Mjue Shafineyz, kijana mdogo anayemiliki kampuni ya mabasi

Mjue Shafineyz, kijana mdogo anayemiliki kampuni ya mabasi

Aaah, ila jamaa nae

Wewe ni mjinga, kwanza unaelewa wafanya biashara wa mabasi wengi/karibu wote wanazungushia biashara mikopo ya benki? na basi moja kuanza kukupa faida average ni baada miaka miwili...
Unapiga domo tu hufahamu lolote, wapo vijana wana pesa chafu na hutowaona popote we mpuuzi...
Hivi watanzania inaonekana hamna elimu juu ya mikopo wengi mnaona kukopa ni kushindwa Leo hii ata ukimleta Elon musk aje kuwekeza kwenye nchi yako iyo hela ya kuwekeza anachukua mkopo hatoi akiba yake bank unajua kwanini?
 
Kama ni pesa halali, hongera kwake
Kwa Tanzania huyu mmiliki wa mabus ya Shafineyz ndiye mmiliki mdogo zaidi wa mabus kwa Tanzania au kama nitakuwa nimekosea mtanirekebisha.
View attachment 3242338

Ila tusiwe tu wachoyo wa pongezi inabidi tumpongeze sana kijana mwezetu kwa kupiga hatua kubwa ya kimaendeleo kwa kumiliki kampuni ya mabus maana kumiliki kampuni ya mabus sio kazi ndogo na kufanya biashara ya mabus sio kazi rahisi na sio biashara rahisi pia maana biashara hii ina changamoto nyingi ina inahitaji sana uvumilivu ila tuseme tu ukweli kijana mwezetu amepiga hatua kubwa sana ya kimaendeleo kwa kumiliki kampuni yake mwenyewe ya mabus hongera sana kwake Shafineyz
View attachment 3242339
Hongera sana kwako Shafineyz na sisi Kaka zako tunaamini utafika mbali katika biashara yako ya mabus hongera sana kijana mwezetu kwa kupiga hatua hii kubwa

Tumpe support kijana mwezetu

View attachment 3242337

MWANZA TO BUKOBA
 
Lets put something on perspective here, sio kwa ubaya, its my 2 cents.
Huyu chalii yuko mwanza. And kusema ni self made, naah, sio kweli. His late dad (RIP) alikua mfanyabiashara mkubwa wa mazagazaga (i dnt have right word for it), yaani hua ana kama used spares lakini za vitu vingi hasahasa vya mgodini. Hata mimi nmewahi kununua pale koromeo la pump yangu ya umwagiliaji.
Baada ya mzee kwenda, i think wakagawana akajitenga akafungua the same thing, na duka ake ipo inatazamana na ilipokua stendi ya kauma zamani (sikumbuki mtaa).
APart frm that, ana daladala (coaster) ndo ziko mob.
Hii mabasi sidhan kama zinazidi 2, tena n za kwenda singida, mayb ndo ameanza kuventure kwenye hii biashara.
Katika ubinadam, nigga n mtu flan humble tu, hana makuu wala nin, hata ukikutana nae tofaut na magari anayoendesha yakiwa na plate number ya jina lake na tatoo mingi na cheni za silver kama wasanii, hana tofaut na watu wengine.
Kuhusu ushombe, not really. Ni mweupe tu, sema kaweka dawa nywele na kachora mwili.
So yeah, mwenye sredi kampakulia minyama , lakn its fair kila mtu akapata mwanga on him.
Mbona mnasahau kua jamaa ni tapeli wa kujifanya anatoa utajir wa kiganga?!
 
