Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

Hili siyo ombi bali ni tamko kuelekezwa serikali ya Tanzania kuhusu MoU ya serikali na kanisa.

Tunaitaka serikali ifute MoU hiyo na fedha zinazopelekwa kanisani zielekezwe kwengine.

Kwa sasa Tanzania ilipofikia hakuna sababu ya kubaki na kutimiza yaliyomo kwenye MoU hiyo. Ikiwa huduma za afya, hakuna hospitali isiyotoza pesa kwa huduma hizo. Kwa hiyo serikali haina tena sababu ya kuelekeza pesa hospitali za kanisani.

Ikiwa ni elimu, Tanzania imetangaza elimu bure kwa wote mpakamwanafunzi anapofikia kiwango cha elimu kwa kukopeshwa. Na hapa hakuna tena sababu ya serikali kuelekeza pesa kwa watoa elimu wa kanisa.

Soma zaidi:

- MoU kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

- Kweli huo mkataba kati ya serikali na mashirika ya dini hauna ukomo wakati wenyewe wanatoza pesa raia kwenye hizo hospitali na shule zao?
Uko sahihi hata Mimi hiyo MoU Nataka mara moja isitishwe.
Lakini pia Chuo cha Tanesco Morogoro kirudishwe serikalini mara moja maana kimejengwa Kwa Kodi za watu wa dini zote.
 
Umeishiwa hoja umeanza kuchamba kama ilivyo desturi yenu! Serikali ndio ilizifuata hizo tasisi za Elimu na Afya za kikristo Ili iwasaidie kutoa huruma Kwa wananchi,na ni kuhakikishie kwamba,Nyerere asingechukua hatua kama hiyo,hata ww na ukoo wako wasingesoma, Kwa sababu wazungu waliieneza dini,Elimu ya Dunia,kujenga hospitali,vituo vya Afya,uchumi mfano kahawa Kule Kilimanjaro,ujenzi wa reli n.k wakati Mwarabu aileta kuran na misikiti tu. Serikali isingechukua hizo Shule za dini,waislamu wangesoma wapi wakati serikali ndio kwanza inajenga Shule za Kata? Unasema waislamu hawapewi vya Bure??? Hivi unajua chuo kikuuu Cha MUM(Morogoro university) kulikuwa chuo Cha Tanesco mkapa akawapa Bure? Mmeshindwa kujenga hata zahanati ya maana🚮
Hamna kusaidiawa watu wanatibiwa kwa pesa zao. Unaandika gazeti lote la nini hojo ni hii jibu.

Lini wananchi walishirikishwa mkataba kati ya TEC na Serikali, hutoa 36 billion kwa mwezi kuwapa TEC ambazo hazifanyiwi ukaguzi.?
 
Wewe punguani kweli kama Muhimbili tunalipa na hospitali za Kaniisa tulipe nikiwa na pesa natibiwa popote. Jibu swali Lini wananchi walishirikishwa mkataba kati ya TEC na Serikali, hutoa 36 billion kwa mwezi kuwapa TEC ambazo hazifanyiwi ukaguzi.?

Harafu ulivyokuwa na akili za kushikiwa unaona dini ya kulawiti watoto na mashoga ndiyo bora😂
Mngeacha kusomea na kutibiwa kwenye hizo tasisi za kikrsto kama hakushirikishwa,sasa mnataka mshirikishwe wakata mnamiliki misikiti tu? Nan anaenda kutibiwa msikitini? Jengeni hospitali kama ya Bugando muone kama serikali haitawafuata.
 
Inachokifanya TEC kwenye tamko lake na maagizo yake kuwa makanisa yote yasome waraka ule leo kwenye misa zao huko makanisani maana yake ni kuwa wamejipanga kuleta uchochezi kwa staili ile ile ya Rwanda. Wanachochea watu kwenye mambo ambayo tayari mamlaka za kisheria zimeshayapitisha kwa kufuata utaratibu ili kutokee machafuko kama wakivyoyaratibu huko Rwanda miaka hiyo.
 
Hamna kusaidiawa watu wanatibiwa kwa pesa zao. Unaandika gazeti lote la nini hojo ni hii jibu.

Lini wananchi walishirikishwa mkataba kati ya TEC na Serikali, hutoa 36 billion kwa mwezi kuwapa TEC ambazo hazifanyiwi ukaguzi.?
Endelea kulala hapo kwenye mkeka .. !!
 
Inachokifanya TEC kwenye tamko lake na maagizo yake kuwa makanisa yote yasome waraka ule leo kwenye misa zao huko makanisani maana yake ni kuwa wamejipanga kuleta uchochezi kwa staili ile ile ya Rwanda. Wanachochea watu kwenye mambo ambayo tayari mamlaka za kisheria zimeshayapitisha kwa kufuata utaratibu ili kutokee machafuko kama wakivyoyaratibu huko Rwanda miaka hiyo.
Ujinga... Umeusoma waraka ukajua yaliyomo? Acha ujinga... Maaskofu sio shortsighted namna hiyo.
 
Uko sahihi hata Mimi hiyo MoU Nataka mara moja isitishwe.
Lakini pia Chuo cha Tanesco Morogoro kirudishwe serikalini mara moja maana kimejengwa Kwa Kodi za watu wa dini zote.
100%

Hatutaki taasisi za kidini ziwe tegemezi kwa serikali.
 
