Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

Sasa wew kijana kwani Aga khan ni ya waislam wa Tanzania?
Agha Khan ilianzishwa mwaka 1964.
Wakati Bugando ilianzishwa 1971 na KCMC 1971.
Waislamu wa Tanzania.1964,wakati wa Awamu ya kwanza Asiyekuwa Raia,hakuruhusiwa Kuwekeza,hata hospital.Uwekezaji wa wasio raia,uliruhusiwa awamu ya pili.
 
Sasa wew kijana kwani Aga khan ni ya waislam wa Tanzania?
Kwanza kabla ya uhuru ilikuwa ni
Screenshot_2023-07-27_143239.jpg
 
Agha Khan ilianzishwa mwaka 1964.
Wakati Bugando ilianzishwa 1971 na KCMC 1971.
Waislamu wa Tanzania.1964,wakati wa Awamu ya kwanza Asiyekuwa Raia,hakuruhusiwa Kuwekeza,hata hospital.Uwekezaji wa wasio raia,uliruhusiwa awamu ya pili.
Jibu swali acha ngonjera, JE AGA KHAN HOSPITALS HAPA TANZANIA ZINAMILIKIWA NA WAISLAM WA TANZANIA??
 
Jibu swali acha ngonjera, JE AGA KHAN HOSPITALS HAPA TANZANIA ZINAMILIKIWA NA WAISLAM WA TANZANIA??
Ndio waislamu wa Tanzani,Jumuia ya waislam wa Ismailia,hawa mpaka shule walikuwa nazo,mojawapo ni Tambaza na Mzizma,na mikoani pia walikuwa na shule,na University pia wanazo.
 
Kisa cha Waislaam kuwa mstari wa mbele kudai Uhuru na kuwa Waanzilishi wa harakati za kujikomboa, kuanzia kina Tipu Tipu, MajiMaji, Mkwawa, Mirambo, Mareale, Bushiri, Sykes na wengine wengi, ilikuwa katika kupigania haki za Waislaam na kupinga elimu za kanisa zilizokuwa zinalazimisha uingie ukristo ndio upate elimu. Cha kusikitisha ni pale Nyerere alipowageuka Waislaam na kuendeleza yaleyale ya wakoloni Sheikh Suleman Takadiri akamwambia waziwazi nyerere "wewe ni mdini". Haikupita muda nyerere akadhihirisha udini wake baada ya kuivunja EAMWS na kuanzisha chombo chake cha kuua Uislaam kinachitwa Bakwata.

Alipokuja Malima na kubadili mfumo wizara ya elimu akawa adui mkubwa wa wakristo.

Leo Kikwete anabadili mfumo scientifically, hakuna kwa sasa asilimia 78 ya wakiristo kwenda sekondari kama ilivyokuwa kabla ya Kikwete, na anawekeza kwenye vyuo vikuu ili kuhakikisha mfumo kandamizi kwa Waislaam unamalizika. Kwa hilo. Kikwete ni adui mkubwa wa Wakristo kwani wabajua matunda ya Kikwete yataonekana baada ya muda si mrefu.

Mwinyi ni kipenzi cha Wakristo kwa unafik wake kama huu wa MoU na mengine na ndio maana tukaona anazabwa kibao mbele ya umma wa Kiislaam.

Wakristo leo hawana raha kabisa na Kikwete, kwanini? Kwa kuwa hafanyi mema? La hasha, ni kwa kuwa tu, anaua mfumo kristo scientifically na systematically kuanzia mashule na mpango kuchaguana mpaka misamaha ya kodi, na accessibility kwenye maeneo yenye Waislaam wengi.

Leo tunaona Kigoma, Tabora, Tanga, Kondoa, Mtwara accessibility inaongezeka kwa kuwekewa miundombinu mipya kabisa, hii ni mikoa iliyosahauka na awamu zote. Kwa hayo, tusitegemee hata siku moja "chaguo la Mungu" kuwa kipenzi cha Wakristo.

MoU tajwa ni moja tu kati ya muendelezo wa kukandamizwa Waislaam. Lakini Uislaam haufi, na hautetereki ndio kwanza inakuwa dini ya kwanza kwa kukuwa kwa kasi duniani.

Leo Waislaam ni wengi duniani kuliko wakatoliki. Kwanini? Kashfa za ngono na kuharibu watoto hususan wakiume kwa kanisa kikatoliki ni kawaida mpaka wikipedia wameweka page nzima ya hizo kashfa. Kanisa katoliki limeshahusishwa na mambo yote machafu duniani na ni ukweli usiopingika.
Faiza harakati zako za kuipigania dini sio za leo wala jana!
Umewahi kujiuliza kwani kufanikiwa hakupo?
Ni kwa sababu dini ni dhana tu!
Dini haitamfikisha mwanadamu katika kufanikiwa kokote, haitamfikisha mwanadamu katika furaha kamilifu ya maisha, na kubwa zaidi haitamfikisha mwanadamu kukutana na muumba wake.
 
