Mkasa wa Afande Mwasifiga alivyopoteza kazi baada ya kubishana na hayati Rais Magufuli

Mkasa wa Afande Mwasifiga alivyopoteza kazi baada ya kubishana na hayati Rais Magufuli

Lazima niwachanganye.

Tuna tofauti kubwa za kifalsafa.
Shida kila mtu anataka ukubali kile anachokubali yeye,na nimegundua kitu ukiongea jambo kifalsafa unawaacha mbali sana watu wanaoamini kitika falsafa ya kukalili hawana muda wa kufafanua mbali ya kile walichoaminishwa wao.
 
Kifo Pia kisikuogopeshe kufanya Maamuzi yalipohitajika Maamuzi kwa wakati sahihi.
Kifo ni Hatima.
Kifo ni sheria ya mwisho itakayomhukumu kila Mwanadamu haijalishi aliishi maisha gani duniani.
Bila kuchoka,
Yesu Alikufa akawaacha Wenye dhambi wanakula jua la dunia.
Kwa Mbope ndio uone ajabu!
Sijasema kifo kikuogooeshe usifanye maamuzi.

Nimesisitiza kufanya maamuzi sahihi, ya busara, yasiyo na kujimwambafy kwa "unanijua mimi nani? Nitakuvua nyota".

Lakini naelewa wengi wenu hoja imewapita kimo.
 
Magufuli alikuwa bingwa wa kuwaaminisha Watanzania alikuwa tofauti kidogo wakati ni mchezo ule ule tu.
Fact,hili nauhakika nalo kabisa ndio maana wengi ukiwauliza wanaishia kukwambia alikua anajali wanyonge mchapakazi,alidhibiti mafisadi kajenga fly over,ukimuuliza baada ya kufa nini kimefuata utajibiwa huyu wa sahizi anatupeleka shimoni!
 
Fact,hili nauhakika nalo kabisa ndio maana wengi ukiwauliza wanaishia kukwambia alikua anajali wanyonge mchapakazi,alidhibiti mafisadi kajenga fly over,ukimuuliza baada ya kufa nini kimefuata utajibiwa huyu wa sahizi anatupeleka shimoni!
Watanzania wengi ni rahisi sana kuwa manipulate.

Ukiwapa show za kibabe kama hizi za Magereza mbili tatu, za makinika, za Koroshow, wanakufagiliaaa.

Wakati hamna lolote la msingi unalofanya unawapiga kindanindani huko ambako hata CAG haruhusiwi kugusa, unanunua wapinzani na kuchafua demokrasia.

Hata hawajali.
 
Logical non sequitur fallacy.

Hataishi milele ila Magufuli katangulia kufa kamuacha afande analifaidi jua bado.

Magufuli na mabobish yake yote ya "Naweza kukuvua manyota" hayakumsaidia kukishinda kifo.

Cheo ni dhamana, usikitumie kujimwambafy na kutishia watu.

Duniani wote tunapita tu.
Mabobish 🤣🤣🤣
Wasukuma hulitumia sana hilo neno lina maana gani Mkuu ?
 
Kiran

Wewe dada yangu una nongwa sana, Magu kutekeleza majukumu yake ndio kujimwambafy. Kwa hiyo ulitaka awaache wajingawajinga ambao ni waonevu?

Ila wewe nishakustukia tokea muanze kula mlo mmoja wa jioni kwa sababu ya Bwana wako kufukuzwa kwa vyeti feki unamchukia kweli Magu.
Magufuli alikuwa anatafuta sifa tu wala hakuwa mtetezi wa wanyonge!
 
Unaweza kujitapa sana kwamba unaweza kumvua mtu manyota wakati wowote lakini huyo unayemvua manyota akaendelea kuishi na wewe na tambo lako lote la kumvua manyota ukafa ukamuacha.

Cheo ni dhamana, tusipende sana kujimwambafy kwa dhamana ya cheo.

Magufuli angeweza kumsikiliza Afande na kuamua kesi kwa busara bila kujimwambafy kwamba anaweza kumvua manyota.
kwamba asingemvua cheo Huyo Afande ,,asingekufa hovyo kabisaaa wewe
 
Je, ni kweli wewe Mara zote huwa unafanya maamuzi sahihi?
Come to reality.
Mimi najijua sifanyi maamuzi sahihi mara zote. Ndiyo maana sijataka kuwa rais wala mwenyekiti wa kijiji.

Ukitaka kuwa rais, hata kama hufanyi maamuzi sahihi mara zote, mambo madogo madogo kama kauli za kishamba za kulimbuka za "nitakuvua nyota" unatakiwa kujiepusha nazo.

Cheo cha urais kina heshima zake.

Hizo ni kauli za Mwalimu Mkuu wa shule ya Msingi ya uswekeni anayemkaripia Kiranja, si kauli ya rais wa nchi anayetakiwa kufanya critical thinking, abstract thinking, kutoa maamuzi unbiased kwa kufuata due process.

Magufuli alikuwa anafanya mambo kishamba na kutoa kauli za kishamba.

Tatizo Watanzania wengi hawakujua, kwa sababu na wao ni washamba vilevile.
 
Back
Top Bottom