli watamfukuza tu
 
Mungu anamtumia sana lakini yeye kama binadamu hawezi kosa mapungufu machache kama kujua mapema jengo lake litaanguka, ushindi wa Trump lakini kwa kiwango kikubwa utabiri wake uwa unakuwa sahihi
alishatabiri nini kikawa sahihi? huyo anabahatisha tu hana lolote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…