Mkasa: Wema ni akiba, usiache kutenda wema

Kongole sana uandishi mzuri sana. .
 
Wanywaji kumbe vile vijumba kwenye bia ya safari vina maana🤔🤔?? Nilikua sijui!!
Gily kanda yenu nasikia mnakunywa sana pombe vinamaanisha nini hivo vibanda???😄
Aisee mwaka juzi tulienda kumzika bibi. Tukiwa himo na Costa tunasibiri kupambazuke tukawa tunapoga kahawa. Jamaa akaja na kvant tukawa tunachanganya na kahawa ya moto hatuna habari.

Kifupi tulifanya safari asubuhi saa 11 mpaka Rombo. Bibi alikuwa anazikwa mchana. Hakuna mjukuu tuliotoka mjini aliweza mzika bibi wote tulilala usingizi w kifo. Tunakuja amka usiku wake kila mtu kichwa kizito na wameshazika.

Tukawekwa kikao na kuonekana hatuna adabu. Tulilipidhwa hela ikanunuliwa mbuzi wa fine 🙂 Ikaisha hiyo juu juu ila nachotaka kusema nina two years sijagusa kinywaji🤣 Alafu mimi ni type ya watu wanaokunyw wanaongea kingereza hatari unawez dhania nilizaliw states ..
 


🤣🤣😂😂!

Mimi huwa sinywi pombe yoyote ile sinywi kabisa!!
Sasa siku moja wifi Zangu ( kwa kaka yao )ni walevi kufaaa wakanilazimisha niende nao club eti Kwanini weekend napenda kujaa tu nyumbani wanapenda kujiachiaa sijawahi ona!! Sasa kwenye kuagiza wameagiza ma wine makali makali wanayajua wenyewe Mimi nikasema waniletee soda tu wee walinichamba Mtu mzima unakunywaje soda wifi hebu jaribu hii nikaonja ikanishinda basi wakamwambia mhudumu aniletee wine Gani sijui kwamba haileweshi sana kwa ambae sijawahi kunywa pombe ..nikaletewa wakaniwekea kwenye kile kiglass kidogoo inalingana kama kakikombe ka kunywea kahawa hivi mi si nishazoea sodaa kunywa guduuu guduu dakika imeisha nikapiga kiglass chakwanza dakika sifuri kimeisha wakaniwekea chapili kikaisha aloo huto tuglass tuwili tu nikaanza jisikia tofauti kichwaniii mara ghafla nikasimama kucheza nilichezaaa mzikii mimi kama mwehuu wakati hata kucheza ukunikuta nacheza labda nimerogwa wifi wanacheka hawana mbavuuu nachezaaa Huku Nacheka cheka tu! Mbona walinirudisha nyumbani kwanza then wao wakarudi huko club asubuhi niliamka kichwaa Sio changu kizitoo😄😄😄😄!!
 
Pombe sio soda hata mimi sitaki pombe nilishindwa hata kumzika bibi huwa najilaumu sana. Sasa bora unywe wine ullew maana wine zinaweza kukuletea shida zikishuka ukajikuta uko chumba cha shemeji yako🤣🤣🤣🤣
 
Pombe sio chai
 
Pole sana mkuu
 
Pombe sio soda hata mimi sitaki pombe nilishindwa hata kumzika bibi huwa najilaumu sana. Sasa bora unywe wine ullew maana wine zinaweza kukuletea shida zikishuka ukajikuta uko chumba cha shemeji yako🤣🤣🤣🤣
Mimi nilianza kuchezaaa huku Nacheka chekaa sanaaaa nadhani waliona wakiniacha palee ntabebwa na wajuba wakajisevie chombo ya brod yao yani nilikua nachekaa huku jicho narembuaa uwiii!!🙌🙌
 
Safi sana chief picha ya train ikitoka kwenye handaki imenikumbusha 2021 nilipanda hiyo chuma toka makambako ifakara.

Reli ya mwendo kasi inayojengwa kipande cha Kilosa uelekeo wa Dodoma pia kuna hizo tunel za kutosha. Sema hizo anazojenga mturuki kipande hiyo zimeboreshwa, kule juu ya handaki kwa ndani kuna taa mwanga wa kuzidi.

So far story iko vyedi ila mwamba unaonekana muhenga [emoji23][emoji23]
 
Pombe sio chai
Kweli Kabisa cuzoo akee!
Siku nyingine tena haohao mawifi nilienda nao Pub fulani wakanifundisha kunywaa waliniambia eti nichanganye Serengeti lite na energy zile zakopo kuwa sitalewa Nakumbuka hio Siku nilikunywa Serengeti lite 3 na energy mbili ila kukojoa kojoa sasa mkojo unabana kila dakika pombe🙌🙌🙌🙌!! Gily
 
Ngoja kwanza hivi kipindi unasoma songea boys ile barabara ya songea Njombe ilikuwa na lami?

Anyway songea napafahamu na kuna baadhi ya maeneo uliyotaja nayaelewa mzee. Big up sana chief. Mara ya mwisho kwenda ilikuwa mwaka jana mwezi Oktoba.
 
😀😀Ujana bhana
 
😂😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…