ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 14,949
- 54,485
Uza na wewe kama ni rahisi.Ngada
Uchawi tu..!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uza na wewe kama ni rahisi.Ngada
kwani uzi unahusu nini mkuu hebu soma titleLengo la kujua umri wake lilikuwa nini?
Sembe bi dadaUza na wewe kama ni rahisi.
Uchawi tu..!
Mhh!!! ila mods mna vituko, kwa hio ndipo umeingia kazini?Taja majina ya bus, unarukaruka sana au ni wewe mwenyewe?
Dogo anajitahidiHongera zake mzala kwa kupambana..
Wewe ni mjinga, kwanza unaelewa wafanya biashara wa mabasi wengi/karibu wote wanazungushia biashara mikopo ya benki? na basi moja kuanza kukupa faida average ni baada miaka miwili...Kuna mipumbavu inajidai inajua kila kitu, KAZI yao kubisha tu
Huyo mjinga ana stress za maisha..mimi ndo nilikwambia lengo ni kuboresha maisha yangu au umelitoa wapi hilo lengo ?
Sasa usitoe conclusion ni Tanzania nzima... na uzuri umetupa nafasi ya kukurekebisha..No need to research. Mambo mengi muda kidogo. Time is a factor of production
SawaSasa usitoe conclusion ni Tanzania nzima... na uzuri umetupa nafasi ya kukurekebisha..
Katika Biashara ukiweza kutumia mkopo mkubwa wa Bank au sehemu unaweza kuchukua bidhaa hata za B bila kulipa hata cents wewe ni mfanyabiashara mkubwa usikariri maneno ya mtaani yasio na faida Nchi zilizoendelea vitambulisho vyetu tu ndio dhamana kuu.Aaah, ila jamaa nae
Wewe ni mjinga, kwanza unaelewa wafanya biashara wa mabasi wengi/karibu wote wanazungushia biashara mikopo ya benki? na basi moja kuanza kukupa faida average ni baada miaka miwili...
Unapiga domo tu hufahamu lolote, wapo vijana wana pesa chafu na hutowaona popote we mpuuzi...