Kikwajuni One
JF-Expert Member
- Mar 18, 2013
- 13,149
- 6,994
Agha Khan ni waislamuAgha khan ni foreign private Hosp
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Agha Khan ni waislamuAgha khan ni foreign private Hosp
Jibu hoja mvaa kubaz! Hao waarabu ndio mabingwa watechnologia kuwazid wazungu????? Jibu ndio au hapana ova, acha kupoteza mudaWewe mvyaa kamba ya mbuzi,juzi tu hapa wamekuja Muhimbili,madaktari kutoka Misri,kuwafundisha madaktari wa Muhimbili jinsi ya kufanya upasuaji bila kupasua sehemu kubwa.
Mvaa Kubaz jibu swali ARE THOSE ARABS LEADING THE WESTERNERS IN TECHNOLOGY????Wewe mvyaa kamba ya mbuzi shingoni.Tembea acha kukaa chumbani.Juzi tu wamekuja madaktari kutoka Misri,Muhimbili.kuja kuwafundisha madaktari,-kufanya upasuaji bila kupasua sehemu kubwa .
Ameshaelewa,ila anajifanya hajaelewa.Bila namba 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9,dunia ingekuwaje,bila Algebra,dunia ingekuwa gizani
Sina shida na hiz namba kaka, wew niambie Kubaz wamezitumiaje hizo namba baada ya kuzigundua kuwa mbele kiteknologia kuwazidi wazungu??Yan tuambie baada ya wao kuzigundua hizo namba Wamezitumia vipi kuwa superior ? Najua huna na wala hakuna walichofanya kwahyo msemo uko pale pale Kubaz ni DHAIFU to western people ova!Ameshaelewa,ila anajifanya hajaelewa.Bila namba 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9,dunia ingekuwaje,bila Algebra,dunia ingekuwa gizani
Tatizo moja wew Kubaz unakuwa huelewi sijui unafanya makusudi, HAO MADAKTARI WA MUHIMBILI NI WESTERN PEOPLE???.Wewe mvyaa kamba ya mbuzi,juzi tu hapa wamekuja Muhimbili,madaktari kutoka Misri,kuwafundisha madaktari wa Muhimbili jinsi ya kufanya upasuaji bila kupasua sehemu kubwa.
Wewe vipi waanze kuwatafuta waje kujumuishwa duu uliyaonaga wapi hayo! Mbona unashangaza sana[emoji3][emoji3][emoji3]Ilikuwa na wao wajumuishwe,sio watengwe.Hata Direct aid(zamani African Muslim Agency)wanazo hospital pia.
Una wivu wewe [emoji23][emoji23][emoji23] kwani nyie zile mnaitaje au kwasababu mnashika mkononi? Na vile viatu vyenu miguu imepasuka pasuka utazani udongo mfinyanzi.Mpaka kesho hawa watu,wana technologia zao.Tembea mvaa lamba ya mbuzi shingoni
Hawa watakuchosha tu waambie waseme siptali ipi waliyonayo yenye hadhi ya Bugando na kcmc? watakuambia et agha khan ambazo ni hospitals za watu kutoka india ata Kenya zipo. Kubaz Ni DhaifUWewe vipi waanze kuwatafuta waje kujumuishwa duu uliyaonaga wapi hayo! Mbona unashangaza sana[emoji3][emoji3][emoji3]
Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] kwakweli watanichosha ngoja niwaache waendelee na hizo siptali ha ha ha umenikumbusha wazee wa kijijini.Hawa watakuchosha tu waambie waseme siptali ipi waliyonayo yenye hadhi ya Bugando na kcmc, watakuambia et agha khan ambazo ni hospitals za watu kutoka india ata Kenya zipo. Kubaz Ni DhaifU
Wewe mwenyewe unasubiri mwenye kuvyaa kubadhi(sio kubazi,kaa chini ufundishwe lugha) Yesu akuokoe,na hao wazungu wenzako.Ilikuwaje wazungu wafuate dini ya mvyaa kubadhi,wazidiwe akili na mvyaa kubadhi Yesu,wasiwe na dini yao.Jibu hoja mvaa kubaz! Hao waarabu ndio mabingwa watechnologia kuwazid wazungu????? Jibu ndio au hapana ova, acha kupoteza muda
Ahhahh hawawez kutamka vizur wanatamka SIPTALI Aahhhahh[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] kwakweli watanichosha ngoja niwaache waendelee na hizo siptali ha ha ha umenikumbusha wazee wa kijijini.
Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Ha ha ha ha nilivyoona umeandika nilicheka sana, ndiyo wanaita hivyo hivyo kabisa.Ahhahh hawawez kutamka vizur wanatamka SIPTALI Aahhhahh
Nieleweke vzur sitaki mambo ya dini hapa. Hapa ni nani mbabe wa modern technology?? Na nani ni Dhaifu???Wewe mwenyewe unasubiri mwenye kuvyaa kubadhi(sio kubazi,kaa chini ufundishwe lugha) Yesu akuokoe,na hao wazungu wenzako.Ilikuwaje wazungu wafuate dini ya mvyaa kubadhi,wazidiwe akili na mvyaa kubadhi Yesu,wasiwe na dini yao.
Dunia nzima,dini zenye wafuasi wengi ni za wavyaa kubadhi wawili tu,na wanavyaa kanzu na wanayoka mashariki ya kati.Ni Yesu (!mvyaa kubadhi) na Muhammad(mvyaa kubadhi).
Tena wengine wanaita SIBTALI ha haaaaAhhahh hawawez kutamka vizur wanatamka SIPTALI Aahhhahh
Sio Techonology tu,hata kwenye dini,wazungu hawana dini zao,wanemfuata Yesu (-mvyaa kubadhi).Na mpaka leo wanamsubiri Yesu(mvyaa kubadhi),aje awakomboe na kuwapa uzima wa milele.Mvaa Kubaz jibu swali ARE THOSE ARABS LEADING THE WESTERNERS IN TECHNOLOGY????
Ahhhah kuna mwamba niliona ameandika uku nilicheka sanaHa ha ha ha nilivyoona umeandika nilicheka sana, ndiyo wanaita hivyo hivyo kabisa.
Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Ahhhah kuna mwamba niliona ameandika uku nilicheka sana
Mijadala ya dini kwangu hapana!Sio Techonology tu,hata kwenye dini,wazungu hawana dini zao,wanemfuata Yesu (-mvyaa kubadhi).Na mpaka leo wanamsubiri Yesu(mvyaa kubadhi),aje awakomboe na kuwapa uzima wa milele.
Dunia nzima dini zenye wafuasi wengi ni za wavyaa kubadhi wawili(Yesu na Muhammad),na wote wanatoka mashariki ya kati.
Wavyaa kubadhi wawili,Yesu na Muhammad,kwa kutumia technologia hiyo hiyo,ndio wameiteka dunia.Sina shida na hiz namba kaka, wew niambie Kubaz wamezitumiaje hizo namba baada ya kuzigundua kuwa mbele kiteknologia kuwazidi wazungu??Yan tuambie baada ya wao kuzigundua hizo namba Wamezitumia vipi kuwa superior ? Najua huna na wala hakuna walichofanya kwahyo msemo uko pale pale Kubaz ni DHAIFU to western people ova!
Wavyaa kubadhi wawili,Yesu na Muhammad,kwa kutumia technologia hiyo hiyo,ndio wameiteka dunia.
Hao wazungu,wametekwa akili na Yesu (mvyaa kubadhi).Na ni wamashariki ya kati.
Umeshindwa kwenye technology na westerners sasa unataka kuhamia kweny dini au sio poa twende kaziWavyaa kubadhi wawili,Yesu na Muhammad,kwa kutumia technologia hiyo hiyo,ndio wameiteka dunia.
Hao wazungu,wametekwa akili na Yesu (mvyaa kubadhi).Na ni wamashariki ya kati.