Necromancer
JF-Expert Member
- Sep 20, 2018
- 3,187
- 3,138
Niliposema upunguze stress nilikuwa sahihi.Ni vyema ukaongea humu ndani nyongo yote iishe ili uwe na amani vinginevyo kwa hali uliyonayo sasa ukipewa bomu unajiripua.Kwa kuwa mfumo wetu unadhibiti kuongea haya mambo waziwazi hebu tumia hili jukwaa nafsi yako ipone na iwe na Amani.Chuki uliyomezeshwa haimithiriki!Sina chuki na mtu yyt. Na ili tuweze kidumisha huo umoja
Na amani basi ukweli lzm tuseme japo nafsi zipate nafuu kuwa tumeongea wazi
La sivyo vichwa vikipata moto sababu ya dhulma zinazonedelea tunaweza kugeukiana km Rwanda sasa hivi.
Yaani hata magari ya mapadre yanakuuma?Kwa ulimwengu tulionao.sasa kuendesha gari mbona ni necessity na si luxury ndugu yangu?Nikutoe wasiwasi mapadre.huwa wanachangiwa magari na waumini wao kurahisisha kazi zaoYako ya kizungu
Wala haina shida
Muhimu leo umejifunza kuwa wale wavaa magauni marefu ni WEZI MAJAMBAZI WAKUBWA wasio na adabu wala huruma.
Mtoto wa kitanzania ANAKUFA KIJIJINI kwa kukosa Dawa ya shs elf 5 Hapo hapo kijijini PADRI kwenye PAROKIA ANATEMBELEA GARI YA MILION 400 akipita kutoa pepo kwa mabinti wa wanakijiji .
Laanatullah.
Alafu watibiwe wapi?Kinachofuata ni waislam kuandaa waraka wa kupinga MOU
Hizi kashfa haziwezi kuwafanya wakristu wasilimuPadri wa Mchongo [emoji1787][emoji1787][emoji1787] mnabaka wahumini mnalawiti watu afu mnajiita mapadri eti watu wa Mungu? Mungu ndo anawaambia mlawiti watoto wa watu? Au kisa nyie wagumba mnatutesea watoto wetu.. Kanisa la Roma nilakipuuzi Sana na limelaaniwa na Mungu.
Tec wameiandikia serikali waraka mbona inakuwa kama waislamu ndio.wameandikiwa?Serikali iliyoandikiwa imepewa mamlaka na sisi tuliyoiweka madarakani.Tatizo liko wapi?TEC wamedhamiria kutumbukiza taifa hili kwenye machafuko na watatumia mbinu ya wenzao wa Rwanda na hili la kutaka waraka usomwe makanisani kesho ni mwanzo tu wa kuanza kuchochea mambo kama waliyoyafanya Rwanda mwaka 1994.
Kwa miaka 10 iliyopita ni zaidi ya trillion 4,unapata hospital ngapi Kama muhimbili!?..Sasa piga hesabu toka 1992,logic ya huo mkataba ni kulilisha kanisa, nothing moreSawa iboreshe hospitali zake sasa ziwe fully fledged ili wawe sawa na hospitali za makanisa kwa ufanisi.
Upo sahihi mkuu,tena mkataba wenyewe hauna ukomo etiKwa miaka 10 iliyopita ni zaidi ya trillion 4,unapata hospital ngapi Kama muhimbili!?..Sasa piga hesabu toka 1992,logic ya huo mkataba ni kulilisha kanisa, nothing more
Hospital za ummaAlafu watibiwe wapi?
Anza.🤣🤣
Tumeshindwa kupata maelezo ya BILION 36 ZINAZOTOKA KILA MWEZI tuanzishe kujadili vibanda vya Tanesco?
We ndugu kwenye safari ngumu lzm utabaki porini.
Sisi waislamu kwa jina la Mungu hatupokei pesa ya HARAMU tukajengea chochote ktk Ibada yetu.
Hilo muulize muislamu yyt hata yule ambae hajasoma darasa la kwanza atakwambia hivyo hivyo.
Kutaka kutambua ruzuku yyt ya serikali wanayopata Bakwata wala huna haja ya kuhamgaika.
Nenda BAKWATA MAKAO MAKUU. Wamenndika ukutani.
Kwa sasa tunataka kuanza na KANISA. BILION 36 kwa mwezi sio mzaha.
Isitake tuanze kutafuta dagaa wakati PAPA KAJIFICHA.
Tukamate huyo kwanza.
