Mkasa wa Afande Mwasifiga alivyopoteza kazi baada ya kubishana na hayati Rais Magufuli

Hii naikumbuka na alikuwa cool hana papara
 
Kufa kwa Magufuli haku justify tabia mbovu za huyo afande aliyestaafishwa.
Na hakuna niliposema kuwa kufa kwa Magufuli kuna justify tabia mbovu za huyo afande aliyestaafishwa.

Labda hujaweza kusima kwa ufahamu tu.

Ni hivi, inawezekana Watanzania wote mna tabia mbovi tu.

Huyo afande alikuwa na tabia mbovu ya kuruhusu simu gerezani, na Magufuki alikuwa na tabia mbovu ua kujimwambafy kutumia maguvu isivyotakiwa na kuendek3za kutumia cheo sehemu inayotakiwa kutumia mantiki kuchambua hoja.

Ila, wabongo wezi that is too much to process.

Mmezoea kufikiri kwa one track mindset.

Yani mnaona ama Magufuli mzuri na huyu afande mbaya, ama huyu afande mzuri na Magufuli mbaya.

Yani hamuwezi hata kuona kuwa, hata kama afande kakosea, Magufuki kujimwambafy vile kwa summary execution bila kufuata die process nako no kitu kibaya.

Mshazoea zike zake za "nitymbue nisitumbueee?" Mnajibu "Tumbuaaaaa".

"Apigwe asipigweeee?" Mnajibu "Apigweee".

Bila kujali mizani na due process na haki za watu.

Yani hamuelewi kuwa hata kama Afande alikosea, Magufuli hakutakiwa kujimwambafy vile kwa maneno ya "naweza kukuvua nyota" kama lile ni suala lake personal.
 
Kiranga au
Huyu jamaa miaka yangu ya mwanzo Jamiiforums early 2010 nilikuwa namuona wa maana sana alikuwa na namna fulani ya uwasilishaji wa hoja ukisoma unamuelewa but kadiri nilivyozidi kukutana nae majukwaani taratibu nikaanza kumuona kumbe hayupo sawa upstairs.

Bahati mbaya sana binadamu tumeumbiwa kiburi,kwa alipofikia ilikuwa bora ajirudi hata kwa kukaa kimya but jinsi anavyodhani anaboresha hoja yake ya mwanzo ndiyo amezidi kuharibu.
 
Msaada wa hiyo clip ndugu
 
Lugha gongana.

Na ziara kama zile zinakuwa zishasukwa tayari pale rais anakuja kufanya show for public consumption tu.
 
Msaada wa hiyo clip ndugu


Link pekee nimeikuta Facebook.

Magufuli anabishia hospitali kuwekewa lift kweli kabisa?

https://www.facebook.com/
View: https://www.facebook.com/share/v/14Rx9GUaTx/
Siku hizi nimeanza kuzi download hizi naziweka kwenye server yangu ya nyumbani maana nyingine wanaziondoa Youtube.

Ile clip inatakiwa kuwekwa kwenye somo la kuwafundisha viongozi wasijibizane na watendaji sana maswali ya hapo kwa papo kwa sababu watendaji wanaoelewa mengi sehemu zao za kazi na rais akija kichwakichwa anaweza kuadhirika sana.
 
Yote maisha...
 

Hivi jeshini inaruhusiwa kuuliza order ya afande kwanini imekaa hivyo?
 
Kwahiyo tuogope kutenda haki kisa twaogopa kifo? Tuogope kufanya maamuzi kisa twaogopa Kifo?
Hoja yako ni dhaifu, Haijustify maamuzi na Kifo!
 
Binafsi kwa mtazamo wangu Kuna watu wakipewa mamlaka hugeuka kua MA GODFATHER.

Afande alikua mtu jeuri na mwenye kunyanyasa wafungwa na alikua na mtandao mkubwa na mpana.

Real life story.
Kuna ndugu yangu alipata kesi ya mauaji so AKAWA gereza moja gumu mkoa wa Tabora..Enzi za utawala wa mzee Benja

Siku moja kiongozi mkubwa alitembelea gerezani wakapewa nafasi wameelezea kero na shida zao ndugu yangu akanyoosha mkono na kuanza kueleza..

Yaan mahindi yalikua yanakobolewa na kwenda kuuzwa wao wanapikiwa mapumba. Alieleza mambo mengi Sanaa yalivyo kua hayaendani na haki za wafungwa

Viongozi baada ya kuondoka maaskari walimpiga Sana na kumvunja mguu mmoja kumbe ki Siri Siri aliachiwa code akipata tatizo ajulishe kipenyo mmoja

All in all,
After that saga alitibiwa vizuri na alipewa uangalizi wa Vvip AKIWA gerezani na wale askari walio mpiga walishuhurikiwa na akaanza kuogopewa na maaskari walio wengi pia welfare za gerezani zilifanyiwa some improvement

Alitumikia gerezani kwa miaka 7 na Alikujaga kutoka kwenye utawala wa kikwete mwanzoni kwa msamaha wa Raisi (prerogative of mercy) yupo uraiani Sasa.
 
Kwahiyo tuogope kutenda haki kisa twaogopa kifo? Tuogope kufanya maamuzi kisa twaogopa Kifo?
Hoja yako ni dhaifu, Haijustify maamuzi na Kifo!
Hakuna haki ya "naweza kukuvua nyota mimi" hiyo ni show ya kibabe tu.

Ila wabongo wengi ndicho mnachopenda, mkiona show za kibabe ndiyo mnaita haki.

Wabongo wengi ni sadists, na Magufuli mlimpenda sana kwa sababu alikuwa Sadist In Chief.

Hata kama Afande alikosea, rais angeweza kumuadhibu kwa kufuata due process si kwa kuonesha umwamba wa summary execution.
 
Kuna mtu nilikuwa nafuatiliaga sana comment zake huwa anaonheaga vitu vya msingi sana.....leo nimeshangaa kwenye huu uzi ame comment mashudu tupu
Kuna wimbo wa harmonizer hapa kibwagizo nasikia kinasema..... 🎡 🎢 KAMA UNA MJUA MTAJEEE....WANASEMA KAMA UNAMJUA MTAJEEEE....😊😊😊
 
Wewe angalau umeongea cha kueleweka kiasi kwamba mtu akisoma anaelewq nini umemaanisha
 
Maafrika mengi mpaka uya deal perpendicular Tena by IRON & BLOOD Ila ukitaka discussion, debating mtu mweusi ni kumshuhurikia Kama hayati alivyo kua anafanyaa..

Tena Mimi ndio ntakuwa zaidi ya hayati nikipata nafasi maana sisi majority ni wavivu, wazembe, wakwepa majukumu & everything.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…