Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

Serikali ilitakiwe isijuhusishe na upendeleo wowote ktk dini, rangi, kabila, kwa mujibu wa Katiba ya nchi. Hii MOU na Kanisa, ni tosha kuonesha serikali ilivyokuwa haina muelekeo na nchi hii. Katiba ya nchi imevunjwa kwa manufaa ya hizo taasisi za kidini.
Unarudia hoja zile zile. Tujibu basi kupewa bure chuo cha Morogoro serikali haikuvunja katiba?
 
Unajua kwamba hiyo misaada ni loans? na unajua kwamba ni our taxes ndiyo inayolipa hiyo interest rate ktk hizo loans.
Sio kila msaada ni mkopo. After all, watu mnapiga kelele without facts and figures. Makanisa yanafanya mambo makubwa sana hasa kwenye elimu ya vyuo vikuu, hebu tuambie serikali imetoa kiasi gani kwenye ujenzi wa vyuo vyote vya SAUT, TUMAINI, ST JOHN etc.
 
Unadhani kanisa halina uwezo wa kuendesha hospitali zake?
pili,unajua maana ya MOU kisheria?
Tatu,Tupe ibara ya katiba URT,1977 iliyovunjwa?
Nne,tupe hospital,mashule na vyuo vinavyotoa huduma bora vya waislamu?
 
Sio kila msaada ni mkopo. After all, watu mnapiga kelele without facts and figures. Makanisa yanafanya mambo makubwa sana hasa kwenye elimu ya vyuo vikuu, hebu tuambie serikali imetoa kiasi gani kwenye ujenzi wa vyuo vyote vya SAUT, TUMAINI, ST JOHN etc.

Ukiisoma hii MOU na Kanisa hapo ndipo utakapojua kwamba hizo hela za kujenga hizo projects zinatoka wapi.
 
Big up Joka Kuu.

Hauzi kutenganisha mtu na huduma za lazima? Huduma hata kama zime letwa na nani watu hawa chagui.
Wamisionari ndio wa kwanza kuleta huduma kama elimu, mahospitali pamoja na huduma za kiroho.
Sasa hivi wamepanua hizo huduma kulingana na mahitaji ya watu.
Viongozi wote wa anzilishi wamesoma kwenye hizo taasisi. Iweje tuwe na mawazo ya kusema imependelewa.
Mpaka sasa hivyo kama ni huduma bado ni huduma na bora ukilinganisha na za serekali, Serekali lazima ikubali kwa sababu inapungziwa mzigo.
Angalia hata elimu shule bora ni hizo za taasisi . Utatengenasha vipi huduma hiza na jamii mimi naona badala ya kufikiria upendeleo
wa Dini tunge waunga mkono kwa maana wana harakisha maendeleo ya jamii. Tushindane kwa kutoahuduma bora na nzuri. Mbona waislamu hawaongelei watoto wanafanya vibaya sana kwenye Seminari zao?.
Shule nyingi za mwazo ni za taasisi za binfsi, Mahospitali e,g Bugando, KCMC, na hazi wabagui watu kwa dini?
Suala hili la udini lita watafuna watanzania tusipokuwa makini. Naona imewakalia baadhi kwenye mawazo hakuna lolote bila dini.
Dini ni maisha ya kiroho inayo mwelekaza mtu namna na njia ya kupita angali hapa dunia kueleka kwa muumba.
Ni ngeshauri taasisi ziruhusiwe kuendasha huduma za jamii. bila ya ubaguzi wa dini.
Ndugu zangu waislamu tuwe makini na mambo ya udini, tuki endekaza yatatutafuna, tusijifanye polisi wa kuitete serekali.
Kitendao cha kulaamu Maaskofu wa Arusha ni sawa na kwamba mauaji yale yalikuwa haiwa husu waislamu.
Bali zito ni kauli ya Maaskofu.
Mmejiweka sehemu ya Serekali. Hii ni hatari. Tuboresha hudama zetu za jamii mambo ya imani maadili mema tujenayo toka kwenye nyuba setu za ibada watu waone kwa matendo yetu si kwa maneno yetu. Ulimi ni kiungo kidogo lakini la weza angamiza tulinde maneno ya vinywa vyetu.
Tutafute ukweli na halisia badala ya kuparazi. Tusishabikie udini na viongozi walioko madarakani maana ni wa awamu tu.
Vita vya kiimani ni mbaya na mota hautazimika. Ndani ya familia moja kuna wasio na dini, wakristu na waislamu sasa hapo kazi sijue ianze ndani familia au kwa jirani.

