Mkakati wa mama mwenye nyumba kushinda uchaguzi mkuu wa 2025 kwa 95% huu hapa umeshawiva tayari

Mkakati wa mama mwenye nyumba kushinda uchaguzi mkuu wa 2025 kwa 95% huu hapa umeshawiva tayari

😁😁😁
16679078765645.jpg
 
Utashangaa qanasifia Democracia afu hatavmkutano wa Mjumbe hawaruhusiwi kufanya.

Na hawana uwezo w kufanya.

Ila Mimi naona hata SSH akisimama peke yake watu hawatoka kwenda kupiga kura. Na wakipiga kura atashindwa.

Wanawake wenzie hawamuelewi kabisa.
 
Kwa taarifa yako sisi wananchi tumeshalipuuza box la kura, na wala sio kwa maelezo ya Mbowe ama Zito. Hakuna mtu anayejitambua atakubali kwenda kupanga mstari kwenye box la kura zisizoheshimiwa. Hata CDM au ACT wakubali kushiriki huo ushenzi uitwao uchaguzi, bado sisi wapiga kura hatutakuwa na muda mchafu kwenda kupiga kura chini ya tume hii na katiba hii.

Machafuko au mapinduzi pekee ndio yatarejesha heshima ya box la kura. Hivyo tegemea idadi ndogo sana ya watu wasiojitambua kupanga mstari kwenye box la kura kupoteza muda.
Jisemee wewe na mmeo kama umeolewa - sisi wananchi maana yake nini? unajimwambafai bure acha bhana
 
Jisemee wewe na mmeo kama umeolewa - sisi wananchi maana yake nini? unajimwambafai bure acha bhana
Angalia idadi ya wapiga kura ya 2020, na angali chaguzi za marudio zilivyopuuzwa. Na hiyo 2025 ndio mtatafuta wapiga kura kwa torch mchana.
 
Angalia idadi ya wapiga kura ya 2020, na angali chaguzi za marudio zilivyopuuzwa. Na hiyo 2025 ndio mtatafuta wapiga kura kwa torch mchana.
Hii mbona inaeleweka dunia nzima hakuna mtu mwenye akili timamu anaenda kupiga kura siku hizi labda kama huna cha kufanya na unamaslahi au ndiyo mara yako ya kwanza kupiga kura. Nawashanga sana nyinyi mnaowaza hili kila siku- oho tume ya uchaguzi sijui nini. Mkuu kati ya hivyo hakuna kinacholeta ugali na matembele mezani.
 
Hii mbona inaeleka duni nzima hakuna mtu mwenye akili timamu anaenda kupiga kura siku hizi labda kama huna cha kufanya na unamaslahi au ndiyo mara yako ya kwanza kupiga kura. Nawashanga sana nyinyi mnaowaza hili kila siku- oho tume ya uchaguzi sijui nini. Mkuu kati ya hivyo hakuna kinacholeta ugali na matembele mezani.

Kwahiyo kwenye maisha yako wewe unawaza kula tu. Nyie ndio wale mnaoishi ili mle.
 
Habari zenu wana JF wenzangu, bila kupoteza muda ngoja niende kwenye mada husika ili kuwarahisishia wasomaji wasiopenda kusoma maandishi mengi.

Ni hivi... baada ya mama mwenye nyumba kufanikiwa kukitia chama chake mwenyewe mfukoni, na kuwadhibiti wale wote waliokuwa na ndoto ya kutaka kupimana nae ubavu mwaka 2025, sasa amehamisha mikakati yake ya ushindi kwa viongozi wakuu wawili wa vyama vyetu vikuu vya upinzani.

Viongozi hao ambao ndio nguzo kuu ya vyama vyao, tayari wameshatengenezwa kimkakati na mmoja wao aliwahi kuitwa mara mbili katika lile jumba jeupe la taifa na kukabidhiwa bahasha yake kimya kimya kama ishara ya shukran kwa makubaliano yao waliofikia na mama huyo wa nyumba yetu pendwa.

Viongozi hao licha ya account zao kuvimbishwa ili kupata nguvu ya kukamilisha walichopanga, lakini pia walihakikishiwa ulinzi wa maisha yao, ulinzi wa familia zao, ulinzi wa mali zao na pia kufutiwa kesi zao nk.

Mkakati huo utatimiaje, sasa fuatilia vizuri kile ninachoandika hapo chini 👇

Ikumbukwe kwamba vyama vya upinzani vimekuwa vikiitaka serikali itengeneze katiba mpya ambayo wanahisi itaweza kuwasaidia wao kushinda chaguzi mbali mbali na hatimae na kushika dola. Lakini kwa upande mungine pia wanaitaka serikali iifumue tume iliyopo na kuunda tume nyingine "huru" ambayo itawashirikisha wadau wote kwa ukaribu zaidi.

