Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

Issue uliyoleta ni kuhusu ukiukwaji wa katiba kwa serikali . . Kwa njia yoyote ile . . . Itatoa mali yake kuipa taasisi isiyokuwa ya kiserikali hapa ikiwa kanisa a.Sasa, kanisa kwa mujibu wako linapewa fedha na selikali kwa matumizi ya huduma za afya na elimu kwa jamii - kumbuka hospitali kama Peramiho au KCMC.Waislam - (msikiti) wakapewa majengo ya serikali kwa matumizi yao biwmafsi. . . Chuo cha kiislam. Unataka kusema katiba imevunjwa zaidi wapi?

Katiba ikivunjwa imevunjwa. Lazima uelewe ile action ya serikali kuwapa chuo ilikuwa ni Affirmative Action. Hapa Waislamu wamepewa kama minority, baada ya sheria ya nchi kuvunjwa.
 
Soma vizuri hii MOU ya Kanisa na Serikali ili uielewe vizuri. Hii ni tofauti kabisa na hizo unazosema wewe. Lazima ujue serikali ya TZ NDIYO inayofunds hii MOU na Kanisa. Kwa mujibu wa Katiba, serikali ilitakiwa isiwe na upendeleo wowote ktk masuala ya dini. Sasa huoni kama Katiba ya nchi imevunjwa?
Soma vizuri kabla ya kupost, ni foreign grants not your taxes.
In this memorandum the government recognized the important role played by the Churches in the social services sectorof the country, pledged to help the Churches by sharing with them GRANTS FROM FOREIGN GOVERNMENT and promised never tonationalize the churchinstitutions again.
 
Kwa haya ya Kanisa wale wanaoiponda Serikali ya CCM siku zote leo nawaona wanaitetea! mambo mazuri sana haya. Kumbeee! janja yake panya mimi kwisa tambua.

Wapi CCM imetetewa humu?
 
Kanisa lilinyang'anywa shule na hospitali zake enzi za nyerere mkatoliki,Nyie mlinyang'anywa nini?

Hakuna kitu kama hicho wacha kudanganya umma.

Shule zoote za Aga Khan zilikuwa za Kikatoliki.
 
Halafu wanajiuliza kwa nini Mwinyi alizabwa kibao diamond!
 
Hivi unajua serikali inalipa kiasi gani wanafunzi wanaoenda kusoma MUM pale Morogoro? As a matter of fact kiasi kikubwa cha fedha zinazoendesha MUM ni kutokana na fedha na fedha za serikali kwa wanafunzi wanaosoma pale.

Ni grants au loan? Kile chuo bado hakina vitu vingi sana ambavyo university inatakiwa iwe navyo. In comparison, hii MOU na Kanisa ni sawa na Sisimizi na Tembo.
Hii mistake kubwa sana ya Katiba iliyofanywa na serikali ya TZ. Hapa hamna Equality no more.
 
Sasa ndugu zangu tatizo ni nini hapa? kwani hayo makanisa na misikiti iko kwa ajili ya nani? Si watanzania wenzetu. Ubishi mwingine hauna hata maana ilimradi watu wajibishane tu. Sisi wote watz lakini tumekalia udini usio hata na maana.

Bora serikali iwape hao wa makanisa na misikiti kuliko hizo hela kuliwa na wajanja wasio jali kuhusu maisha yetu.
 
Ni grants au loan? Kile chuo bado hakina vitu vingi sana ambavyo university inatakiwa iwe navyo. In comparison, hii MOU na Kanisa ni sawa na Sisimizi na Tembo.
Hii mistake kubwa sana ya Katiba iliyofanywa na serikali ya TZ. Hapa hamna Equality no more.
Katiba imevunjwa wapi kaka? kuna ubaya katika mazingira yetu serikali kushirikiana na taasisi za kidini kuleta maendeleo?

Kwa kujadili hizi Memo za Kanisa na Serikali.
Mbona tumekuwa tunalalamika bila sababu za msingi ndugu zanguni?
 
...Ama kweli masikini mpe dini. Kwa mjadala huu, tutasahau kama tuna mgao mkali wa umeme, hakuna chakula cha kutosha ktk wilaya zilizoathiriwa na ukame na ufisadi ulioshamiri kila taasisi ya serikali.
 
Sasa ndugu zangu tatizo ni nini hapa? kwani hayo makanisa na misikiti iko kwa ajili ya nani? Si watanzania wenzetu. Ubishi mwingine hauna hata maana ilimradi watu wajibishane tu. Sisi wote watz lakini tumekalia udini usio hata na maana.

Bora serikali iwape hao wa makanisa na misikiti kuliko hizo hela kuliwa na wajanja wasio jali kuhusu maisha yetu.

Unajua tatizo lipo kubwa sana kwa viongozi wetu ambao hawajui sheria za nchi. Wanavunja Katiba ya nchi kwa ujinga wao.
 
Katiba imevunjwa wapi kaka? kuna ubaya katika mazingira yetu serikali kushirikiana na taasisi za kidini kuleta maendeleo?


Mbona tumekuwa tunalalamika bila sababu za msingi ndugu zanguni?

Serikali ilitakiwe isijuhusishe na upendeleo wowote ktk dini, rangi, kabila, kwa mujibu wa Katiba ya nchi. Hii MOU na Kanisa, ni tosha kuonesha serikali ilivyokuwa haina muelekeo na nchi hii. Katiba ya nchi imevunjwa kwa manufaa ya hizo taasisi za kidini.
 
Sasa ndugu zangu tatizo ni nini hapa? kwani hayo makanisa na misikiti iko kwa ajili ya nani? Si watanzania wenzetu. Ubishi mwingine hauna hata maana ilimradi watu wajibishane tu. Sisi wote watz lakini tumekalia udini usio hata na maana.

Bora serikali iwape hao wa makanisa na misikiti kuliko hizo hela kuliwa na wajanja wasio jali kuhusu maisha yetu.

Kanisa katoliki linapeleka hesabu zake Vatikan.
 
In comparison, issue ya chuo cha Morogoro ni ndogo sana kulinganisha na hii MOU. Hii MOU na Kanisa, ni payments ambazo zinatolewa kila mwaka na serikali. Sasa hizi institutions zote zinaendeshwa na serikali, kisheria Katiba imevunjwa. Katiba ya nchi inataka serikali isijuhusishe na upendeleo wowote na taasisi yoyote ya kidini. Sasa unajua TZ kuna dini ngapi? je hizo taasisi zengine zinalipwa na serikali sawa na hii MOU?
swala sio ishu ni ndogo au ni kubwa, tueleze katiba ilivunjwa kwa serikali kutoa majengo ya chuo cha tanesco? Na serukali kusaini mou na Imam Aghakhan je?
 
...Ama kweli masikini mpe dini. Kwa mjadala huu, tutasahau kama tuna mgao mkali wa umeme, hakuna chakula cha kutosha ktk wilaya zilizoathiriwa na ukame na ufisadi ulioshamiri kila taasisi ya serikali.

Hapa wanaoiponda serikali tuwaone kama huwa wanawaponda kweli au huwa danganya toto.
 
Back
Top Bottom