Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

Kwangu mimi naona kuwa huenda kwa CCT na TEC ku'sign' MoU ni wao kuomba wasaidiwe katika huduma wanazotoa (ikiwa ni pamoja na kutolipa kodi). Kama CCT na TEC wameomba sidhani kama serikali ita'sign' MoU na madhehebu ya Kiislamu ambayo pengine hayakuomba au hayakuwa yameomba kwa wakati huo.

Mimi ningeona cha ajabu kama serikali itasema ina'sign' MoU na madhehebu ya dini ya Kikristo tu na siyo waislamu. Otherwise, sioni ubaya wowote na hasa kwa mashirika ambayo yanasaidia katika maendeleo ya watu na nchi. Au wewe ulifikiri hiyo MoU ni ya kwa ajili ya kueneza Ukristo?
Umejibu vema kabisa; hiyo MoU siyo kama ina clause inayokataza Serikali kuto sign na Dini nyingine. Aidha tuulize zile mali za Tanesco pale Morogoro Serikali iliwapayia Waislam na siyo kwamba hapo mwanzoni zilikuwa mali zao!! Kuna kitu kama hicho Serikali iliisha Fanya kwa DINI nyingine?
Nafikiri ugumu wa Serikali kusaidia taasisi za kiislam unakuja pale wanapokuwa na Agenda ya ubaguzi. Wewe ona tu hata kwenye Balozi za nchi za kiislam ajira ni shida sana mkiristo
 
Kumbe wew bado kabsa yan . Ushubwada wa theories mm SIUTAKI nielewe nimesema wapi mvaa kobaz ameconvert into useful product?. Mfano Mmarekan kaja na boeing (useful product) Europeans (Airbus) etc, sasa njoo katika format hii maana leofindings huwez kusema et midege ya Boeing au Airbus mvaa kobaz anahusika utafungwa wew. Come with complete useful products ambazo zimetokana na findings sio hayo matakataka y

Sijui
Majibu yako yanatia huruma.Pia inaonekana huna heshima na hatua za ukuwaji wa elimu.Na itakuwa na wewe ni kama wale ambao wakishatia mfukoni digrii zao za bandia huwa wanawadharau walimu wao wa shule za msingi.
Hizo findings into useful products haziwi na maana iwapo kila mmoja anapuuza findings za wenzake anapotaka kutoa product yake
Ukweli kuhusu mchango wa waislamu haujapuuzwa na wazungu werevu.Umebaki wewe tu mpuuzi wa kutupwa,
Naamini kuhusu aviation wewe ni mtupu kabisa lakini umeona ni fani ya ajabu sana na hukujuwa kuwa mrusha ndege wa mwanzo alikuwa ni Ibn Firnas.. Ulipojuwa hivyo unasema huko huna haja nako.Unachotaka ni kutengeneza Boeing na Airbus.
 
Yesu pia alikuwa akihonga kichwa kwenye ardhi.Bila algebra (jina la muarabu,muislamu,kudingekuwa na IT.Kila unachokiona ni algebra,bila algebra ,dunia imgekuwa gizani.Internet unayotumia ni muarabu,muislamu anayeitwa algebra.
Kuna algebra kabla ya Uislamu wacha kudanganya watu hapa. Halafu kumbuka kuna tofauti kati ya Uarabu na Uislamu. Siyo kila muarabu ni mwislamu
 
Kweli nyie bure kabsa, mwenzako anaongelea yale matakataka ya zamaniii GLIDERS yale ata wachina waliyatengeneza sana. Mm naongelea ENGINE POWERED AIRCRAFTS ndio maana nikakupa mfn wa boeings au airbus ni mvaa kobaz yupi anaingia hapo???. Kwasababu leo ukitaka kwenda kuhiji utapanda hayo maGliders???
Huna hoja.
 