Kama hakuna mtu aliyekuelewa, Basi mungu amekusikia na Hata siku ya kiama huna dhambi! Stay Blessed
 
Hivi nyinyi mnalinganisha Majengo ya Tanesco Morogoro na Thamani ya pesa au nyenzo ambazo serikali inalisaidia kanisa Continously?, Majengo ya Morogoro yalitolewa once, lakini Mou ya kanisa na serikali hayajaweka kikomo ni lini serikali itaacha kufanya hii kazi ya kanisa!.

By the way, hivi mnafahamu kwamba kwenye Mou ya serikali na kanisa kuna kipengele kinachoitaka serikali kuliombea kanisa misaada pindi inapotafuta misaada yake nje ya nchi, hususan nchi ya ujerumani?. sasa inakuwaje serikali ifanye kazi ya kanisa/kidini?

Tatizo siyo Mou, tatizo ni kwamba Mou ya serikali na kanisa inavunja katiba, kwa kuingiza vipengele ndani yake vinavyoifanya serikali kufanya kazi kwa niaba ya taasisi ya kidini, wakati katiba inatamka wazi kwamba serikali haina dini.

Kitu kingine ni kwamba Majengo ya Morogoro serikali iliyatoa kwa kujikosha tu baada ya waislamu kuiandama sana kuhusiana na mauaji ya Mwembechai na kelele za kunyimwa haki, na pia kelele hizi hizi za Mou ya serikali na kanisa
 
Unadhani kanisa halina uwezo wa kuendesha hospitali zake?
pili,unajua maana ya MOU kisheria?
Tatu,Tupe ibara ya katiba URT,1977 iliyovunjwa?
Nne,tupe hospital,mashule na vyuo vinavyotoa huduma bora vya waislamu?

Waislaam wayatowe wapi wakati wao hawana MoU na serikali?
 
Serikali ilitakiwe isijuhusishe na upendeleo wowote ktk dini, rangi, kabila, kwa mujibu wa Katiba ya nchi. Hii MOU na Kanisa, ni tosha kuonesha serikali ilivyokuwa haina muelekeo na nchi hii. Katiba ya nchi imevunjwa kwa manufaa ya hizo taasisi za kidini.
Unakubaliana na mimi Serikali imevunja katiba kwa kutoa majengo ya kwa ajili ya chuo chetu Morogoro?
 
quote_icon.png
By Popooo
Big up Joka Kuu.

Hauzi kutenganisha mtu na huduma za lazima? Huduma hata kama zime letwa na nani watu hawa chagui.
Wamisionari ndio wa kwanza kuleta huduma kama elimu, mahospitali pamoja na huduma za kiroho.
Sasa hivi wamepanua hizo huduma kulingana na mahitaji ya watu.
Viongozi wote wa anzilishi wamesoma kwenye hizo taasisi. Iweje tuwe na mawazo ya kusema imependelewa.
Mpaka sasa hivyo kama ni huduma bado ni huduma na bora ukilinganisha na za serekali, Serekali lazima ikubali kwa sababu inapungziwa mzigo.
Angalia hata elimu shule bora ni hizo za taasisi . Utatengenasha vipi huduma hiza na jamii mimi naona badala ya kufikiria upendeleo
wa Dini tunge waunga mkono kwa maana wana harakisha maendeleo ya jamii. Tushindane kwa kutoahuduma bora na nzuri. Mbona waislamu hawaongelei watoto wanafanya vibaya sana kwenye Seminari zao?.
Shule nyingi za mwazo ni za taasisi za binfsi, Mahospitali e,g Bugando, KCMC, na hazi wabagui watu kwa dini?
Suala hili la udini lita watafuna watanzania tusipokuwa makini. Naona imewakalia baadhi kwenye mawazo hakuna lolote bila dini.
Dini ni maisha ya kiroho inayo mwelekaza mtu namna na njia ya kupita angali hapa dunia kueleka kwa muumba.
Ni ngeshauri taasisi ziruhusiwe kuendasha huduma za jamii. bila ya ubaguzi wa dini.
Ndugu zangu waislamu tuwe makini na mambo ya udini, tuki endekaza yatatutafuna, tusijifanye polisi wa kuitete serekali.
Kitendao cha kulaamu Maaskofu wa Arusha ni sawa na kwamba mauaji yale yalikuwa haiwa husu waislamu.
Bali zito ni kauli ya Maaskofu.
Mmejiweka sehemu ya Serekali. Hii ni hatari. Tuboresha hudama zetu za jamii mambo ya imani maadili mema tujenayo toka kwenye nyuba setu za ibada watu waone kwa matendo yetu si kwa maneno yetu. Ulimi ni kiungo kidogo lakini la weza angamiza tulinde maneno ya vinywa vyetu.
Tutafute ukweli na halisia badala ya kuparazi. Tusishabikie udini na viongozi walioko madarakani maana ni wa awamu tu.
Vita vya kiimani ni mbaya na mota hautazimika. Ndani ya familia moja kuna wasio na dini, wakristu na waislamu sasa hapo kazi sijue ianze ndani familia au kwa jirani.
 
