Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

Ndio nikakuambia huna maarifa.Hizo pesa walizonunua hao waarabu hivyo vitu,hujui kama zimepatikana kwa technologia,-bila technologia hizo pesa wangepata wapi.
. Halafu nimeshakuambia dini kuu duniani ni ukristo na uislamu,na walioanzisha ni wavyaa kubadhi,sasa washangaa warabu kuwa wakristo,wakati wote hao ni wavyaa kubadhi,kutoka mashariki yakati.Kama sio wamoja hao,hushangai ndoa ya kikristo inakubalika kwenye uislamu.
 
Ela ipi nawakati walikua maskin wa kutupa acha uongo mkuu
Qatar wakati wakiwa koloni la mwingireza alikua maskin wa kutupa

Dubai miaka ya 70 na 80 kulikua ni jangwa kilichowasaidia ni waliingia mikataba yenye manufaa kwao walipokua maskini
 

Attachments

  • 8588AA99-67D8-4A99-9442-3180A7DDFB52.jpeg
    51.4 KB · Views: 5
Ela ipi nawakati walikua maskin wa kutupa acha uongo mkuu
Qatar wakati wakiwa koloni la mwingireza alikua maskin wa kutupa

Dubai miaka ya 70 na 80 kulikua ni jangwa kilichowasaidia ni waliingia mikataba yenye manufaa kwao walipokua maskini
Utaelewa tu
 
Ela ipi nawakati walikua maskin wa kutupa acha uongo mkuu
Qatar wakati wakiwa koloni la mwingireza alikua maskin wa kutupa

Dubai miaka ya 70 na 80 kulikua ni jangwa kilichowasaidia ni waliingia mikataba yenye manufaa kwao walipokua maskini
Qatar hakuwa colony,-ilikuwa ikilindwa (protectorate),---tofautisha protectorate na colonised.
Na Dubai haikuwa nchi,ilikuwa ni kijiji cha uvuvi,na mpaka leo iko kwenye UAE(United Arab Emiratea)
View attachment 2699842
View attachment 2699843
 
Ww ukitukanwa utasema unaonewa?. Umeambiwa na member mmoja uku kwamba Agha Khan isn't an internally owned Hospital !!sawa?? Ni kama ilivyo Serena hotels wapo hapa na ata Kenya wapo pia. Sisi tunataka nyie people of this country mtengeneze hospitals zenu ziwe Internal -privately owned Hospitals kama zilivyo Bugando na Kcmc ili muishinikize serikali msaini hzo Mou zinazowaliza kama watoto uku mnatia aibu!
 
Inawezekana dini au madhehebu mengine hawana cha kunegotiate sasa walazimishwe tu kunegotiate? Chukulia mfano serikali imeingia mkataba na kampuni fulani kuhusu madini ina maana makampuni yote yaingie mkataba na serikali ili kubalance?
Duuuh,eti madhehebu mengine hawana cha kunegotiate,hii PUMBA
 
Acha kudanģanywa,hakukuwa na corona.Rais wetu na Jemedari mkuu,Magufuli,alitushtua,kuwa hakuna corona,alichukuwa papai pia likakitwa na corona,sasa papai lilikufa?
Tanzania walikuwa wa mwanzo baadae wote wakashindwa,Wananchi wa China walipoona wenzao wanaangalia kombe la dunia bila barakoa wakatoka nje na serikali ikaachana na chanjo na hakuna habari hizo tena.Nchi za arabuni walipoona kila siku wanashindiliwa dozi ya tatu ,ya nne ....wakasema basi,
 
Hospital nyingi tu
1.
Istiqama hospitals
2 Burhan hospitals
3.Saifee hospitals
4.Ibrahim Haji hospitals
5.Appolo(hawa waislamu ,wamenunua jina la hospital ya India)
.6.Agha Khani hospitals
7 Sun Shine Muslim Health Centre
 

Hospital nyingi tu
1.
Istiqama hospitals
2 Burhan hospitals
3.Saifee hospitals
4.Ibrahim Haji hospitals
5.Appolo(hawa waislamu ,wamenunua jina la hospital ya India)
.6.Agha Khani hospitals
7 Sun Shine Muslim Health Centre
Ipi kati ya hizo ina level sawa na Bugando au kcmc?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…