Mkasa: Jinsi nilivyofunzwa uchawi na mama yangu

Umwanditsi w'inkuru, urimo gusoza iyi nkuru, irerekana ko itararangira, ariko warayihagaritse umugabo wanjye
 
Muongo ww uchawi haachi mtu bado unaroga ww
 
Kwahio mama nae alienda kuliwa nyama na kutolewa kafara sio!

Pole sana!

Ulivookoka so uchawi wote uliuchoma moto???
Sheria ukila lazima utoe na wenzako wale vya kwako, unless uliwe wewe
 
1. Hivi Kuna connection gani ya wachawi na chooni???
2. Mchawi akijua kuwa umemfahamu kuwa ni mchawi na ukawa unaenda kwake kawaida anakua anajisikiaje??Je kama mwanzo alitaka kukudhuru ila ikashindikana ukienda kwake anaweza kukudhuru tena??
3. Pale Usiku mkienda kuwanga/ kuroga mtu huwanafanyeje hadi huyo mtu anakosa nguvu kabisa na anaweza pitiwa na kausingizi hapohapo mnamvamia na anakua hakuoni physically??
Hebu tuanzie Hapa kwanza
 
1: Imetokea mara nyingi kusikia kuwa jamaa kaanguka bafuni na kufariki au kupata stroke au hajitambui na wala haongei!

Kuna sababu kuu mbili:

Ya kwanza ni ya kisayansi: Ukiwa unapresha na ukaingia bafuni kuoga, unapoanza kichwani kujimwagia maji ni hatari kwani mwili wote na viungo upata mawasiliano kwa kuongozwa na sehemu maalum kichwani iitwayo control centre, hii ina idara nyingi kwa kazi husika kiasi kwamba mwili na viungo vyake uendeshwa kwa ustadi mkubwa kama Mungu mmoja wa pekee alivyoumba na kukadiria. Maji yakimwagiwa kichwani yanastua sehemu muhimu zikiwemo za mfumo wa moyo na fahamu ghafla kiasi kwamba uwiano ukikosa kati ya moyo na fahamu inatokea mtu kuzirai na hatimaye stroke inatokea. Ushauri anza kujimwagia kiunoni na kushuka chini kwenye miguu na kisha kifunoni hadi kifuani na kumalizia kichwani na hii inaweka uwiano sawa kati ya mwili na ubongo kupokea maji mwilini.

Ya pili ya kiimani: Katika vitabu vyote vya dini kama Injili, Taurati, Zaburi na Qur’an yametajwa mapepo na shetani, haya mapepo/majini yana makundi na kuna yale yanayoishi sehemu chafu kama bafu,choo,dampo, nk. sasa ukiingia bafuni inabidi uombe ili Mungu akuepushe lakini wengi hawaombi na hawajui namna ya kuomba na wengine hawaamini hayo, lakini mashetani wa chooni na bafuni yanaweza kukudhuru na ukaumizwa kama kuanguka na kupata stroke na hadi kifo bila kujua, kuna baadhi yanatumwa na wachawi yakusubiri chooni au bafuni ukiwa umevua na yakuingie na kukuzuru hadi madhara kama hayo makubwa! Jitahidi kuomba kabla ya kuingia bafuni au chooni, oga kwa utaratibu wa kujimwagia maji kuanzia kiunoni kwenda miguuni na kisha kiunoni kwenda kichwani ili uweke uwiano sawa kati ya mwili na ubongo katika kupokea maji.

Wakati mwingine pulizia bafuni mafuta rasmi kwa ajili ya kufukuza majini/mapepo chooni na bafuni kwani viumbe hivi vipo na vingine ni maadui kwetu ingawa hatuvioni na madhara yake yapo na makubwa kuliko kiwango ila shida hatuoni na kutambua madhara yake wazi wazi kama tunavyoona mbu wanapaa vyumbani kwetu na kuchukua hatua ya haraka ya kunyunyizia dawa za mbu ili wafe tusiumwe na kupata malaria, heri ya malaria ina vipimo na dawa ziko wazi kuliko mapepo/majini na wachawi wasioonekana kwa macho.

Dawa ya kunyunyizia kwenye nyumba ni mafuta yenye madawa yatokanayo na mimea maalum iliyotajwa ndani ya taurati, Injili, Zaburi na Qur’an kiasi kwamba majini/mapepo na wachawi hawatapenya ukisha puliza nyumbani kwako, bafuni na ukajipaka wewe na watu wako, Mungu mmoja wa pekee atawalinda kwa uwezo wake! Pia kuna sabuni ina madawa hayo hayo ya kuondoa nguvu za giza na athari zake kama mikosi na nuksi, unaoga na kisha kujipaka mafuta hayo.
 
2: mchawi hua anajisikia aibu sana katika ulimwengu wa kawaida, lakini amini kwamba uchawi ni utumwa mkuu. Wapo wengi wanatamani kuacha uchawi ila wanashindwa ukishaingia kwenye uchawi, utake usitake utawanga
 
3: zipo dawa za kichawi kama mtu Hana kinga yoyote au sio mtu wa mungu basi hakuna namna ya kuwazuia wachawi
Ni ataonewa sana😃😃
 
Ahaaa sasa nimekupata mkuu asante sana!!
Kuna mkasa wa Binti wa kazi alikua mchawi niliupataga ndio source yote ya kujua yote haya!
Eti Hata wachawi wakitaka kuwasiliana kama wapo sehemu tofauti Pia huenda kuwasiliana kiuchawi chooni!!
Juzikati tena mwingine akawa na mauzauza yake akataka kukimbilia chooni alooo nilimkataza kabisa! Yanii hapohapo katokewa na mauzauza namwambia jiandae nakupeleka kwenu eti hapohapo kabanwa haja kubwa akataka kwenda chooni nikamkataza aseeeh ukute angeenda kudondoka/ kuzimia/ kufia huko au hayao yangemvaa mengine kama ulivosema!
Yashindweeee kabisa!!
 
Ndio hivyo mkuu dunia ni ngumu sana bila mungu
 
2: mchawi hua anajisikia aibu sana katika ulimwengu wa kawaida, lakini amini kwamba uchawi ni utumwa mkuu. Wapo wengi wanatamani kuacha uchawi ila wanashindwa ukishaingia kwenye uchawi, utake usitake utawanga
Na Vipi kuhusu wakikuona kutaka kuwaza kukudhuru tena japo mwanzo walishindwa na kuapa kukuacha!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…