Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

  • ugawaji wa majengo ya Tanesco kwa taasisi ya kiIslam uangaliwe upya.
  • makubaliano/mkataba unahusisha malipo ya kila mwezi kwa taasisi ya kiKristu yaangaliwe upya
This time wananchi washiirikishwe.

Kama kuna unfairness, then isijalishe mnufaika ni dini gani, marekebisho yafanyike. Umenielewa?
🤣🤣
Tumeshindwa kupata maelezo ya BILION 36 ZINAZOTOKA KILA MWEZI tuanzishe kujadili vibanda vya Tanesco?
We ndugu kwenye safari ngumu lzm utabaki porini.

Sisi waislamu kwa jina la Mungu hatupokei pesa ya HARAMU tukajengea chochote ktk Ibada yetu.
Hilo muulize muislamu yyt hata yule ambae hajasoma darasa la kwanza atakwambia hivyo hivyo.

Kutaka kutambua ruzuku yyt ya serikali wanayopata Bakwata wala huna haja ya kuhamgaika.
Nenda BAKWATA MAKAO MAKUU. Wamenndika ukutani.

Kwa sasa tunataka kuanza na KANISA. BILION 36 kwa mwezi sio mzaha.
Isitake tuanze kutafuta dagaa wakati PAPA KAJIFICHA.
Tukamate huyo kwanza.
Hao dagaa hata kwa chandarua unakamata tu
 
Hujakosea sana .
Pesa inatoka serikalini inakwenda Na Kukaa chini ya KANISA KATOLIKI.
Vipi wanatumia hio BILLION 36 KWA MWEZI Hakuna anaejua mpk leo zaidi ya hao viongozi wa KANISA.
Hakuna ripoti ya CAG kwenye matumizi yyt ya PESA WANAZOPEWA KANISA LOLOTE.

Hata wakati wa magufuli mzee alisema anataka hesabu akashambuliwa sana na wakuu wa makanisa wakidai hawezi kupekuwa institutions za Dini ambazo hazilipi Kodi, akaitishwa na waliomtisha akakaa kimya.
BAKWATA siku zote wakipewa hata milion 5 lazima waonyeshe imeenda wapi la sivyo ofisi yao itapigwa moto.
Waislamu hatutaki mchezo.
Tende tu zikija za sadaka lzm waseme zimekuja ngapi na wamegawa vipi.

Kwahio KANISA KATOLIKI Miaka yote linapopewa pesa kutoka serikalini hakuna mtu yyt amewahi kukoma kutaka kuhakiki matumizi yake.

Huo ndio uhalisia na ndio hicho tunacho kataa sisi wananchi wenye kuipenda nchi hii.
Na mzalendo yyt lazima aone kuwa hio sio sawa hata siku moja.
Owky tufanye audit, ila pamojs na yote mkataba wa bandari ni non starter. Sio kwa sababu ya dini. Hatuwezi kumpa mtu mmoja kontol ya bandaei, uwekezaji wa kimkakati ba usafirishaji kutoka nje exclusive right mwenyewe.
 
Nipe mfano mmoja tu.
Mpk wizara zote nyeti wanapambana mpk mwisho asilae muislamu
Wizara ya elimu ndio imewaumbua kabisa mpk wakaamua kusema wazi kuwa Hata iweje muislamu hawezi kusimamia elimu Tanzania. Wakampiga vita kigoma malima na kabla ya kuachia madaraka akaamua kubadili system jumla.
Akaondoa majina kwenye mitihani ya taifa akaweka namba ili Wakristo wasifelishe kila jina la kiislamu.
Haya yako wazi kabisa Tanzania.
Waislamu hawana tamaa ya madaraka hata siku moja.
Wazee wetu ndio waliomuweka Nyerere kwenye kiti kwa roho safi.
Wakamsapoti kwa kila hali.
kanisa KATOLIKI lilipoingia likaanza kampeni ya kuondoa muislamu mmoja mmoja serikalini.
Na muislamu anaebaki ni yule ambae hatopinga chochote kitakachosemwa na KANISA.

HIO NDIO SHIDA YA WAKRISTO.
ROHO MBAYA SANA. hali ya kuwa sisi wote ni watanzania. Hakuna mwarabu wala mzungu hapa.
Basi Chuki tu iko ndani ya mioyo yao.
Acha kupotosha mkuu. Hayo unayoongea yote ni ya kihisia tu. Tusiharibu upendo wetu wa dini zote uliojengwa na watu wenye hekima zao. Hadi tuna baraza la amani ambalo linafanyakazi nzuri mno ya kuondoa ubaguzi wa dini. Huu uzi unachochea ubaguzi haufai kuendelea.
 