Haya mambo ndio yanatushushia hadhi waislamu,na uhakika huwakilishi waislamu kwa kauli hii

Kwani Mwinyi alikuwa anawasemea waislaam wote alipozabwa kibao?

Kama huna la kusema au huyajui soma hapa:

" We should remember that the sacred Mafia of the Vatican is united to the International Mafia, and that its members, diplomats and hierarchical Nuncios are exempt from civil laws. They are considered to be members of the State of the Vatican, and their credentials as ambassadors makes it easier for them to avoid being brought before civil court or incarcerated. Their diplomatic passports back them. Concerning such an important subject, and due to my brief articles, the best thing I can think of is to counsel you to read the following books, on which I also document myself. Concerning the Government of the United States and its Anti-Crime Departments, the book "Inside the Company C.I.A. DIARY, explosive Bestseller...

source:
http://www.bibliotecapleyades.net/vatican/vatican_mafia01.htm
 
Hivi nyinyi mnalinganisha Majengo ya Tanesco Morogoro na Thamani ya pesa au nyenzo ambazo serikali inalisaidia kanisa Continously?, Majengo ya Morogoro yalitolewa once, lakini Mou ya kanisa na serikali hayajaweka kikomo ni lini serikali itaacha kufanya hii kazi ya kanisa!.
Kwa hiyo kaka na sisi tuandae MoU yetu tuwe ngoma dro?
Kitu kingine ni kwamba Majengo ya Morogoro serikali iliyatoa kwa kujikosha tu baada ya waislamu kuiandama sana kuhusiana na mauaji ya Mwembechai na kelele za kunyimwa haki, na pia kelele hizi hizi za Mou ya serikali na kanisa
Sishangai hata kutusikia tukilalamika kuwa serikali inapendelea shule za kikristo ndio maana wanafaulu sana.Ndugu zanguni tukiendelea hivi wasilamu hatutafika mbali tutalalamika wenzentu wanapiga hatua.Fursa zipo sisi tunalala.Kama ni suala la MoU ni tatizo basi na sisi tuandae yetu maisha yaendelee
 
Unakubaliana na mimi Serikali imevunja katiba kwa kutoa majengo ya kwa ajili ya chuo chetu Morogoro?

Pale serikali wamefanya Affirmative Actions kwa sababu ya lawama kutoka minority. In comparison, Chuo cha Moro na hii MOU na Kanisa ni sawa na "Sisimizi na Tembo."
 
quote_icon.png
By Popooo
Big up Joka Kuu.

