Mkasa wa kweli: Tulizichapa na member wa JF Tabata Shule

Mkasa wa kweli: Tulizichapa na member wa JF Tabata Shule

Yeye alikuja na IST wewe ulikuja na ile Range Rover 2022 au Ulikuja na X7? Vip Lambogini yako ishafika bandarini? Nataka kuja kukodisha Bentley yako kwenye harusi ya ndugu yangu ,vipi Aston Martin yako ile nyeusi bado anaitumia mkeo?
Nafkiri ni Mwana Israel mwenzangu huyu.
Maandamano ndio gari zetu. Nafikiri umewlewa maandamano.
 
Mkuu naomba uwe promoter wa hii rematch, nataka kumuonesha mimi ni nani, sina kitambi kama anavyojinadi ila alikuja na nyundo akanipiga nayo mara nne kichwani na mbili nilizipunch zikatua mkononi, hala nilipo nauguza majeraha nikipona nataka marudio na wewe uwe shuhuda na ikiwezekana ulete mrejesho jukwaani.
Kama alikupiga kweli..tafuta mwalimu ustaadhi..akuivishe mazoez ya shotokan miez minne mfululizo...ndio una rematch ..usirudishwe na mihemko
 
Matusi ni kosa la jinai, ilitakiwa umkamate umpeleke polisi, hapo ungekuwa "responsible citizen", nyie ndio mnaosababisha serikali inang'ang'ania kufundisha uraia na kujitambua badala ya kufundisha sayansi na kilimo
Kinachosikitisha kituo Cha polisi na huo uwanja ni hatua kadhaa,,,hapo walipokua angepiga mluzi TU polisi wangefika.
 
Kama alikupiga kweli..tafuta mwalimu ustaadhi..akuivishe mazoez ya shotokan miez minne mfululizo...ndio una rematch ..usirudishwe na mihemko
Kaka hata nikifanya mazoezi mwaka mzima kama ataitumia ile nyundo aliyonipiga nayo siku ile bado ataendelea kushinda, me nachotaka turudie pambano bila silaha, mbona namkalisha mapema tu.
 
Wale mnaosema mimi na huyo jamaa ni id moja nimeamua kuwatumia live location nilipo sasa hivi, na yeye atume yake aonyeshe alipo, mimi kwa sasa nipo Morogoro yeye sijui yuko Kahama huko ndanindani.
Screenshot_20230603-182516_Maps.jpg
 
Alokuambia naongelea umaarufu kunuka wa JF nani usokuwa na faida


?? Halafu mie sio mgeni JF kwa taarifa yako niko kitambo kwa ID nyingine nikafungua hii mpya,wenye kujiuza Dada zako wa Muleba sio mie[emoji23]halafu Waswahili wanasema ukibishana na mpumbavu mpumbavu utakuwa wewe, mjinga mpuuze, mbwa ni mbwa hata akivishwa dhahabu anabaki kuwa mbwa watasema tu yule mbwa kavaa dhahabu [emoji23]

Yani unakomenti halafu unajicheka.

Kula yako ya taabu mpka uuze uchi halafu unakuja kubishana na mtu kama mimi mwenye maisha na kazi yangu nzuri.

Wewe ndo huna hadhi ya kubishana na mimi takataka wewe.

Muuza papa
 
Pathetic moron.

Siwezi kushindana na mwanamke aliye chini ya...!
Kukaa kahama ni mishe zangu, nimezaliwa dar kusoma primary mpka Udsm.

Ona ulivyo kuwa mjinga kukaa dar unaona fahari wakati hata nchi jirani hujawahi kufika,Mwambie mume wa dada ako akupe hata 1m uende ukasabahi hata kenya hapo.Usikubali kufa kama mbwa bila exposure na kula kwa kuombaomba kwa mume wa dada ako.

Idiot
mzee nshomile huyu dada nilishawah kukutajia kuwa ni watu naowafahamu rejea nilikuambia
kweli usilolijua ni usiku wa giza huyu dada ni popular kabisa yan kashawahi tembea nchi za watu mbaya. Unaona humu unamchukulia poa ni Famous kabisa

Nourhan siwezi taja uhusika wako dada usijali
nilikuwa namfikishia tu taarifa
 
Dah ningeweka picha zangu nchi nilizo tembea Ila sio mtu wa showoff za kijinga halafu sitaki ID yangu ijulikana maana najulikana na wengi kutokana na mishe zangu@Gily unamsikia mshamba wa Muleba 😁eti nchi jirani😂anyways nikutakie jioni njema Mandonga mtu kazi au Ibrahim Classic
tag haikuja haina haja ya kubishana nae sis hakujui

mtanie Nourhan kuhusu vitu vingine ila sio kutembea kaishi South, Uturuki na katembea sana usimdharau unamchukulia poa😊
 
Back
Top Bottom