Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

Hospital za waislamu zipo nyingi tu.Na zina madaktari Bingwa.Istiqama wanazo hospital,Agha Khani wanazo hospital.
Sasa kama zipo si na wao watafute fursa kama zina faida kuliko kulalamika? Mie hapo ni Agha Khan hizo nyingine sizifahau sijui zipo wapi
 
Kuna mpuuzi mmoja mwongo mwongo kama fisi anasema mtu wa kwanza kuinvent gliders alikuwa KUBAZ 😂😁😁😂😂
 

Attachments

  • Screenshot_20230726-013000.png
    Screenshot_20230726-013000.png
    31.3 KB · Views: 2
1.
Bila Algebra mzungu asimgeona ndani.
Mpaka leo mzungu anatumia namba za kiarabu 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9,hana namba zake.
2.Mpaka leo mpaka leo mzungu anatumia neno alphabet(la kiarabu na la waislamu)
3.Mpaka leo mzungu hana alphabet zake,anatumia za kilatini,wakati muarabu ana alphabet zake.
Baada ya kuvumbua imekuwaje, Tanzanite mvumbuzi wake yupo wapi, yeye kavumbua basi utaalamu wake ukaishia hapo wenzie wakashika usukani
 
Endelea kudanganywa na walimu wako wa mdrasa. Kula chuma hicho mpumbavu ww. Kama hujui hyo lugha sema fasta tukusaidie tukutoe ujinga kichwani
Inaonekana kile kitu nilinchokupa hukutarajia kabisa kutokana na ushamba wako katika masuala ya kielimu.Sasa unahangaika kutafuta vitu vya kujifariji na huwezi kupata kwani historia ya kweli haibadiliki.Hilo bandiko lako linakazia ile ile historia niliyokupa ambayo ndiyo historia halisi wanayoikubali wazungu.Kwamba mtu wa mwanzo kuunda dude lililoruka angani ni Ibn Firnas.Mambo ya vishada hata watoto wa leo wanavichezea na havilingani urukaji wake na hizo boeng na bombardier.
Ibn Firnas lazima awe wa kuaminika zaidi kwani ni mtu wa madrasa na kwenye madras ndiko zinakopatika habari za upepo uliomrusha nabii Suleiman na ndio chanzo kikuu cha nguvu za ndege kuruka,kupaa na kujisawazisha angani.

,وَلِسُلَيْمَانَ الرِّيحَ عَاصِفَةً تَجْرِي بِأَمْرِهِ إِلَى الْأَرْضِ الَّتِي بَارَكْنَا فِيهَا ۚ وَكُنَّا بِكُلِّ شَيْءٍ عَالِمِينَ ‎
‏Na tukamsahilishia Suleiman upepo wa kimbunga wendao kwa amri yake kwenye ardhi tuliyo ibarikia. Na Sisi ndio tunao jua kila kitu. qur 2:81
 
Baada ya kubumbua imekuwaje, Tanzanite mvumbuzi wake yupo wapi, yeye kavumbua basi utaalamu wake ukaishia hapo wenzie wakashika usukani
Unachozungumzia sio madhumuni ya mjadala. Hata Tanzanite ikitumika namna gani,.Aliyeigundua mara ya mwanzo hawezi kupuuzwa kwa vile hakuendeleza matumizi yake.
Heshima itabaki wa waislamu milele kwa kuanzisha mfumo wote wa kuhesabu 0,1,2...........................na -1,-2......0.1.0.3.................. unaotumika kwenye teknolojia zote sasa. Namba tunazotumia na mahesabau mengine makubwa yanayotumika viwandani kama calculus na binomials zote ni uvumbuzi wa waislamu.Gwiji moja wapo ni Alkaraaj ambaye ndiye baba wa hydrolojy.
 
Inaonekana kile kitu nilinchokupa hukutarajia kabisa kutokana na ushamba wako katika masuala ya kielimu.Sasa unahangaika kutafuta vitu vya kujifariji na huwezi kupata kwani historia ya kweli haibadiliki.Hilo bandiko lako linakazia ile ile historia niliyokupa ambayo ndiyo historia halisi wanayoikubali wazungu.Kwamba mtu wa mwanzo kuunda dude lililoruka angani ni Ibn Firnas.Mambo ya vishada hata watoto wa leo wanavichezea na havilingani urukaji wake na hizo boeng na bombardier.
Ibn Firnas lazima awe wa kuaminika zaidi kwani ni mtu wa madrasa na kwenye madras ndiko zinakopatika habari za upepo uliomrusha nabii Suleiman na ndio chanzo kikuu cha nguvu za ndege kuruka,kupaa na kujisawazisha angani.

,وَلِسُلَيْمَانَ الرِّيحَ عَاصِفَةً تَجْرِي بِأَمْرِهِ إِلَى الْأَرْضِ الَّتِي بَارَكْنَا فِيهَا ۚ وَكُنَّا بِكُلِّ شَيْءٍ عَالِمِينَ ‎
‏Na tukamsahilishia Suleiman upepo wa kimbunga wendao kwa amri yake kwenye ardhi tuliyo ibarikia. Na Sisi ndio tunao jua kila kitu. qur 2:81
Ah napoteza nguvu na mtu asielewa. Poa Firnas ndio baba na mwanzilish wa aviation. Pia ndege za mwanzo kabsa kuruka zilianzia kwa wavaa kubaz. Lakin pia wao mpaka sasa ivi ndio wataalam haswa wa kuzalisha ndege za kisasa za abiria na za kijeshi. Makampuni makubwa duniani ya utengenezaji ndege yaan Boeing, Airbus, Bombadier, Gstrms zote ni za wavaa kubaz. Ova
 