Mm uko sina shida kaka, shida iko hapa when did they convert those findings into useful products?? kutumia maneno au vitu vya lugha nyingne sio shida, shida ni wapi wavaa kobaz wamevitumia hvyo kudominate the world of technology?????
Bila msingi imara nyumba huanguka.Bila ugunduzi wa hao unaowaona wewe hawana maana,huko juu kungeanguka
 
Kigiriki na Kilatini siku hizi vimekua Kiarabu?
Yaani nyie mkiona neno lina herfu AL' , mnatimua mbio kuambiana hiyo imetokana na Kiarabu[emoji3]. Shwaini kabisa.
Nenda kajifunza, siyo unamezeshwa tu maandiko ya Ustaadhi Donge halafu unakuja kutunza utumbo huku JF ili uje ku mislead wengine.
Bila algebra(muarabu),dunia ingekuwa gizani.Unajidanganya,huku wajitekenya
 
Kikapu huyo, achana naye hawezi kukupa jibu. Vyote alivyoviandika hapo ni shida tupu, ni theories walizotengenezewa ili kuwatoa unyonge tu. Ni wanyonge tu huwa wanakumbatia hizo story ili wajione na wao ni watu.
Unapokua unaongea nao uwe unatambua unaongea na viumbe wanaohitaji kufarijiwa, sababu wanajiona ni wanyonge sana mbele ya wengine ndiyo maana hasira ni njenje na hata wakuja kwako wanakuwekea masharti uishi watakavyo wao.
Biala Algebra(-muarabu),dunia ingekuwa gizani.Hata ikiumia,utaumia sana,-huo ndio ukweli.
 
[emoji23][emoji23][emoji23] hawa ndugu zangu katika iman hawanisumbui kabsa najua ni Wadhaifu sana sana! Yan mfano mtu unamwuliza wapi hawa wavaa kobaz wametumia findings kudominate the world's technology anakuletea ushwabwada wa AD uko [emoji23][emoji23][emoji23]
Bila algebra(muarabu),-dunia ingekuwa gizani.Ukweli mchungu.
 
Pia nimeona unaingiza na mambo ya dini uku. Hapa hatujadili mambo ya imani au dini mm nakufa na mwarabu kwa upande wa technologia na sio dini yake!!
Bila Algebra(muarabu),dunia ingekuwa gizani.Ukweli ni mchungu.Utaumia sana
 
Nataka Baraza kuu la waislamu wajenge siptali ya kuaminika Kama Bugando au KCMC au Selian. Aga Khan hospitali za wahindi.
Hao waislamu wote wako chini ya BAKWATA,ni sawa na kusema Baraza Kuu la Kikristo(Christian Council of Tanzania),-liwe na Hospital.Tukiwaambia hamna maarifa,mtasema umetukanwa.
 
Endelea kujifunza kutojua. Kaa na giza lako. Hakuna aliyekukataza
Soma hapo
Screenshot_2023-07-25_165130.jpg
 
[emoji23][emoji23][emoji23] hawa ndugu zangu katika iman hawanisumbui kabsa najua ni Wadhaifu sana sana! Yan mfano mtu unamwuliza wapi hawa wavaa kobaz wametumia findings kudominate the world's technology anakuletea ushwabwada wa AD uko [emoji23][emoji23][emoji23]
Soma hapo,wewe mvaa kamba ya mbuzi shingoni.
Screenshot_2023-07-25_165130.jpg
 
Kikapu huyo, achana naye hawezi kukupa jibu. Vyote alivyoviandika hapo ni shida tupu, ni theories walizotengenezewa ili kuwatoa unyonge tu. Ni wanyonge tu huwa wanakumbatia hizo story ili wajione na wao ni watu.
Unapokua unaongea nao uwe unatambua unaongea na viumbe wanaohitaji kufarijiwa, sababu wanajiona ni wanyonge sana mbele ya wengine ndiyo maana hasira ni njenje na hata wakuja kwako wanakuwekea masharti uishi watakavyo wao.
Soma hapo.Mkiambiwa hamna akili mtasema,mwatukanwa
Screenshot_2023-07-25_165130.jpg
 
Bila huyu Muhammad Musa alkhawarizim,ambaye ndiye Algebra kwa kiarabu,dunia ingekuwa gizani
Screenshot_2023-07-25_165130.jpg
 
Mkuu Acha kudanganya watu algebra na hizo mnazoita Arabic number ni za wa Hindu baada ya kuwa vamia mkajimilikisha kila kitu kama Alexander alivyofanya misri
Hata chuo kikuu cha kwanza Afrika,alianzisha mwanamke wa kiislamu Morocco
Screenshot_2023-07-25_170223.jpg
 
Back
Top Bottom