Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

Si lazima Hadi mpigwe NGUMI ya mgongoni kulitapika dude la Bandari!!!

Shauri yenu!!
 
TEC ni ya watanzania na inatoa huduma kwa watanzania.
DP World watapeleka pesa uarabuni kuwahudumia waarabu. Kama BAKWATA wakipewa mkataba wa kuhudumia watanzania, na wakatoa huduma kwa viwango vinavyohitajika, hakuna tatizo.
Na mchina aliyewekeza hapo Tanzania akipata faida anapeleka China.
Hali kadhalika wazungu wote wanapeleka pesa kwao pamoja na wahindi.
TEC inahudimia KANISA .
Hicho kipande cha kudai inahudumia taifa ni kidogo sana kulinganisha na PESA Wanayopewa.

Wewe piga hesabu za haraka tu. Ikiwa kweli BILLIONS 36 KILA MWEZI zote zinapelekwa kwa manufaa ya wananchi leo Bugando na KCMC wangeweka private wards za kulipia?
Leo wangekosa Bandage ya kufunga mgonjwa mpk ukanunue ya kwako?
Leo ungehitaji kumpa RUSHWA DR ili upate huduma?
Leo kina mama wa vijijini wangelala nje wakati wanasubiri kuhudumiwa?

BILION 36?
We unajua BILLION 1 ( MILIONI 1000) ZINAWEZA kuhudumia watanzania kiasi gani?

Leo KANISA LINATUMIA MILION 36,000,000 (BILION 36 ) kwa mwezi na shida ziko pale pale ktk mahospitali yote.

Bado unashangilia na kupiga vigelegele?
Hivi hawa WAKATOLIKI hawana hata huruma na wale watoto wanakufa kwa kukosa dawa ya shs elf 10?

Nyie Mungu anawaona.
Kifo hakiko mbali.
Endelezeni Jeuri tu.
Mtakwenda kukutana na Mungu mwenyewe aliyepa pumzi ambazo mnazitumia kunyanyasa watu.

Na sisi kiasi tuko hai tutaendelea kuonyesha DHULMA zinazofanywa na KANISA mpk siku ya mwisho.
 
Waislamu wengi sana hupata huduma za Kanisa bila ya Ubaguzi unajua kwa mfano Waislamu wangapi hutibiwa KCMC au Bugando? Na hiyo ni mifano midogo tu kuna Wilaya kubwa Tanzania huduma pekee ni ya Kanisa na kila mtu hutibiwa au unafikiri hakuna Muislamu anasoma SAUT ?

Serikali siyo wajinga wanachangia kwa sababu haina uwezo wa kufikia kila Mtanzania kwa huduma za Matibabu na hata elimu, hivyo labda haujui unachokihoji.

Shida kubwa ya Uislamu ni dini inayonyanyapaa na kukanyaga masikini na watu wa chini wasio na mtetezi, Waislamu maelite hawajali Waislamu wa chini ndiyo maana Uislamu hautoi huduma kwa jamii hata tu watoto yatima hakuna ndiyo maana wewe unahoji Kanisa kupata fedha ktk Serikalini kwa sababu kwako masikini na watu chini siyo kitu.

Viingozi wa Kiislamu wenye uwezo sijawahi kusikia hata siku moja wakianzisha foundation kama Mkapa foundation kusaidia watu, wao kazi yao starehe na kupiga picha social media tu …
Baeleze Baelewe na Waambie kesho ibada zikishaisha tunasubiri Press za mashekhe wao
 
Wanaukumbi.

Tunaitaka Serikali ya Tanzania ifute waraka na mkataba haramu kati ya TEC ma Serikali ya Tanzania ambapo Serikali hutoa 36 billion kwa mwezi kuwapa TEC ambazo hazifanyiwi ukaguzi. Fedha hizi hupewa tanzaniaepisco1 kama ruzuku kwa ajili ya Hospitali zao lakini ukweli pesa hizo zinatumika kuipinga serikali na kueneza Injili.
Hili halikubaliki lazima li stop na mkataba huu uvunjwe.
Nchi hii sio mali ya Wakristo kuwa kodi zetu wapewe kundi fulani kujitanua.
Serikali huu mkataba ufutwe.
Mmewalea sana hawa TEC mbali ya 36billion huingiza mamia ya bidhaa kwa misamaha ya kodi na kuuzwa makanisani.
Ni wakati hii dhulma ikaondolewa.
Huo mkataba lini wananchi walishirikishwa na hauna kikomo.
Magu alitaka kufuta wakalia lia akawaacha. Suala la Kodi ni taasisi zote hupata msamaha ila humo hupita vitu vingi na vya haramu. We anzisha kiraasisi chako ingiza vitu piga bei.
Usione watu wana anzisha makanisa ukafikiri wajinga.
 
