FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
safi sana, kila mmoja aondoke na chake. Serikali haina dini.Serikali isiwe tegemezi kwa taasisi za dini... Warejeshe kwa taasisi hizo Mali zote walizotaifisha.. ..!! Mashule na mahospitali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
safi sana, kila mmoja aondoke na chake. Serikali haina dini.Serikali isiwe tegemezi kwa taasisi za dini... Warejeshe kwa taasisi hizo Mali zote walizotaifisha.. ..!! Mashule na mahospitali
Sema waislamu hawakushirikishwa,sio useme wananchi, sasa mlitaka mshirikishwe wakati mlikuwa hamna chochote!? Mlitaka wakati mlikuwa hamna chochote Cha Cha kchangia? Serikali ndio ilizifuata hizo tasisi za kikristo na hata nyinyi msome na kutibiwa mshukuru sana wakristo.Hamna kusaidiawa watu wanatibiwa kwa pesa zao. Unaandika gazeti lote la nini hojo ni hii jibu.
Lini wananchi walishirikishwa mkataba kati ya TEC na Serikali, hutoa 36 billion kwa mwezi kuwapa TEC ambazo hazifanyiwi ukaguzi.?
Nimesoma nikaona 'reli' inajengwa angani !!Nimeishasoma na wewe soma huu uzi vizuri hapo juu.
TEC wamedhamiria kutumbukiza taifa hili kwenye machafuko na watatumia mbinu ya wenzao wa Rwanda na hili la kutaka waraka usomwe makanisani kesho ni mwanzo tu wa kuanza kuchochea mambo kama waliyoyafanya Rwanda mwaka 1994.Nimesoma nikaona 'reli' inajengwa angani !!
Tunazungumzia bandari zetu... Sio Ruanda.Mapadre wa katoliki huko Rwanda walihusika kwenye mauaji ya kimbari na watu zaidi ya milioni moja waliuwawa kwa msaada wa mapadre hawa. Kanisa katoliki Rwanda lilihusika na mapadre wa aina ya Kitima na TEC ndiyo walikuwa vinara wa mauaji hayo ya mwaka 1994.
Mimi si Mtu wa porojo na unajua vizuri uzito wa hoja zangu maana hii si mara ya Kwanza.Kama wanyo MoU ifutwe hata leo. Soma kichwa cha habari.
Hakuna kuendelea kunyonyeshwa. Taasisi za kidini zote zijitegemee zenyewe.
Hayo mengine ni porojo zako tu.
Wakristo ni wabia wa serikali katika kuchangia huduma za Afya,Elimu nk ndio maana wanatoa waraka,sasa mnatoa waraka mnachangia Nini na serikali? Kwanza huo waraka utakuwa huna nguvu Wala mashiko.🚮Najiuliza hivi BAKWATA nao wakitoka hadharani na wakatoa waraka kuwa mkataba ule ni sawa na wakaagiza usomwe kwenye misikiti yote nchini , je? Nini kitatokea? Au TEC wanadhani hatuna akili za kujua kuwa walichofanya kanisa katoliki Rwanda ndiyo wanachotaka kukifanya Tanzania?
Wagalatia bana huko shule uwa mnaenda kusoma ujinga?Sema waislamu hawakushirikishwa,sio useme wananchi, sasa mlitaka mshirikishwe wakati mlikuwa hamna chochote!? Mlitaka wakati mlikuwa hamna chochote Cha Cha kchangia? Serikali ndio ilizifuata hizo tasisi za kikristo na hata nyinyi msome na kutibiwa mshukuru sana wakristo.
Dhulma yoyote dhidi ya mtanzania si sawa na haikubaliki.Na mchina aliyewekeza hapo Tanzania akipata faida anapeleka China.
Hali kadhalika wazungu wote wanapeleka pesa kwao pamoja na wahindi.
TEC inahudimia KANISA .
Hicho kipande cha kudai inahudumia taifa ni kidogo sana kulinganisha na PESA Wanayopewa.
Wewe piga hesabu za haraka tu. Ikiwa kweli BILLIONS 36 KILA MWEZI zote zinapelekwa kwa manufaa ya wananchi leo Bugando na KCMC wangeweka private wards za kulipia?
Leo wangekosa Bandage ya kufunga mgonjwa mpk ukanunue ya kwako?
Leo ungehitaji kumpa RUSHWA DR ili upate huduma?
Leo kina mama wa vijijini wangelala nje wakati wanasubiri kuhudumiwa?
BILION 36?
We unajua BILLION 1 ( MILIONI 1000) ZINAWEZA kuhudumia watanzania kiasi gani?
Leo KANISA LINATUMIA MILION 36,000,000 (BILION 36 ) kwa mwezi na shida ziko pale pale ktk mahospitali yote.
Bado unashangilia na kupiga vigelegele?
Hivi hawa WAKATOLIKI hawana hata huruma na wale watoto wanakufa kwa kukosa dawa ya shs elf 10?
