Mjue Shafineyz, kijana mdogo anayemiliki kampuni ya mabasi

Mjue Shafineyz, kijana mdogo anayemiliki kampuni ya mabasi

Kwa Tanzania huyu mmiliki wa mabus ya Shafineyz ndiye mmiliki mdogo zaidi wa mabus kwa Tanzania au kama nitakuwa nimekosea mtanirekebisha.
View attachment 3242338

Ila tusiwe tu wachoyo wa pongezi inabidi tumpongeze sana kijana mwezetu kwa kupiga hatua kubwa ya kimaendeleo kwa kumiliki kampuni ya mabus maana kumiliki kampuni ya mabus sio kazi ndogo na kufanya biashara ya mabus sio kazi rahisi na sio biashara rahisi pia maana biashara hii ina changamoto nyingi ina inahitaji sana uvumilivu ila tuseme tu ukweli kijana mwezetu amepiga hatua kubwa sana ya kimaendeleo kwa kumiliki kampuni yake mwenyewe ya mabus hongera sana kwake Shafineyz
View attachment 3242339
Hongera sana kwako Shafineyz na sisi Kaka zako tunaamini utafika mbali katika biashara yako ya mabus hongera sana kijana mwezetu kwa kupiga hatua hii kubwa

Tumpe support kijana mwezetu

View attachment 3242337

MWANZA TO BUKOBA
Pongezi kwake, tunamtakia Kheri.
 
Kwa Tanzania huyu mmiliki wa mabus ya Shafineyz ndiye mmiliki mdogo zaidi wa mabus kwa Tanzania au kama nitakuwa nimekosea mtanirekebisha.
View attachment 3242338

Ila tusiwe tu wachoyo wa pongezi inabidi tumpongeze sana kijana mwezetu kwa kupiga hatua kubwa ya kimaendeleo kwa kumiliki kampuni ya mabus maana kumiliki kampuni ya mabus sio kazi ndogo na kufanya biashara ya mabus sio kazi rahisi na sio biashara rahisi pia maana biashara hii ina changamoto nyingi ina inahitaji sana uvumilivu ila tuseme tu ukweli kijana mwezetu amepiga hatua kubwa sana ya kimaendeleo kwa kumiliki kampuni yake mwenyewe ya mabus hongera sana kwake Shafineyz
View attachment 3242339
Hongera sana kwako Shafineyz na sisi Kaka zako tunaamini utafika mbali katika biashara yako ya mabus hongera sana kijana mwezetu kwa kupiga hatua hii kubwa

Tumpe support kijana mwezetu

View attachment 3242337

MWANZA TO BUKOBA
Hiki kichwa kinaonekana kiko smart; anastahili kuwa na uwezo huo
 
Kuna mwana yeye miaka mitano nyuma alikuwa na kijiwe cha chips sahivi anamabas km matano sita sijui aliotea wapi pesa
Kipindi cha kuuza chips
1740062362077.png



Sasa hivi akiwa na mabasi 5

1740062426280.png
 
Weupe ubebwa na uaminifu kitu ambacho ngozi nyeusi haina
Familia zao zilishawekeza zamani,Hivyo,kupata mtaji wa kuanzisha biashara ni rahisi kwao tofauti na sisi weusi ambao huanza mwanzo kabisa na ukifanikiwa kidogo tu wategemezi lukuki.
 
Zaidi ya kumiliki utajiri wa masharti, ana nini la maana anafanya katika kusaidia jamii?
Kwani asipoisaidia jamii ambayo pia haijawahi kumsaidia anapungukiwa kitu gani. Ana-hustle kwa ajili yake na familia yake si kwa ajili ya jamii.
 
Back
Top Bottom