Kwa kweli, baada ya hili suala la DPW, tunataka na Mkataba usio na Kikomo kati ya Serikali na Kanisa uwekwe hadharani nao tuujadili na tukubaliane juu ya vifungu vyake kama bado kwa zama hizi tunautaka ama tuachane nao. MOU kati ya Kanisa na Serikali, pia hatuutaki kwa sababu serikali ndio inawajibu wa kutoa huduma za jamii kwa watu wake ikiwemo afya na elimu. Hatuwezi kukubali kuendelea kutoa bilions of Shilings kwa kanisa endlessly wakati kila siku serikali imekuwa ikijenga hosp na vituo vya afya kote nchini. Je hizo zinazolipiwa kanisani ni kwa nini? Mikataba yote ya janja janja ipigwe chini.
Tukimaliza hilo twende kwenye katiba tukarekebishe kifungu cha viongozi kushtakiwa wakivunja katiba katika jambo lolote lile wakiwa madarakani.
 
Acha kupotosha mkuu. Hayo unayoongea yote ni ya kihisia tu. Tusiharibu upendo wetu wa dini zote uliojengwa na watu wenye hekima zao. Hadi tuna baraza la amani ambalo linafanyakazi nzuri mno ya kuondoa ubaguzi wa dini. Huu uzi unachochea ubaguzi haufai kuendelea.
Sina chuki na mtu yyt. Na ili tuweze kidumisha huo umoja
Na amani basi ukweli lzm tuseme japo nafsi zipate nafuu kuwa tumeongea wazi
La sivyo vichwa vikipata moto sababu ya dhulma zinazonedelea tunaweza kugeukiana km Rwanda sasa hivi.
 
Unaposema chuo cha waislamu maana yake nini hasa.
Je kinasomesha waislamu tu?
Je kinafundisha masomo ya Uislamu tu?
Au ni Chuo ambacho kinaendeshwa na waislamu lkn hakina tofauti na chuo chochote kingine Tanzania.?

Uliza swali lenye kueleweka upewe darsa la bure kijana
1692505412246.png
 
Acha kupotosha mkuu. Hayo unayoongea yote ni ya kihisia tu. Tusiharibu upendo wetu wa dini zote uliojengwa na watu wenye hekima zao. Hadi tuna baraza la amani ambalo linafanyakazi nzuri mno ya kuondoa ubaguzi wa dini. Huu uzi unachochea ubaguzi haufai kuendelea.
Hilo wajadili wabunge.

Sio KANISA KATOLIKI.

Wao kazi yao sio kujadili mipango ya serikali na kudai ati ni sauti ya Mungu.

Wao wabaki kuuza maji ya uzima na kuuza michanga wakidai ina tiba

Huko waibe na kudanganya wanavyotaka hatuwezi kuingilia mambo yao.



Suala la mikataba ya serikali na wawekezaji hayahitaji UPAKO WALA MAJI YA UZIMA.

Wakati wazungu Wameingia mkataba na Bandari na kuindesha miaka yooote ile iliwahi kusikia KANISA linaongea kitu? Sasa Leo katokea mwarabu kelele kila kona

km sio kulazimisha watu kufikiri ni UDINI kuna nini hapo?
 
Muhimbili ambayo ni 100% owned by the government unatibiwa bure?

Waislam wala msipate tabu na kanisa hizo hela za kulipia watu mahari jengeni hospitali 😀😀 Dini ya kiswahili sana hii
Yako ya kizungu
Wala haina shida
Muhimu leo umejifunza kuwa wale wavaa magauni marefu ni WEZI MAJAMBAZI WAKUBWA wasio na adabu wala huruma.
Mtoto wa kitanzania ANAKUFA KIJIJINI kwa kukosa Dawa ya shs elf 5 Hapo hapo kijijini PADRI kwenye PAROKIA ANATEMBELEA GARI YA MILION 400 akipita kutoa pepo kwa mabinti wa wanakijiji .
Laanatullah.
 
Katoliki hawajajenga Chochote bali NYERERE ndio aliyetamka kuwa hospitali hizo zimejengwa na Katoliki kitu ambacho sio kweli.

BUGANDO imejengwa mwaka 1968 na pesa ya Waingereza.

KCMC imejengwa na Good Samaritan Foundation in 1971 ya WAKOLONI kisha ikakabidhiwa serikali.
Wakaipasia Evangelical Lutheran Church of Tanzania
Mpk leo imekuwa ya KANISA


Sema ingine ulioambiwa imejengwa na KATOLIKI nikupe Data haraka.

Katoliki mwaka 1971 walikuwa na makanisa ya majani.
Walipo ondoka waingereza makanisa yao yalioko chini YA Church of ENGLAND mengi yalipokonywa na KATOLIKI.
Manake waingereza SIO KATOLIKI NA hawataki kabisa kusikia MKATOLIKI ktk maisha yao. Manake VATICAN inaongoza kwa laana zote duniani.
Hao waingereza waliojenga Bugando walikuwa wakristo,au waislamu?
Good Samaritan ni shirika la dini Gani? Na kama ni good Samaritan ndio walijenga hiyo KCMC ulitaka wapewe waislamu?
 