Hauzi kutenganisha mtu na huduma za lazima? Huduma hata kama zime letwa na nani watu hawa chagui.
Wamisionari ndio wa kwanza kuleta huduma kama elimu, mahospitali pamoja na huduma za kiroho.
Sasa hivi wamepanua hizo huduma kulingana na mahitaji ya watu.
Viongozi wote wa anzilishi wamesoma kwenye hizo taasisi. Iweje tuwe na mawazo ya kusema imependelewa.
Mpaka sasa hivyo kama ni huduma bado ni huduma na bora ukilinganisha na za serekali, Serekali lazima ikubali kwa sababu inapungziwa mzigo.
Angalia hata elimu shule bora ni hizo za taasisi . Utatengenasha vipi huduma hiza na jamii mimi naona badala ya kufikiria upendeleo
wa Dini tunge waunga mkono kwa maana wana harakisha maendeleo ya jamii. Tushindane kwa kutoahuduma bora na nzuri. Mbona waislamu hawaongelei watoto wanafanya vibaya sana kwenye Seminari zao?.
Shule nyingi za mwazo ni za taasisi za binfsi, Mahospitali e,g Bugando, KCMC, na hazi wabagui watu kwa dini?
Suala hili la udini lita watafuna watanzania tusipokuwa makini. Naona imewakalia baadhi kwenye mawazo hakuna lolote bila dini.
Dini ni maisha ya kiroho inayo mwelekaza mtu namna na njia ya kupita angali hapa dunia kueleka kwa muumba.
Ni ngeshauri taasisi ziruhusiwe kuendasha huduma za jamii. bila ya ubaguzi wa dini.
Ndugu zangu waislamu tuwe makini na mambo ya udini, tuki endekaza yatatutafuna, tusijifanye polisi wa kuitete serekali.
Kitendao cha kulaamu Maaskofu wa Arusha ni sawa na kwamba mauaji yale yalikuwa haiwa husu waislamu.
Bali zito ni kauli ya Maaskofu.
Mmejiweka sehemu ya Serekali. Hii ni hatari. Tuboresha hudama zetu za jamii mambo ya imani maadili mema tujenayo toka kwenye nyuba setu za ibada watu waone kwa matendo yetu si kwa maneno yetu. Ulimi ni kiungo kidogo lakini la weza angamiza tulinde maneno ya vinywa vyetu.
Tutafute ukweli na halisia badala ya kuparazi. Tusishabikie udini na viongozi walioko madarakani maana ni wa awamu tu.
Vita vya kiimani ni mbaya na mota hautazimika. Ndani ya familia moja kuna wasio na dini, wakristu na waislamu sasa hapo kazi sijue ianze ndani familia au kwa jirani.


Soma: JE TUNAJIFUNZA KUTOKA KWA WAKATOLIKI
 
Waislaam wayatowe wapi wakati wao hawana MoU na serikali?
Mhh sasa tunajiabisha ndugu zangu,kujenga shule zetu laizma tuwe na MoU? jamani jamani muogopeni Mungu.Tuseme ukweli dada Faizah ni wapi umeona serikali imewajengea wakristo shule au chuo? nimewashuhudia wakristo wakifanya fundrising ya kujenga shule zao,sisi tunafanya fundrising ya kumtoa mwali
 
Kwa hiyo kaka na sisi tuandae MoU yetu tuwe ngoma dro?

Sishangai hata kutusikia tukilalamika kuwa serikali inapedelea shule za kikristo ndio maana wanafaulu sana.Ngugu zanguni tukiendelea hivi wasilamu hatutafika mbali tutalalamika wenzentu wanpiga hatua.Fursa zipo sisi tunalala.Kama ni suala la MoU ni tatizo basi na sisi tuandae yetu maisha yaendelee

Unakumbuka issue ya OIC ilivyopigwa vita kwa sababu ilikuwa inavunja "Katiba" Sasa hapo ndipo unapoona kuna double standard ktk viongozi wa nchi. Sasa hiyo OIC ilikuwa inabenfit nyingi za kiuchumi kwa minority, kwa nini ilipigwa vita?
 
FF unaanza kuboa na copy and paste zako.
Tunazijua, tumezichoka.

Ni rahisi sana kuwadanganya waumini kwenye nyumba za ibada. Dini zenyewe za kiarabu na istrael
 
Kwa hiyo kaka na sisi tuandae MoU yetu tuwe ngoma dro?

Sishangai hata kutusikia tukilalamika kuwa serikali inapedelea shule za kikristo ndio maana wanafaulu sana.Ngugu zanguni tukiendelea hivi wasilamu hatutafika mbali tutalalamika wenzentu wanpiga hatua.Fursa zipo sisi tunalala.Kama ni suala la MoU ni tatizo basi na sisi tuandae yetu maisha yaendelee

Umejipachika ID jina la Kiislaam uonekane Muislaam. Janja yake panya...
 
Back
Top Bottom