Mkasa wa kweli: Tulizichapa na member wa JF Tabata Shule

[emoji16]Huyu medecin aje ajibu hii skendo tubalance,maana Wahaya mnajisifu sana.isije ikawa ulikandwa wewe.
Ni kweli huyu lofa nilikutana nae pale tabata shule uwanjani, goli la kule karibu na madarasa, gari yangu niliipark uwanjani, tukakutana na kweli tukaanza kupigana. Mwanzoni nilimzidi akaamua kutoa nyundo huku mzee mmoja anapiga kelele. Akanitandika na nyundo kichwani na huku watu watatu wanakuja na fimbo upande tuliopo, nikajua washkaji zake wanataka kunichangia ndipo nikatoka mbio mpaka kwenye gari yangu nikawasha nikaondoka huku kichwa kinaniuma sana kutokana na nyundo aliyonipiga nayo kichwani na mkononi.

Makubaliano yetu yalikuwa kupigana ngumi, lakini nashangaa akaja na nyundo. Ndio maana pambano la poli nataka wanajf hata wawili wawepo kama mashuhuda pia wamsachi jamaa asiwe tena na nyundo mfukoni.
 
Aisee kumbe kweli 😂😂😂
 
Mkuu tukutane wapi tuzichape...😊😊😊😃😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂🤣🤣🤣
 
Sawa bibi ushauri wako ni mzuri ila tulishabishana sana na huyu kijana hapahapa jukwaani, akawa hataki kukubali ndio akaja pm na matusi ya kila rangi, nikamwambia sema uko wapi tuonyeshane umwamba, kumbe kenge huyu kabeba nyundo na ndiyo aliyonijeruhi nayo.

Cha msingi me nataka marudiano ila kuwe na mashahidi asije safari hii akaja na bunduki.
 
Hongera kwa kujua kupigana. Aiseee ulinipiga sana, lakini kwa sasa huniwezi tena. Nimebadili silaha. Sasa hivi ninayo manati ya mzungu yanapiga kwa mbali twaaaahh. Tukutane tena ila aga kabisa familia yako (jokin') NB: Mkuu hayo ni mambo ya kitoto sana. Unajua ninyi watu mnaofanya tumazoezi huwa mnawaza ugomvi tu. Vita ni timing mkuu, usirudie mchezo huo kama unafamilia.
 
Mkuu tukutane wapi tuzichape...[emoji4][emoji4][emoji4][emoji2][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mkuu wewe usipigane nae, kwa ninavyokujua utampiga hata dakika haifiki, huyu niachie mimi nammudu huyu mjinga. Safari ile aliniotea nilikunywa kidogo kukata wenge na aliponipiga na nyundo damu zilitoka nikapatwa kizunguzungu ndio maana niliondoka eneo la tukio.
 
Wote mburula.

Siku nyingine utajiamini kwenda kwa vi push ups vyako, atakuja mtu na bastola anakupiga risasi moja tu unakufilia mbali.
 
All in all Kuna muda humu Huwa tunanyukana Kwa mijadala unakuta mtu anakutukana....
Matusi mazito mazito mpak unapanic unatamani kunyukana....

All in all huu msemo hunisaidia sana DON'T ARGUE WITH A FOOL HE WILL DRUG IN TO HIS LEVEL AND BEAT YOU WITH EXPERIENCE

Mara zote hukumbuka hiyo falsafa hapo juu....
 
Mkuu kupigana sio kuzuri mkuu sidhani kama ni best solution usipigane tena mpuuze....
 
Mkuu tukutane wapi tuzichape...[emoji4][emoji4][emoji4][emoji2][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Mkuu kupigana mpka kuwe na motive halafu si muda wote ntashinda pengine unaweza kunidunda
 

ngumi kama nyundo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…