Kwahiyo sasa haya mambo mawili ya "katiba" na "tume huru" ndio yatakayotumiwa na wasukaji wa mpango huo kama kichochoro cha kutimiza mikakati ya ushindi wa mama huyo mwenye nyumba.

Inasemekana kitachofanyika ni kwamba serikali itaendelea na msimamo wake wa kutokuwa tayari kutengeneza katiba mpya wala kuunda tume huru, baada ya hapo kiongozi mmoja "mlamba asali mkongwe" wa upinzani atajifanya kuchukizwa na hali hiyo, kisha atatumia uwezo wake na madaraka yake makubwa katika chama kuwashawishi wenzake ambao asilimia kubwa ameshawatia mfukoni, kwamba wasusie uchaguzi wowote utakaofanyika nchini.

Wakishakubaliana kususia inamaana ushindani wa vyama vingine vya upinzani vilivyopo utakuwa mdogo sana hivyo kumpa mama mwenye nyumba fursa ya kuendelea kutawala yeye na bunge lake kama ilivyo sasa.

Yule kiongozi mungine ambae anatokea katika mkoa uliyopo pembezoni mwa ziwa fulani, atabaki kupewa nafasi ya kubwabwaja bwabwaja pale inapobidi ili kuwafunga macho wale wasiojua kile kinachoendelea katika siasa za nyumbani kwetu.

Dalili za mipango hiyo zimeshaanza kuonekana kwa viongozi hao kutia zip midomo yao, na mmoja wao kufikia hatua ya kwenda kumfagilia mama mwenye nyumba huko katika dunia ya kwanza.

Hii mada ni kwa ajili ya wale watu ambao wako huru kifikra na ki akili, wale ambao wanaona mbali na hawana mihemko ya kisiasa.

Hakika "moyo wa mtu msitu", unachokipanga wewe, sio kile anachokipanga mwenzio. Wakati kuna chawa wanashinda mitandaoni kuwapigania, kuwasifia na kuwafagilia viongozi wao wa vyao, wao wanaopiganiwa, wanaofagiliwa na kusifiwa wako busy kulamba asali kimya kimya na kutelekeza mipango ya vyama vyao kiaina.

Jioni njema wakuu. 🙏
upinzan hauna mda wa kupigania mapumbavu ya tanzania yasiyojielewa.
 
Moja ya mbinu zao ni hiyo ya kuwatumia wachumia tumbo wakubwa wa vyama vya upinzani.
Kama unafikiria kuwa kuna mpinzani au mwanasiasa ambae atakukomboa ujue unajidanganya sana.
mpinzani yupi anayejielewa atapigania wapumbavu wanaoambiwa kupigania haki zao zilizoporwa yamekaa tu kama mazezeta.
 
Wana ccm, nawashaurini; msifuni Mwenyezi mungu mpate thawabu.
haya mambo ya kumtukuza binadamu hata kuzidi Mwenyezi Mungu ni hatari sana na ni kufuru!
Kwani akili zenu mmefungia wapi? Mna matatizo gani? tubuni na kuungama dhambi zenu!
 
Mbowe lamba asali utakavyo jasho lako tu.elishuhudia kwamacho kamanda hawa mbwa wanao andikaandika wasio nauwezo wakutoka nje kuleta kashkash hawana maana tunakua ulitumia rasilimali zafamilia naukoo wenu pamoja naukweni kuinua chama chetu pendwa ila wafuasi wako bado niwaoga nawapumbavu kwaviwango visivyo pimika nahata siku moja usije kubali kufa ukauacha ukoo wenu ukinuka umasikini nahali mbaya kwaajili yawapuuzi wasio saidika waoga wanafiki wenye chuki pandikizwa yote kwa yote piga hela zako nakama inawexekana washauli serikali waweke tozo Kila Kona ikiwezekana hata oxygen tuanze kuilipia kwamaana hakuna chakuokota hapo akili zitaanza kutukaa sawa
Yote kwa yote nakutakia afya njema namapambano mema ktk familia yako mungu akutie nguvu
 
Wana ccm, nawashaurini; msifuni Mwenyezi mungu mpate thawabu.
haya mambo ya kumtukuza binadamu hata kuzidi Mwenyezi Mungu ni hatari sana na ni kufuru!
Kwani akili zenu mmefungia wapi? Mna matatizo gani? tubuni na kuungama dhambi zenu!
Hivi umesoma mada kweli au umekimbilia kuona kile kipengele cha mungu wenu wa chama kwenda ikulu mara mbili kupokea bahasha ili kutaka chama chake kisishiriki uchaguzi wa 2025?
 
Back
Top Bottom