Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

ni serikali yako ndio iliomba wala hao waroma hawakuwa na mipango ya kuhudumia kama referral , ss waislam ifikr muda akili ziwe zinafny kaz , ilaumu serikali yako ambayo inarudia kosa lile lile za kuish kiomba omba , badala wajenge hospital wao wanapeleka hospitalin za private na badala serikali waboreshe bandari wao wanaenda kugawa bandari , HIYO NI SERIKALI USILAUMU WATU WENGINE
 
Mkuu

Hao ndio wenye nchi!

Achana nao tuwaheshimu tu!

Tupendane tu as long as hiyo taasisi ipo Tanzania Bas ni ndugu zetu wa asili mkuu tusitenganishwe nao KWA imani za kuja juzi tu mkuu!!
 
Hujui chochote punguani wewe yaani serikali ndiyo iliomba kuipa pesa kanisa? Unajua waliohusika na huo mkataba?
 
Kijana, acha kubwbwaja uliza wakubwa zako Taifa lilikotoka. Kuna vitu mnavidaka juu juu bila kujuwa vilikotoka.
 
Baada ya kuja na ule ushahidi wako wa kutengeneza studio ukabuma, sasa umeona ukatafute hako ka mkataba ili uje kumtengenezea mamako kichaka cha kujifichia..

Hicho kichaka nacho tunachoma moto, iko hivi;

Huo mkataba kama hamuutaki uvunjeni sasa hivi, wakatoliki walijichanga wakajenga hospitali kwa pesa zao, bila kujali kama serikali ingejitokeza kuchangia gharama ili kuwahudumia wananchi, hivyo utambue pia, hawawezi kushindwa kupata pesa za kuziendesha.

- Hawa sio watu wa kukaa kwenye mikeka na kupiga umbea, wakitafuna kahawa na kashata, ni watu wa kazi kwa vitendo.

Hivi kwanza, hizo bilioni 36 umezitoa wapi tuambie? sio unakuja na maneno yako ya uongo kama ulivyozoea ilimradi uandike tu hapa JF, hii sio JF ile ya wajinga mliyoizoea miaka iliyopita, njoo na ushahidi wa kusapoti haya madai yako, usituletee mipasho yenu uliyoizoea huko Pwani.

Tuwekee check au risiti kuthibitisha madai yako, bil. 36 kwa mwezi hii serikali inaweza kuzitoa wapi kila mwezi? tena kwa miaka yote hiyo? hizo pesa kama serikali inazo kwanini wasijenge hospitali zao mikoa yote Tanganyika? kwanza una hakika serikali hutoa hizo pesa kila mwezi, au unaimba tu kama kasuku?

Wewe mswahili unaonekana hauna hata common sense, upo static kama jiwe, linalosubiri mpaka lipigwe teke ndio lisogee!.
 
Kundi hatari sana Tanzania.
TEC wanamiliki Armed Forces Commision kinyume na katiba
na Padri Slaa aliwahi kutamka kuwa kuna silaha zinapitia TEC
Hawa wana achiwa sana. Msisahau walichofanya Rwanda
waislam kwann mnapenda kudanganyana ? na mnaishi kama misukule kila mnaloambiwa mnaliweka kichwan , juz nmeona sheikh mmoja anasena Mwamposa aliuza udongo kwa tsh 1000/= kila udongo na akauza kwa jumla ya tsh 900,000,000/= na waislam mlivyo kama misukule mlibeba ule uongo kama ulivyo , na ss hv mnapeana uongo wa kitoto sana , kwamba TEC mizigo yao ya silaha wanapitishia wap ? kias cha Mwinyi , Kikwete na sasa Samia waione na waichekeee tu , ccmu imekuwa inaongozwa na waislam wengi sana kwa miaka yote , ss inakuwaj ccmu walikalie kimya hili swala ? WAISLAM ANGALIEN VITU VYA KUWEKA KICHWAN MASHEIKH WENU WANATUMIKA NA VIKUNDI VYA KIGAID KULETA MTAFARUKU ILI HIVYO VIKUNDI VIINGIE KAMA LIBYIA AU YEMEN AU SYRIA AU MOZAMBIQUE AU DRC -ADF , CENTRAL AFRICA ETC HAYO MAKUNDI YA KIGAIDI HAYAJI KUWA PIGANIA WAISLAN BALI WANAFUATA MALI ASILI MF MADINI , NDIO MAANA SOMALIA NCHI YA KIISLAM ILA UGAIDI HAUJAWAI KUISHA HATA KABLA MAJESHI YA KIGENI KUINGIA SOMALIA
 

Dr Slaa yupo nje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…