Wanaukumbi.

Tunaitaka Serikali ya Tanzania ifute waraka na mkataba haramu kati ya TEC ma Serikali ya Tanzania ambapo Serikali hutoa 36 billion kwa mwezi kuwapa TEC ambazo hazifanyiwi ukaguzi. Fedha hizi hupewa tanzaniaepisco1 kama ruzuku kwa ajili ya Hospitali zao lakini ukweli pesa hizo zinatumika kuipinga serikali na kueneza Injili.
Hili halikubaliki lazima li stop na mkataba huu uvunjwe.
Nchi hii sio mali ya Wakristo kuwa kodi zetu wapewe kundi fulani kujitanua.
Serikali huu mkataba ufutwe.
Mmewalea sana hawa TEC mbali ya 36billion huingiza mamia ya bidhaa kwa misamaha ya kodi na kuuzwa makanisani.
Ni wakati hii dhulma ikaondolewa.
Huo mkataba lini wananchi walishirikishwa na hauna kikomo.


Wenyewe wakubwa umeona wamekaa kimya kabisa bila kutia neno lolote,

Unashindwa hata kujiongeza kujiuliza kwanini wapo kimya?

Umeona hata ccm wamejibu?


Kaa mbali na hao jamaa
 
Kundi hatari sana Tanzania.
TEC wanamiliki Armed Forces Commision kinyume na katiba
na Padri Slaa aliwahi kutamka kuwa kuna silaha zinapitia TEC
Hawa wana achiwa sana. Msisahau walichofanya Rwanda

Unadhan wanaachiwa kwamba mamlaka hazijui?
 
Na mchina aliyewekeza hapo Tanzania akipata faida anapeleka China.
Hali kadhalika wazungu wote wanapeleka pesa kwao pamoja na wahindi.
TEC inahudimia KANISA .
Hicho kipande cha kudai inahudumia taifa ni kidogo sana kulinganisha na PESA Wanayopewa.

Wewe piga hesabu za haraka tu. Ikiwa kweli BILLIONS 36 KILA MWEZI zote zinapelekwa kwa manufaa ya wananchi leo Bugando na KCMC wangeweka private wards za kulipia?
Leo wangekosa Bandage ya kufunga mgonjwa mpk ukanunue ya kwako?
Leo ungehitaji kumpa RUSHWA DR ili upate huduma?
Leo kina mama wa vijijini wangelala nje wakati wanasubiri kuhudumiwa?

BILION 36?
We unajua BILLION 1 ( MILIONI 1000) ZINAWEZA kuhudumia watanzania kiasi gani?

Leo KANISA LINATUMIA MILION 36,000,000 (BILION 36 ) kwa mwezi na shida ziko pale pale ktk mahospitali yote.

Bado unashangilia na kupiga vigelegele?
Hivi hawa WAKATOLIKI hawana hata huruma na wale watoto wanakufa kwa kukosa dawa ya shs elf 10?

Nyie Mungu anawaona.
Kifo hakiko mbali.
Endelezeni Jeuri tu.
Mtakwenda kukutana na Mungu mwenyewe aliyepa pumzi ambazo mnazitumia kunyanyasa watu.

Na sisi kiasi tuko hai tutaendelea kuonyesha DHULMA zinazofanywa na KANISA mpk siku ya mwisho.
Labda mimi nipo nyuma ya habari. Ebu toa proof yeyote kama kweli kanisa linapata bil 36 kwa mwezi.
 
Hivi wakati maaskofu wao walipokea hela za rushwa kutoka pesa za ESCROW waliwahi kuwajibika kimaadili? Waliwahi kusema lolote?
Wawajibishwe kivipi wakati Kikwete alisema siyo pesa za serikali??!!! Au umesahau?
 