Umea
Kwa Tanzania huyu mmiliki wa mabus ya Shafineyz ndiye mmiliki mdogo zaidi wa mabus kwa Tanzania au kama nitakuwa nimekosea mtanirekebisha.
View attachment 3242338

Ila tusiwe tu wachoyo wa pongezi inabidi tumpongeze sana kijana mwezetu kwa kupiga hatua kubwa ya kimaendeleo kwa kumiliki kampuni ya mabus maana kumiliki kampuni ya mabus sio kazi ndogo na kufanya biashara ya mabus sio kazi rahisi na sio biashara rahisi pia maana biashara hii ina changamoto nyingi ina inahitaji sana uvumilivu ila tuseme tu ukweli kijana mwezetu amepiga hatua kubwa sana ya kimaendeleo kwa kumiliki kampuni yake mwenyewe ya mabus hongera sana kwake Shafineyz
View attachment 3242339
Hongera sana kwako Shafineyz na sisi Kaka zako tunaamini utafika mbali katika biashara yako ya mabus hongera sana kijana mwezetu kwa kupiga hatua hii kubwa

Tumpe support kijana mwezetu

View attachment 3242337

MWANZA TO BUKOBA
Ndika tumjuee sasa mbona haujatujumlisha? Ebu tujuze bwana
 
Kwa Tanzania huyu mmiliki wa mabus ya Shafineyz ndiye mmiliki mdogo zaidi wa mabus kwa Tanzania au kama nitakuwa nimekosea mtanirekebisha.
View attachment 3242338

Ila tusiwe tu wachoyo wa pongezi inabidi tumpongeze sana kijana mwezetu kwa kupiga hatua kubwa ya kimaendeleo kwa kumiliki kampuni ya mabus maana kumiliki kampuni ya mabus sio kazi ndogo na kufanya biashara ya mabus sio kazi rahisi na sio biashara rahisi pia maana biashara hii ina changamoto nyingi ina inahitaji sana uvumilivu ila tuseme tu ukweli kijana mwezetu amepiga hatua kubwa sana ya kimaendeleo kwa kumiliki kampuni yake mwenyewe ya mabus hongera sana kwake Shafineyz
View attachment 3242339
Hongera sana kwako Shafineyz na sisi Kaka zako tunaamini utafika mbali katika biashara yako ya mabus hongera sana kijana mwezetu kwa kupiga hatua hii kubwa

Tumpe support kijana mwezetu

View attachment 3242337

MWANZA TO BUKOBA
Ameshaachs utapeli wa kujifanya mganga /freemason now ameingia na gia ya mabasi?

Hamna low profile hapo mshamba tu kama ndo wewe mwenyewe nakuchana tu acha ushamba. Kwenye insta anaweka post kibao za majigambo kuwa ana hela but kwa jicho la tatu unamuona mpigaji tu matunguli
 
Huyo jamaa Kila mda anashinda TikTok anajinadi anauza Pete za majini.
Mara aingie chumbani atoe Hela zimejaa kwenye ndoo.
Yaan jamaa ni kama akina chief godlove wa jicho la tatu.
 
Kwa Tanzania huyu mmiliki wa mabus ya Shafineyz ndiye mmiliki mdogo zaidi wa mabus kwa Tanzania au kama nitakuwa nimekosea mtanirekebisha.
View attachment 3242338

Ila tusiwe tu wachoyo wa pongezi inabidi tumpongeze sana kijana mwezetu kwa kupiga hatua kubwa ya kimaendeleo kwa kumiliki kampuni ya mabus maana kumiliki kampuni ya mabus sio kazi ndogo na kufanya biashara ya mabus sio kazi rahisi na sio biashara rahisi pia maana biashara hii ina changamoto nyingi ina inahitaji sana uvumilivu ila tuseme tu ukweli kijana mwezetu amepiga hatua kubwa sana ya kimaendeleo kwa kumiliki kampuni yake mwenyewe ya mabus hongera sana kwake Shafineyz
View attachment 3242339
Hongera sana kwako Shafineyz na sisi Kaka zako tunaamini utafika mbali katika biashara yako ya mabus hongera sana kijana mwezetu kwa kupiga hatua hii kubwa

Tumpe support kijana mwezetu

View attachment 3242337

MWANZA TO BUKOBA
Kwa kweli Hongera zake sana
 
Back
Top Bottom