Mjue Peter Mollel Gumbo aka Pierre Konki Mzee wa Liquid ambaye wengi hawafahamu vizuri

Huyo jamaa muongo muongo sana.

Ni dalali tu hana kazi nyingine huyo na maisha yake ya kuunga unga sana tofauti na wengi mnavyofikilia.
 
Ana mchango kwani anakukumbusha sio lazima uajiriwe ulipwe laki tatu wakati unaweza kujiajiri ukapata zaidi ya hizo Kwa kutumia kipaji chako , fire waist fire waist fire waist , it's Okey Okey
 
Halafu huyo piere ana bahati sna muacheni atusue tu alishaanguka na ghorofa keko kutoka ghorofa ya 5 kashuka nalo mpaka chini na hakuchunika hotel ilikuwa inaitwa chang'ombe village wala hajaruka alikuwa floor ya juu kabisa.
Ni kweli, Nilimshuhudia kwa macho yangu mawili, akidondoka na lile gholofa. Pia namjua.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Heeeee kumbe alikuwepo mule

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo ni fundi seremala mzuri tu...anachonga fenicha vizuri sana maeneo ya Keko maghorofani hapo.

Siku ya kudondoka kwa iliyokuwa Chang'ombe Village (sasa National Hotel), Peter alikuwa ndani ya jengo akirekebisha moja ya milango ya vyumba vya hoteli ghorofa ya tano..

Vigae vilivyoezekea hoteli vilianza kudondoka kimoja kimoja na jengo kuanza kucheza ndipo yeye aliruka kutoka ghorofa ya 5 kupitia dirishani...alitua salama juu ya kifusi cha mchanga!

Kimo chake kilimsaidia hakuumia hata chembe kwani 'centre of gravity' yake iko chini kama ya mtoto!





Sent using Jamii Forums mobile app
 
Halafu huyo piere ana bahati sna muacheni atusue tu alishaanguka na ghorofa keko kutoka ghorofa ya 5 kashuka nalo mpaka chini na hakuchunika hotel ilikuwa inaitwa chang'ombe village wala hajaruka alikuwa floor ya juu kabisa.
Dah...eti halafu akaja kuruka kutoka juu ya meza tu akavunjika mguu....[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Beretta ARX 160
 
Ujinga ujinga, sasa huo msemo wa kijinga unatuhusu, sijawahi sikia marekani wana intanteini vitu vya kipuuzi kama hivi. Badala ya kudeal na ishuz mnadeal na ujinga ujinga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…