ni serikali yako ndio iliomba wala hao waroma hawakuwa na mipango ya kuhudumia kama referral , ss waislam ifikr muda akili ziwe zinafny kaz , ilaumu serikali yako ambayo inarudia kosa lile lile za kuish kiomba omba , badala wajenge hospital wao wanapeleka hospitalin za private na badala serikali waboreshe bandari wao wanaenda kugawa bandari , HIYO NI SERIKALI USILAUMU WATU WENGINE
Nakuunga mkono.
Sisi waislamu badala kuiga kujenga hospitali kwenye jamii tunapinga, wakati hizo hospitali tunatibiwa kwa gharama ndogo kulinganisha na binafsi.
Bakwata wameshindwa kusimamia ujenzi wa shule za kisasa na kubaki kizamani na kuongoza kwa failure.
Bakwata inatakiwa ibomolewe iwe taasisi inayoendana na karne ya 21.
Nimeishi nyanda za juu kusini, kuna taasisi za kanisa wameenda kununua maeneo makubwa huko maporini kabisa wakati bakwata wamelala tu wanasubiri mali za wakfu. Inakuwaje mkoa kama njombe au iringa au Songea BAKWATA wanashindwa kumiliki heka walau 100 tu za ardhi kwa uchache.
Roman Catholic kila walipokaa wameshika eneo kubwa sana.
Roman Empire walikuwa na vision kubwa sana kuliko Saud Empire au Bazynite empire.
Taasisi ya bakwata ina lasilimali kubwa sana kuanzia watu,fedha, wafadhili nk ila viongozi wameshindwa kabisa kuwa wabunifu na kubaki kuwalaumu wakrist.
Udhaifu wa viongozi wamejificha katika kuupinga nfumo kristo badala kuonesha uimara wao katika ubunifu na ujenzi wa taasisi imara ya kisasa.
Nakuunga mkono mkuu kwa kuona hilo.
Mtoa mada angesema nasi tujenge hospitali ili tupewe hizo bilioni 30 ningemuona smart badala yake anataka hadi hizo hodpitali nazo zife sijii watu watibiwe wapi.
 
Mkuu wa mtifuano ni huyu hapa

HASSANHadith Idadi 16,245: "maneno ya Washami," Hadith ya Mu'awiya Ibn Abu Sufyan": "Nilimwona Nabii wa Allah(saw) - akimnyonya ulimi na kulamba mdomo wa Al-Hassan Mwana wa Ali, Mwenyezi Mungu amrehemu, maana hakuna mtu atakaye teswa kwa Moto wa Jehannam baada ya kunyonywa ulimi na kulambwa midomo na Nabii wa Allah.
Choko mmoja we, huna ujualo katika dini, yaani hujui dini yako ndio utajua dini yetu?

Huyo ni mjukuu wa mtume na kama alimbusu hilo ni jambo la kawaida wala hakuna ajabu,

Ajabu ipo kwenu watu wazima mnafirana hadi makanisani tena wanaume kwa wanaume na vyeti mnapeana nguruwe pori nyie

Yaani wewe choko la kigalatia hivi yesu aliwafundisha mfirane? Mumwagane mavi? Mtifuane mitaro? Huyo yesu hafai hata kidogo
 
Nakuunga mkono.
Sisi waislamu badala kuiga kujenga hospitali kwenye jamii tunapinga, wakati hizo hospitali tunatibiwa kwa gharama ndogo kulinganisha na binafsi.
Bakwata wameshindwa kusimamia ujenzi wa shule za kisasa na kubaki kizamani na kuongoza kwa failure.
Bakwata inatakiwa ibomolewe iwe taasisi inayoendana na karne ya 21.
Nimeishi nyanda za juu kusini, kuna taasisi za kanisa wameenda kununua maeneo makubwa huko maporini kabisa wakati bakwata wamelala tu wanasubiri mali za wakfu. Inakuwaje mkoa kama njombe au iringa au Songea BAKWATA wanashindwa kumiliki heka walau 100 tu za ardhi kwa uchache.
Roman Catholic kila walipokaa wameshika eneo kubwa sana.
Roman Empire walikuwa na vision kubwa sana kuliko Saud Empire au Bazynite empire.
Taasisi ya bakwata ina lasilimali kubwa sana kuanzia watu,fedha, wafadhili nk ila viongozi wameshindwa kabisa kuwa wabunifu na kubaki kuwalaumu wakrist.
Udhaifu wa viongozi wamejificha katika kuupinga nfumo kristo badala kuonesha uimara wao katika ubunifu na ujenzi wa taasisi imara ya kisasa.
Nakuunga mkono mkuu kwa kuona hilo.
Mtoa mada angesema nasi tujenge hospitali ili tupewe hizo bilioni 30 ningemuona smart badala yake anataka hadi hizo hodpitali nazo zife sijii watu watibiwe wapi.
Bakwata ni taasisi iliyoanzishwa na kanisa na mpaka sasa inaongozwa na kanisa, waislamu hawajapata chombo sahihi cha kuwasimamia na wakianzisha harakati lazima warudishwe kwa bakwata wapate saini,

hilo tumelin'gamua sasa tunatafuta njia ya kuiua bakwata na kusimika chombo sahihi kwa ajili ya waislam, bakwata ni mapandikizi ndio ukaona waislam hawapigi hatua, kila wakipanga mipanho ya siri basi kabla hawajatoka kikaoni habari zimeshaenea
Nadhani umenielewa
 