Swali la msingi bado hujajibu unazunguka tuuu. WHEN EN WHERE DID THE KUBAZ WEARING RED SKIN DROUGHT LIVING PEOPLE CONVERT THEIR SO CALLED FINDINGS TO CONQUER THE WESTERN TECH??
Mvaa kamba ya mbuzi shingoni,nenda nchi za kiarabu ukatembee,ukaone.Nenda Dubai,Nenda Kuwait,nenda Bahrain,Nenda Qatar,!nenda Oman ,nenda Saudia,nk,ukaone jinsi technology inavyofanya kazi,na ni wao wenyewe.
Hspo Dubai,Maji ya bahari yanageuzwa ya kutumika nyumbani,na bado wanatengeneza mawingu ya mvua,wanapata maji,hayo mawingu ya mvua,yanatengenezwa kupitia technologia waliotengeneza wenyewe.Safiri uone.
 
Kanisa gani unamaanisha sasa? Maana makanisa yote makubwa yana hospital na shule au ni RC tu Ndo wafutiwe hiyo Mou? Nazani ni muda sasa sheikh ubwabwa mwaipopo atangaze waislam wote wasitibiwe na madoctor wakristo na kwenye hospital za kanisa maana sio sawa kwa muislam kutibiwa na kafir na hospital za kafir
Kasome post #1.
 
Hizi ni hadithi mm sina shida nazo kaka, mm nataka uniambie CURRENTLY the kubaz wearing people wanaongoza kwenye sector ya afya kwa techonologia ya juu kuliko west na utoe na relevant examples sio kuniambia sijui quran sijui hadith [emoji23][emoji23]. Au thibitisha kwamba kobaz wameinvent technologia ya juu kuliko wazungu over
Wewe mvyaa kamba ya mbuzi,juzi tu hapa wamekuja Muhimbili,madaktari kutoka Misri,kuwafundisha madaktari wa Muhimbili jinsi ya kufanya upasuaji bila kupasua sehemu kubwa.
 
Nisome vizur hapa. After finding those algebras u have been claiming here, What did they do with them to CONQUER AND LEAD the westerners in the world of modern technology? Yaani onesha relevant examples across the world if possible ambavyo hawa kubaz wametengeneza kupitia hyo ALGEBRA kuwa outshine wazungu!! Jibu hapa kama kweli wew kidume. Full stop
Wewe mvyaa kamba ya mbuzi shingoni.Tembea acha kukaa chumbani.Juzi tu wamekuja madaktari kutoka Misri,Muhimbili.kuja kuwafundisha madaktari,-kufanya upasuaji bila kupasua sehemu kubwa .
 
Sasa kama zipo si na wao watafute fursa kama zina faida kuliko kulalamika? Mie hapo ni Agha Khan hizo nyingine sizifahau sijui zipo wapi
Ilikuwa na wao wajumuishwe,sio watengwe.Hata Direct aid(zamani African Muslim Agency)wanazo hospital pia.
 
Baada ya kubumbua imekuwaje, Tanzanite mvumbuzi wake yupo wapi, yeye kavumbua basi utaalamu wake ukaishia hapo wenzie wakashika usukani
Mpaka kesho hawa watu,wana technologia zao.Tembea mvaa lamba ya mbuzi shingoni
 
Inaonekana kile kitu nilinchokupa hukutarajia kabisa kutokana na ushamba wako katika masuala ya kielimu.Sasa unahangaika kutafuta vitu vya kujifariji na huwezi kupata kwani historia ya kweli haibadiliki.Hilo bandiko lako linakazia ile ile historia niliyokupa ambayo ndiyo historia halisi wanayoikubali wazungu.Kwamba mtu wa mwanzo kuunda dude lililoruka angani ni Ibn Firnas.Mambo ya vishada hata watoto wa leo wanavichezea na havilingani urukaji wake na hizo boeng na bombardier.
Ibn Firnas lazima awe wa kuaminika zaidi kwani ni mtu wa madrasa na kwenye madras ndiko zinakopatika habari za upepo uliomrusha nabii Suleiman na ndio chanzo kikuu cha nguvu za ndege kuruka,kupaa na kujisawazisha angani.

,وَلِسُلَيْمَانَ الرِّيحَ عَاصِفَةً تَجْرِي بِأَمْرِهِ إِلَى الْأَرْضِ الَّتِي بَارَكْنَا فِيهَا ۚ وَكُنَّا بِكُلِّ شَيْءٍ عَالِمِينَ ‎
‏Na tukamsahilishia Suleiman upepo wa kimbunga wendao kwa amri yake kwenye ardhi tuliyo ibarikia. Na Sisi ndio tunao jua kila kitu. qur 2:81
Huo hana hoja.Huwa wanadanganyana kwenye v
ijiwe vya pombe za kienyeji.
 
Unachozungumzia sio madhumuni ya mjadala. Hata Tanzanite ikitumika namna gani,.Aliyeigundua mara ya mwanzo hawezi kupuuzwa kwa vile hakuendeleza matumizi yake.
Heshima itabaki wa waislamu milele kwa kuanzisha mfumo wote wa kuhesabu 0,1,2...........................na -1,-2......0.1.0.3.................. unaotumika kwenye teknolojia zote sasa. Namba tunazotumia na mahesabau mengine makubwa yanayotumika viwandani kama calculus na binomials zote ni uvumbuzi wa waislamu.Gwiji moja wapo ni Alkaraaj ambaye ndiye baba wa hydrolojy.
Ameshaelewa,ila anajifanya hajaelewa.Bila namba 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9,dunia ingekuwaje,bila Algebra,dunia ingekuwa gizani
 
Back
Top Bottom