Inachokifanya TEC kwenye tamko lake na maagizo yake kuwa makanisa yote yasome waraka ule leo kwenye misa zao huko makanisani maana yake ni kuwa wamejipanga kuleta uchochezi kwa staili ile ile ya Rwanda. Wanachochea watu kwenye mambo ambayo tayari mamlaka za kisheria zimeshayapitisha kwa kufuata utaratibu ili kutokee machafuko kama wakivyoyaratibu huko Rwanda miaka hiyo.
Mamlaka gani ya Kisheria imeyapitisha? Au unaongelea Mahakama iliyosema haina uwezo wa kuingilia Bunge? Mahakama iliyosema mkataba Una vifungu vinashangaza na havieleweki, na kwamba Tanzania imeingia mkataba na mbia asiye na hadhi lakini bado haiwezi kusema chochote maana Bunge ni kubwa kuliko mahakama. Hiyo ndo mamlaka unayotambia?
 
🤣🤣
Tumeshindwa kupata maelezo ya BILION 36 ZINAZOTOKA KILA MWEZI tuanzishe kujadili vibanda vya Tanesco?
We ndugu kwenye safari ngumu lzm utabaki porini.

Sisi waislamu kwa jina la Mungu hatupokei pesa ya HARAMU tukajengea chochote ktk Ibada yetu.
Hilo muulize muislamu yyt hata yule ambae hajasoma darasa la kwanza atakwambia hivyo hivyo.

Kutaka kutambua ruzuku yyt ya serikali wanayopata Bakwata wala huna haja ya kuhamgaika.
Nenda BAKWATA MAKAO MAKUU. Wamenndika ukutani.

Kwa sasa tunataka kuanza na KANISA. BILION 36 kwa mwezi sio mzaha.
Isitake tuanze kutafuta dagaa wakati PAPA KAJIFICHA.
Tukamate huyo kwanza.
Hao dagaa hata kwa chandarua unakamata tu
Nawaambia ukweli,hizi Shule zisingechuliwa na serikali,msingeingia hata humu JF kuandika utumbo,mngesoma wapi?
 
Mngeacha kusomea na kutibiwa kwenye hizo tasisi za kikrsto kama hakushirikishwa,sasa mnataka mshirikishwe wakata mnamiliki misikiti tu? Nan anaenda kutibiwa msikitini? Jengeni hospitali kama ya Bugando muone kama serikali haitawafuata.
Usiwe punguanil TEC wanasema wananchi hawakushirikishwa mkataba na DP sababu ni fedha za umma zinatumika lakini mkataba wa makanisa na Serikali kuwapa pesa za umma mapadre utaki wananchi washirikishwe kisa maparoko wanalipwa mishahara jingq kabisa wewe.
 
Mamlaka gani ya Kisheria imeyapitisha? Au unaongelea Mahakama iliyosema haina uwezo wa kuingilia Bunge? Mahakama iliyosema mkataba Una vifungu vinashangaza na havieleweki, na kwamba Tanzania imeingia mkataba na mbia asiye na hadhi lakini bado haiwezi kusema chochote maana Bunge ni kubwa kuliko mahakama. Hiyo ndo mamlaka unayotambia?
Bunge.
 
100%

Hatutaki taasisi za kidini ziwe tegemezi kwa serikali.
Sahihi kabisa.
Pale Morogoro Ada za wanafunzi waliosoma pale mpaka Leo zinafaidisha dini moja tu wakati hawajaongeza hata jengo moja pale. Yaani wao walichoongeza ni maandishi ya jina la chuo na Moto wa chuo. Hili halikubaliki Mama. Kwanza pale bado kuna miundombinu mingi ya Shirika la Umma pamoja na vifaa vya kujifunzia. Kama madhehebu mengine yamejenga shule na vyuo vyao, wao ni Nani wapewe bure Majengo na ardhi?
 
Najiuliza hivi BAKWATA nao wakitoka hadharani na wakatoa waraka kuwa mkataba ule ni sawa na wakaagiza usomwe kwenye misikiti yote nchini , je? Nini kitatokea? Au TEC wanadhani hatuna akili za kujua kuwa walichofanya kanisa katoliki Rwanda ndiyo wanachotaka kukifanya Tanzania?
 
Najiuliza hivi BAKWATA nao wakitoka hadharani na wakatoa waraka kuwa mkataba ule ni sawa na wakaagiza usomwe kwenye misikiti yote nchini , je? Nini kitatokea? Au TEC wanadhani hatuna akili za kujua kuwa walichofanya kanisa katoliki Rwanda ndiyo wanachotaka kukifanya Tanzania?
Soma waraka wenyewe kwanza.. usijenge reli angani !!
 
Sahihi kabisa.
Pale Morogoro Ada za wanafunzi waliosoma pale mpaka Leo zinafaidisha dini moja tu wakati hawajaongeza hata jengo moja pale. Yaani wao walichoongeza ni maandishi ya jina la chuo na Moto wa chuo. Hili halikubaliki Mama. Kwanza pale bado kuna miundombinu mingi ya Shirika la Umma pamoja na vifaa vya kujifunzia. Kama madhehebu mengine yamejenga shule na vyuo vyao, wao ni Nani wapewe bure Majengo na ardhi?
Kama wanyo MoU ifutwe hata leo. Soma kichwa cha habari.

Hakuna kuendelea kunyonyeshwa. Taasisi za kidini zote zijitegemee zenyewe.

Hayo mengine ni porojo zako tu.
 
Back
Top Bottom