Madrasa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mkuu ktk kitu kinaniudhi ni sisi waislamu kuendelea kujenga misikiti badala ya taasisi kwa ujimla. Shule, hospitali na msikiti.
Isitoshe misikiti yenyewe haijai.
Wakristo nao wanaendekeza tabia ya kujenga makanisa mengi kuliko shule na hospitali. Hispitali nyingi za wakristo alijenga mkoloni labda vyuo vikuu hilo ndio la kupongeza.
Kiujumla mwafrika bado anashida kichwani kwake. Hapa anajenga bonge la kanisa/msikiti wakati mita mia 300 kuna kishule kimoja duni duni na wazazi wanaojenga ndio walewale kisa tu shule ni ya serikali hawaijengi wakati wanaosoma ni watoto wao.Na hao voonhozi wa dini hawana mda, wanasahau shule ndio zinawadndalia waumini watakaoweza kusoma hizo biblia na misahafu.
 
Hamna hoja, mnahamisha magoli tu na safari hii mmeukalia hata mkijamba hatuwaachii, mbivu na mbichi zitajulikana, either dp au tuchinjane tu, kwanza nyie waoga kweri kweri wa kufa nyie
Mnapoteza muda tu. Jengeni na nyie hospotal mpate ruzuku kama roho zinawauma
 
Hapa kwenye hospitali ya st Fransis ifakara (Mali ya kanisa) kuna wafanyakazi walioajiriwa na serekali na wapo walioajiriwa na kanisa. Serekali inawalipa waajiri wake na kanisa pia inawalipa wale ilio waajiri wao. Na haya ni makubaliana ambayo yapo kati ya kanisa na serekali.
Kama nitakuwa nipo sahihi makubaliano hayo MoU yaliongozwa na Dr Slaa wakati huo alikuwa rais wa baraza la maaskofu wa kanisa katoliki.
Ikimbukwe serekali ilikuwa imetaifisha mali za kanisa ikiwepo mashule na hospitali. Kwenye makubaliano hayo mali zote zilirudishwa kwa kanisa. Kwa hiyo serekali inasaidia kanisa kwenye kutoa huduma kwa jamii.
Kwa hiuo ndugu yangu Ritz Huna hoja zaidi ya mihemko na umbea.
Swali nakuuliza .
Je hayo makubaliano BAINA YA SERIKALI NA KANISA walihisishwa wananchi ktk hilo jambo?
Au unadhani nchi hii mali ya KANISA!
DR SLAA amesema wazi kuwa alikuwa anasaidia kuleta SILAHA ndani ya kanisa.
Hizo silaha mmeweke wapi.?
Sasa we tazama tu.
Siku kikiwaka hilo kanisa litatamani kupaa.
 
Halafu wagalatia chuki zenu hazijahi kutokea ktk jamii yyt kabla yenu.
Mko tayari tukose wote alimuradi Muislamu na wananchi wengine asiekuwa mgalatia asipate nafasi ya kuongoza chochote.

Yaani najiuliza hivi ikiwa una ndugu wa kiislamu na wewe mgalatia hivi iko siku utaweza kumkaribisha kwako kwa mapenzi?
Wabaya sana nyie viumbe
Mbona una chuki mbaya hivyo na wakristu??? Walikufanyia kitu gani kibaya?
 
Wapewe na wao mabilioni kama wanavyopewa kanisa halafu tuone kama hawatajenga,

Jibuni hoja msihamishe magoli, kwanini muendelee kupewa hizi hela? Serikali isimamishe fasta
Kwani katoliki walioewa hayo mabillioni ndio wakajenga,au serikali ilikuta katoliki imejenga ndo inatoa hayo mabillioni? Na kama ni kabla,je waislamu mlikuwa wapi?
 
Labda mimi nipo nyuma ya habari. Ebu toa proof yeyote kama kweli kanisa linapata bil 36 kwa mwezi.
Sio uko nyuma ya habari.
Sema hujui nchi yetu Tanzania inaendeshwa vipi.

Kama una mtandao pekua " Agreement between Tanzania government and The Tanzania Episcopal Conference (TEC)
Kama hujui wapi utapekuwa
Nenda maktaba ya taifa waombe copy ya mkataba huo huenda bado wana copy.

Na kama huwezi hilo una haki ya kwenda serikalini kuuliza. Muhimu uwe mtanzania Sio banyamulenge.

Na km huko ni kugumu nenda kwa Pengo.
Km ni mkweli atakuonyesha Huo mkataba uliofanywa kimya kimya ndani ya paroko .
 
Back
Top Bottom