Mkanganyiko wa biashara ya kamari: Mitandao vs vyombo vya habari

Uislamu umetangulia mbali sana kimikakati ya uchumi.Kamari haramu kabisa.Watu wafanye kazi sio kudowea dowea.

Museveni nilisikia aliwahi kushtukia ujinga huu.Sijui na yeye aliishia wapi.

Betting hazifai
 

Huo n ulevi kama ulevi mwingine na mwisho wake ni mbaya
 
Bongo Kuna vitu Halali ukivifanya vinakua na ushuru mkubwa hadi mtu anakata tamaa lkn Mambo ya ovyo wanayaacha ili Hali Yana madhara makubwa kwa kizazi
Tulipokosea ni pale tulipoipa siasa hadhi kubwa kuliko taaluma
 
Wanajuwa kabisa watoto zao
Hawafanyi mambo hayo ya betting,kamali nk
Ndomana hawajali

Ova
Tulipokosea ni pale tulipowapa wanasiasa hadhi kubwa kuliko wataaluma
 

Jiulize kwanza china waliwezaje kuwa taifa kubwa ndani ya miaka michache,hiki tunachofanya kinazidi turudisha nyuma
 
Nchi ya Uchumi wa bodaboda na michezo ya kamari.

Bodaboda zinabeba hadi mbao wanaburuza tu barabarani.
Ukiuliza wanakuambia ajira kwa vijana.

Hivi kuna nchi nyingine duniani wanafanya mambo ya hovyo kama Tanzania?
 

Atleast umeongea vema
 
Reactions: Tsh

N kwl
 
Ulaya ndio maisha yao yenye pesa za maana
 
Angalia ubaya wake ulivyo.Yaani wewe hukuzalisha chochote.Umekula jasho la wenzako ambao kwa hizi pesa ulizowachukulia wanalia.
 
Dah nimeumia ukitaja kamari juzi muhindi kanipiga 200k ya parizi shamba gemu ya southamptom vs man city
Ushahidi wa uharamu ni huu.Mhindi kachukua laki mbili zako bila jasho.Laki moja kampa JACK DANIEL amebakiwa na laki 1 anakwenda kula urojo bila kutoka jasho.
 
Kila ukionacho kina umuhimu wake, hakuna mtu anayelipa kodi kama mcheza kamari, na kwenye kamari kodi wanazotozwa ni kubwa kweli kamari ni chanzo kikubwa sana cha mapato serekalini, kamari ni mtego, una access ya fedha nyingi inabalone equation, huna fedha huwezi kucheza na kupata ni 2/100 by chances, so akili kichwani mwako tu.
Ningefurahi siku moja likaulizwa swali bungeni juu ya kamari huchangia kiasi gani kwenye pato la Taifa nadhani itastaajabisha kwa wingi wa mapato, endapo kama hakuna ujanja ujanja wa watendaji.
KAMARI HUCHANGIA UCHUMI WA AMERIKA KWA 15%.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…