Lets put something on perspective here, sio kwa ubaya, its my 2 cents.
Huyu chalii yuko mwanza. And kusema ni self made, naah, sio kweli. His late dad (RIP) alikua mfanyabiashara mkubwa wa mazagazaga (i dnt have right word for it), yaani hua ana kama used spares lakini za vitu vingi hasahasa vya mgodini. Hata mimi nmewahi kununua pale koromeo la pump yangu ya umwagiliaji.
Baada ya mzee kwenda, i think wakagawana akajitenga akafungua the same thing, na duka ake ipo inatazamana na ilipokua stendi ya kauma zamani (sikumbuki mtaa).
APart frm that, ana daladala (coaster) ndo ziko mob.
Hii mabasi sidhan kama zinazidi 2, tena n za kwenda singida, mayb ndo ameanza kuventure kwenye hii biashara.
Katika ubinadam, nigga n mtu flan humble tu, hana makuu wala nin, hata ukikutana nae tofaut na magari anayoendesha yakiwa na plate number ya jina lake na tatoo mingi na cheni za silver kama wasanii, hana tofaut na watu wengine.
Kuhusu ushombe, not really. Ni mweupe tu, sema kaweka dawa nywele na kachora mwili.
So yeah, mwenye sredi kampakulia minyama , lakn its fair kila mtu akapata mwanga on him.