Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

Umejibu vema kabisa; hiyo MoU siyo kama ina clause inayokataza Serikali kuto sign na Dini nyingine. Aidha tuulize zile mali za Tanesco pale Morogoro Serikali iliwapayia Waislam na siyo kwamba hapo mwanzoni zilikuwa mali zao!! Kuna kitu kama hicho Serikali iliisha Fanya kwa DINI nyingine?
Nafikiri ugumu wa Serikali kusaidia taasisi za kiislam unakuja pale wanapokuwa na Agenda ya ubaguzi. Wewe ona tu hata kwenye Balozi za nchi za kiislam ajira ni shida sana mkiristo
 
Majibu yako yanatia huruma.Pia inaonekana huna heshima na hatua za ukuwaji wa elimu.Na itakuwa na wewe ni kama wale ambao wakishatia mfukoni digrii zao za bandia huwa wanawadharau walimu wao wa shule za msingi.
Hizo findings into useful products haziwi na maana iwapo kila mmoja anapuuza findings za wenzake anapotaka kutoa product yake
Ukweli kuhusu mchango wa waislamu haujapuuzwa na wazungu werevu.Umebaki wewe tu mpuuzi wa kutupwa,
Naamini kuhusu aviation wewe ni mtupu kabisa lakini umeona ni fani ya ajabu sana na hukujuwa kuwa mrusha ndege wa mwanzo alikuwa ni Ibn Firnas.. Ulipojuwa hivyo unasema huko huna haja nako.Unachotaka ni kutengeneza Boeing na Airbus.
 
Yesu pia alikuwa akihonga kichwa kwenye ardhi.Bila algebra (jina la muarabu,muislamu,kudingekuwa na IT.Kila unachokiona ni algebra,bila algebra ,dunia imgekuwa gizani.Internet unayotumia ni muarabu,muislamu anayeitwa algebra.
Kuna algebra kabla ya Uislamu wacha kudanganya watu hapa. Halafu kumbuka kuna tofauti kati ya Uarabu na Uislamu. Siyo kila muarabu ni mwislamu
 
Huna hoja.
 
Mm uko sina shida kaka, shida iko hapa when did they convert those findings into useful products?? kutumia maneno au vitu vya lugha nyingne sio shida, shida ni wapi wavaa kobaz wamevitumia hvyo kudominate the world of technology?????
Bila msingi imara nyumba huanguka.Bila ugunduzi wa hao unaowaona wewe hawana maana,huko juu kungeanguka
 
Bila algebra(muarabu),dunia ingekuwa gizani.Unajidanganya,huku wajitekenya
 
Biala Algebra(-muarabu),dunia ingekuwa gizani.Hata ikiumia,utaumia sana,-huo ndio ukweli.
 
Bila algebra(muarabu),-dunia ingekuwa gizani.Ukweli mchungu.
 
Pia nimeona unaingiza na mambo ya dini uku. Hapa hatujadili mambo ya imani au dini mm nakufa na mwarabu kwa upande wa technologia na sio dini yake!!
Bila Algebra(muarabu),dunia ingekuwa gizani.Ukweli ni mchungu.Utaumia sana
 
Nataka Baraza kuu la waislamu wajenge siptali ya kuaminika Kama Bugando au KCMC au Selian. Aga Khan hospitali za wahindi.
Hao waislamu wote wako chini ya BAKWATA,ni sawa na kusema Baraza Kuu la Kikristo(Christian Council of Tanzania),-liwe na Hospital.Tukiwaambia hamna maarifa,mtasema umetukanwa.
 
Soma hapo,wewe mvaa kamba ya mbuzi shingoni.
 
Soma hapo.Mkiambiwa hamna akili mtasema,mwatukanwa
 
Bila huyu Muhammad Musa alkhawarizim,ambaye ndiye Algebra kwa kiarabu,dunia ingekuwa gizani
 
Mkuu Acha kudanganya watu algebra na hizo mnazoita Arabic number ni za wa Hindu baada ya kuwa vamia mkajimilikisha kila kitu kama Alexander alivyofanya misri
Hata chuo kikuu cha kwanza Afrika,alianzisha mwanamke wa kiislamu Morocco
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…