becknature
JF-Expert Member
- Mar 9, 2017
- 665
- 825
Ukisoma ukurasa wake wa IG ndio utajua vizuri yeye ni mtu wa aina gani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sina muda na hela za mateso sababu ningezitaks mpaka now ningekuwa nazo sababu nawajua nani wanaotoa na wapi wanapatikana but nayajua madhila yote wanayoyapitia hao mnso waona kwenye media wakitamba na hizo hela za mashetani/majini mfano kufirimbwa na majini kila siku alfajiri wewe ungeweza?Na wewe kapige matungulo kama ni KAZI rahisi kihivyo
Ana Mabus mangapi Maximum? Na je ni route moja tu ya Mwanza to Bukoba?Ningekuwa sifahamiani nae ningeandika hadi ofisi zake zipo wapi...
Ni low profile, ndivyo katengeneza maisha yake hivyo.. nitajihisi mwenye hatia kumuandika hapa, lakini ndivyo hivyo..
Wana Back up kwenye urithi na Adabu ya pesa piaMimi kinachonishangaza Kwa Nini watu wengi wanaofanikiwa haraka wanakuwa na asili ya Asia na siyo ngozi nyeusi?
routes tofauti, kumi yanafika na zaidi..Ana Mabus mangapi Maximum? Na je ni route moja tu ya Mwanza to Bukoba?