Nyie Mungu anawaona.
Kifo hakiko mbali.
Endelezeni Jeuri tu.
Mtakwenda kukutana na Mungu mwenyewe aliyepa pumzi ambazo mnazitumia kunyanyasa watu.
Na sisi kiasi tuko hai tutaendelea kuonyesha DHULMA zinazofanywa na KANISA mpk siku ya mwisho.
Ndio nataka unijibu hao wananchi ni kina Nan? Waislamu au wakristo?Wagalatia bana huko shule uwa mnaenda kusoma ujinga?
Mkataba kati ya TEC na Serikali, hutoa 36 billion kwa mwezi kuwapa TEC hizi pesa za wananchi wanatakiwa kushiriikishwa punguani kweli weww Watanzania wana mahitaji mengi kujenga nchi yao siyo pesa wapewe maparoko.
Wadanganye Bavicha wenzako wala ufahamu mkataba Serikali na Kanisa. Eti wabia punguani kweli wewe.Wakristo ni wabia wa serikali katika kuchangia huduma za Afya,Elimu nk ndio maana wanatoa waraka,sasa mnatoa waraka mnachangia Nini na serikali? Kwanza huo waraka utakuwa huna nguvu Wala mashiko.🚮
Kumbe ni kwaajili ya kuendeleza miradi ya elimu na afya ambayo hata nyie waislamu mnanufaika nayo maana hamkatazwi kwenda kutibiwa hospital za kanisa wala kusoma shule za kanisa. Ingekua hizo hela ni kwaajili ya kuendeleza maisha ya wachungaji na mapadre ulikua na point ila kwa sasa unaongea pumba tu.kama huelewi kaa kimya.
Mwaka 1992, Serikali ya Tanzania iliingia mkataba na Kanisa uitwao, Memorandum of Understanding between Christian Council of Tanzania and Tanzania Episcopal Conference and the United Republic of Tanzania (MoU).
Kwa mujibu wa makubaliano hayo Serikali ya Tanzania inatao fedha (mabilion), kwaajili ya kuendeleza miradi mikubwa ya Afya na Elimu ya Makanisa. Ingawa fedha hizo ni za Watanzania wote lakini serikali haikuwahusisha Waislamu katika mjadala na wala haina mpango wa kufanya mkataba kama huo na raia Waislamu Tanzania. Kubwa zaidi mkataba huo ni wa milele hauna ukomo.
Chanzo: Kweli huo mkataba kati ya serikali na mashirika ya dini hauna ukomo wakati wenyewe wanatoza pesa raia kwenye hizo hospitali na shule zao?
Mimi toka nianze kujibizana na ww sijakutukana,ila ww kila bandiko kwangu linaambatana na tusi,hiyo inaonesha ukweli nao kwambia,na sitakutukana maana najiamini nachosema ni kweli hata ww huko mtaani unaona ukweli ulivyo.Wadanganye Bavicha wenzako wala ufahamu mkataba Serikali na Kanisa. Eti wabia punguani kweli wewe.
🤣🤣🤣🤣 Mbona unaongea kwa uchungu?safi sana, kila mmoja aondoke na chake. Serikali haina dini.
Punguza makasiriko wambie mashekhe wajenge hospitali kamani rahisi. Mnachoweza ni ugaidi na kulawiti watoto wa madrsaWewe punguani kweli kama Muhimbili tunalipa na hospitali za Kaniisa tulipe nikiwa na pesa natibiwa popote. Jibu swali Lini wananchi walishirikishwa mkataba kati ya TEC na Serikali, hutoa 36 billion kwa mwezi kuwapa TEC ambazo hazifanyiwi ukaguzi.?
Harafu ulivyokuwa na akili za kushikiwa unaona dini ya kulawiti watoto na mashoga ndiyo bora😂
Nyie mashekhe wenu wasiokula sadaka hyo 5000 mmetoa? 😀Yako ya kizungu
Wala haina shida
Muhimu leo umejifunza kuwa wale wavaa magauni marefu ni WEZI MAJAMBAZI WAKUBWA wasio na adabu wala huruma.
Mtoto wa kitanzania ANAKUFA KIJIJINI kwa kukosa Dawa ya shs elf 5 Hapo hapo kijijini PADRI kwenye PAROKIA ANATEMBELEA GARI YA MILION 400 akipita kutoa pepo kwa mabinti wa wanakijiji .
Laanatullah.
Bahati mbaya sana hiyo BAKWATA haina mashehe wenye hiyo elimu na uwezo wa kuchambua mambo nyeti kama mkataba wa bandari!!Najiuliza hivi BAKWATA nao wakitoka hadharani na wakatoa waraka kuwa mkataba ule ni sawa na wakaagiza usomwe kwenye misikiti yote nchini , je? Nini kitatokea? Au TEC wanadhani hatuna akili za kujua kuwa walichofanya kanisa katoliki Rwanda ndiyo wanachotaka kukifanya Tanzania?