Hao dagaa hata kwa chandarua unakamata tu
Mzigo mkubwa wakati hizo taasisi zinazojinasibu na dini zinatoza hela kubwa kwenye huduma zake?kama vipi, hizo MOU zivunjwe tu ili muone kama watashindwa kuendesha mashirika yao. hiyo pia itasaidia wao kuajiri watu wao wanaowataka kwenye mashirika yao yanayoendeshwa na sadaka zao. kuweni na akili pia muwashukuru hawa jamaa wanabeba mzigo mzito sana kwa wananchi mlioshindwa kuwahudumia.
ndio nasema, waondoe ili hela iongezwe zaidi ya hiyo mnayolipa kwasababu serikali yenu imeshindwa kuwahudumia. shida yenu kubwa ni wivu na elimu.Mzigo mkubwa wakati hizo taasisi zinazojinasibu na dini zinatoza hela kubwa kwenye huduma zake?
Ile ni MoU sio Mkataba. MoU haina kikomo kwa sababu ni makubaliano tu ambayo yanaweza kuachwa wakati wowote bila athari yeyote kwa pande zote zinazohusika. Mara nyingi baada ya MoU ndio unafuata mkataba ( kama ilivyokuwa kwenye IGA ya bandari). Kinachoshangaza ni pamoja na kelele zote hizi hatujawahi kuonyeshwa mkataba ulioingiwa kati ya makanisa na serikali. Na pamoja na urahisi wa kujitoa katika hiyo MoU serikali imekuwa ikiendelea kuuheshimu ingawa kuna baadhi yawaislamu wamekuwa wakiulalamikia kwa muda mrefu. Inaelekea serikali inajua jambo ambalo hao waislamu hawalijui au hawataki kulijua.Upo sahihi mkuu,tena mkataba wenyewe hauna ukomo eti
Malipo ya mamilioni , mbona hayana ushahidi? Au wewe tuwekeeAnayedai kuwa upo ndiye anayepaswa kuuweka hadharani na kuanza kuuhoji. Unavyoona umewekwa hapa? Kuna madai serious sana hapo ya malipo ya mamilioni..
Kabla ya kutuletea sisi tujadili ulitakiwa uende huko kwingine ukawaulize na utupe sababu za makubaliano hayo, lazima zipo sababu za msingi kwa serikali hiyohiyo mnayosema inabagua ni serikali hiyohiyo iliingia makubaliano na jumuia ya Aga Khan, siwezi kuawa na mashaka kwa sababu Aga Khan inatoa huduma nyingi kubwa ambazo zinaziba pengo ambalo serikali imeshindwa kuliziba. Ukiona mfanyakazi mwenzako anapewa posho na mwajiri ujue anakazi ya ziada anayoifanya, chunguza kwanza kabla ya kulalamika.View attachment 2722258
Sitaki kuamini hili lakini uvumi huu umeeneea sana kiasi cha kwamba umenifanya niwe na shauku kutaka kujua yaliyojiri kwenye kusign hiyo memorandum maana naona kwa taarifa nilizokuwa nazo malalamishi ni kuwa serikali imeipa CCT na TEC nguvu kubwa ajabu na matokeo yake leo watu watu wanaanza kulalama kwa nini serikali haiipi nguvu hizo NGO zingine kama walivopewa na serikali.
Na under this memorandum seriali inatoa nafasi za kazi kwa Church candidates kwenye chuo chake cha Teachers Training College
Mfano kuna kipengele kinasema hivi:
Hakuna ubaya hata kidogo kwa serikali kusign hii memorandum lakini nataka kujiuliza je ni sawa serikali kufanya agreements kama hizi na taasisi za kidnini? na Je imefanya gareement kama hii na taasisi za Kisslam au wahindu au ni Kanisa tu ndio walifanya nao?
Je, hamuoni hapo mambo ya bilateral negotiations wakaachiwa wataalam wa mambo hayo?
Ninachoweza kukushauri ni ni haya:View attachment 2722258
Sitaki kuamini hili lakini uvumi huu umeeneea sana kiasi cha kwamba umenifanya niwe na shauku kutaka kujua yaliyojiri kwenye kusign hiyo memorandum maana naona kwa taarifa nilizokuwa nazo malalamishi ni kuwa serikali imeipa CCT na TEC nguvu kubwa ajabu na matokeo yake leo watu watu wanaanza kulalama kwa nini serikali haiipi nguvu hizo NGO zingine kama walivopewa na serikali.
Na under this memorandum seriali inatoa nafasi za kazi kwa Church candidates kwenye chuo chake cha Teachers Training College
Mfano kuna kipengele kinasema hivi:
Hakuna ubaya hata kidogo kwa serikali kusign hii memorandum lakini nataka kujiuliza je ni sawa serikali kufanya agreements kama hizi na taasisi za kidnini? na Je imefanya gareement kama hii na taasisi za Kisslam au wahindu au ni Kanisa tu ndio walifanya nao?
Je, hamuoni hapo mambo ya bilateral negotiations wakaachiwa wataalam wa mambo hayo?
Kwani mkataba wa bandari haupo ?Anayedai kuwa upo ndiye anayepaswa kuuweka hadharani na kuanza kuuhoji. Unavyoona umewekwa hapa? Kuna madai serious sana hapo ya malipo ya mamilioni..