1. MoU ilipo sainiwa raisi alikuwa Muislamu kwa hiyo aliridhia. Kama mnaona alishauriwa vibaya na yeye akakubali basi hiyo inaonyesha weakness ya Raisi Mwinyi. Pia kama mdau mmoja alivyo sema raisi anauwezo wa kuvunja hiyo MoU na hata Jakaya Kikwete nae ana uwezo huo wa kikatiba.

2. MoU kati ya kanisa na serikali si upendeleo kwa sababu taasisi za Kiislamu hazija zuiwa kuwa na MoU na serikali. Ni swala la wao tu kuongea na serijali.

3. Kama kweli Waislamu wanaona MoU kati ya kanisa na serikali ni haramu basi watangaze kwanzia leo kwamba hakuna Muislamu atakae enda kwenye shule inayoendeshwa na kanisa (kuanzia chekechea mpaka chuo kikuu), hakuna Muislamu atakae enda kupata huduma ya afya kwenye hospitali yoyote inayo endeshwa na kanisa na hakuna Muislamu atakae tafuta huduma kwenye taasisi yoyote inayo endeshwa na kanisa. Kwa maana kupinga MoU na kwenda kwenye shule za kanisa na kutibiwa kwenye hospitali za kanisa ni unafiki mkubwa.

Swali: Je kwa nini kila raisi anapo kuwa Muislamu ghafla kuna ibuka baadhi ya Waislamu wanao jifanya kuwa watetezi wakubwa wa Uislamu? Raisi akiwa Muislamu basi asifanye kosa akakemewa maana akikemewa basi mtasema anasemwa kwa vile Muislamu. Kwa nini?
Uliona mbali ndugu yangu!
 
Ndio waislamu wa Tanzani,Jumuia ya waislam wa Ismailia,hawa mpaka shule walikuwa nazo,mojawapo ni Tambaza na Mzizma,na mikoani pia walikuwa na shule,na University pia wanazo.
Nilikuambia hii hospital haimilikiwi na waislam wa tanzania bado unakazana na upumbavu wako tu ahhhahh. Hii ni international hospital ni kama ilivyo Serena hotels uku bongo. Sasa tuoneshe hospital zenu kama waislam wa Tanzania. Karibu
 

Attachments

  • Screenshot_20230727-160235.png
    Screenshot_20230727-160235.png
    25 KB · Views: 3
Nilikuambia hii hospital haimilikiwi na waislam wa tanzania bado unakazana na upumbavu wako tu ahhhahh. Hii ni international hospital ni kama ilivyo Serena hotels uku bongo. Sasa tuoneshe hospital zenu kama waislam wa Tanzania. Karibu
Soma hapo waanzilishi wa Bugando,Catholic Church,Vatican ndio makao yao makuu.Na huyo mwanzilishi wa KCMC
Screenshot_2023-07-27_162441.jpg
Screenshot_2023-07-27_162301.jpg


Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Ww ukitukanwa utasema unaonewa?. Umeambiwa na member mmoja uku kwamba Agha Khan isn't an internally owned Hospital !!sawa?? Ni kama ilivyo Serena hotels wapo hapa na ata Kenya wapo pia. Sisi tunataka nyie people of this country mtengeneze hospitals zenu ziwe Internal -privately owned Hospitals kama zilivyo Bugando na Kcmc ili muishinikize serikali msaini hzo Mou zinazowaliza kama watoto uku mnatia aibu!
Tunasubili DP waje watusaidiye
 
Sasa wew kijana kwani Aga khan ni ya waislam wa Tanzania?
Mwenye kanisa ni mvyaa kubadhi Yesu,ni mtu wa mashariki ya kati;
"Nami nakuambia ,wewe ndie Petro,na juu ya mwamba huu nilatalijenga KANISA LANGU,....."
MATHAYO 16:18
Hizo hospital za mwenyewe anayevyaa kubadhi Yesu, mtu wa mashariki ya kati!ndiye mwenye kanisa.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Mwenye kanisa ni mvyaa kubadhi Yesu,ni mtu wa mashariki ya kati;
"Nami nakuambia ,wewe ndie Petro,na juu ya mwamba huu nilatalijenga KANISA LANGU,....."
MATHAYO 16:18
Hizo hospital za mwenyewe anayevyaa kubadhi Yesu, mtu wa mashariki ya kati!ndiye mwenye kanisa.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Achana na habari sijui ya Yesu sijui nani, Je umeshatambua kwamba Bugando inamilikiwa au iko chini ya maaskofu wa Katoliki Tanzania ? (OWNERSHIP) .sasa leta hospital ambayo ipo chini ya masheikh wa Tanzania. Achana na habari za Yesu
 
Achana na habari sijui ya Yesu sijui nani, Je umeshatambua kwamba Bugando inamilikiwa au iko chini ya maaskofu wa Katoliki Tanzania ? (OWNERSHIP) .sasa leta hospital ambayo ipo chini ya masheikh wa Tanzania. Achana na habari za Yesu
Kanisa ni la Yesu,mvyaa kubadhi.Soma
Mathayo 16:18
"NAMI NAKUAMBIA ,WEWE NDIWE PETRO ,NA JUU YA MWAMBA HUU NITALIJENGA KANISA LANGU..."
Kanisa ni mali ya mvyaa kubadhi Yesu.
 
Back
Top Bottom