Hizo zote zilijengwa Ili wazimiliki wao wao wenyewe na watibiwe wao wenyewe na ndio maana huwezi kukuta Hindu Mandal ipo mikoani
Na Hindu Mandal, Burhani, Ebrahim Haji nazo zinapewa mpunga? Zote hizi ni za jamii za dini
 
Hao waingereza waliojenga Bugando walikuwa wakristo,au waislamu?
Good Samaritan ni shirika la dini Gani? Na kama ni good Samaritan ndio walijenga hiyo KCMC ulitaka wapewe waislamu?
Acha kubwabwaja ovyo kama binti alieko kwenye mchiriku.
Nani kadai kuwa waislamu wanataka kupewa vya bure km yatima.
Soma uzi na fahamu nini kimejadiliwa hapo sio kupayuka ovyo ka pashkuna la buza.
Vijana mbona mnakosa adabu kwenye minakasha namna hii?
 
Katoliki hawajajenga Chochote bali NYERERE ndio aliyetamka kuwa hospitali hizo zimejengwa na Katoliki kitu ambacho sio kweli.

BUGANDO imejengwa mwaka 1968 na pesa ya Waingereza.

KCMC imejengwa na Good Samaritan Foundation in 1971 ya WAKOLONI kisha ikakabidhiwa serikali.
Wakaipasia Evangelical Lutheran Church of Tanzania
Mpk leo imekuwa ya KANISA


Sema ingine ulioambiwa imejengwa na KATOLIKI nikupe Data haraka.

Katoliki mwaka 1971 walikuwa na makanisa ya majani.
Walipo ondoka waingereza makanisa yao yalioko chini YA Church of ENGLAND mengi yalipokonywa na KATOLIKI.
Manake waingereza SIO KATOLIKI NA hawataki kabisa kusikia MKATOLIKI ktk maisha yao. Manake VATICAN inaongoza kwa laana zote duniani.
The bitter truth is,waislamu hata misikiti ya maana wanajengewa na waarabu,wamejikita kujenga madrasa kuliko hospitali,zahanati,Shule vyuo nk. Unaweza kutaja makanisa yaliyopokonywa na Roma kutokana Anglikana ? Na Anglikana wamenyamaza mpaka sasa?
 
The bitter truth is,waislamu hata misikiti ya maana wanajengewa na waarabu,wamejikita kujenga madrasa kuliko hospitali,zahanati,Shule vyuo nk. Unaweza kutaja makanisa yaliyopokonywa na Roma kutokana Anglikana ? Na Anglikana wamenyamaza mpaka sasa?
I don't argue with a fool,
onlookers may not be able to tell the difference.

Siku njema.
 
Muhimbili ambayo ni 100% owned by the government unatibiwa bure?

Waislam wala msipate tabu na kanisa hizo hela za kulipia watu mahari jengeni hospitali 😀😀 Dini ya kiswahili sana hii
Wewe punguani kweli kama Muhimbili tunalipa na hospitali za Kaniisa tulipe nikiwa na pesa natibiwa popote. Jibu swali Lini wananchi walishirikishwa mkataba kati ya TEC na Serikali, hutoa 36 billion kwa mwezi kuwapa TEC ambazo hazifanyiwi ukaguzi.?

Harafu ulivyokuwa na akili za kushikiwa unaona dini ya kulawiti watoto na mashoga ndiyo bora😂
 
Acha kubwabwaja ovyo kama binti alieko kwenye mchiriku.
Nani kadai kuwa waislamu wanataka kupewa vya bure km yatima.
Soma uzi na fahamu nini kimejadiliwa hapo sio kupayuka ovyo ka pashkuna la buza.
Vijana mbona mnakosa adabu kwenye minakasha namna hii?
Umeishiwa hoja umeanza kuchamba kama ilivyo desturi yenu! Serikali ndio ilizifuata hizo tasisi za Elimu na Afya za kikristo Ili iwasaidie kutoa huruma Kwa wananchi,na ni kuhakikishie kwamba,Nyerere asingechukua hatua kama hiyo,hata ww na ukoo wako wasingesoma, Kwa sababu wazungu waliieneza dini,Elimu ya Dunia,kujenga hospitali,vituo vya Afya,uchumi mfano kahawa Kule Kilimanjaro,ujenzi wa reli n.k wakati Mwarabu aileta kuran na misikiti tu. Serikali isingechukua hizo Shule za dini,waislamu wangesoma wapi wakati serikali ndio kwanza inajenga Shule za Kata? Unasema waislamu hawapewi vya Bure??? Hivi unajua chuo kikuuu Cha MUM(Morogoro university) kulikuwa chuo Cha Tanesco mkapa akawapa Bure? Mmeshindwa kujenga hata zahanati ya maana🚮
 
Padri wa Mchongo 🤣🤣🤣 mnabaka wahumini mnalawiti watu afu mnajiita mapadri eti watu wa Mungu? Mungu ndo anawaambia mlawiti watoto wa watu? Au kisa nyie wagumba mnatutesea watoto wetu.. Kanisa la Roma nilakipuuzi Sana na limelaaniwa na Mungu.
 

Attachments

  • IMG_2282.jpeg
    IMG_2282.jpeg
    27.9 KB · Views: 1
Back
Top Bottom