AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,047
Kweli Dr.W.Slaa wewe ni mtu makini sana. Ahsante kwa darsa japokuwa kuna watu kazi yao ni kujaribu kukupiga propaganda za kila aina lakin mpaka leo wanahaha kwani m naona siku hadi siku unazidi kushine na kuwa tishio kwa maCCM na washirika wao masalia.
"Mungu akisema ndiyo hakuna mwanadamu yeyote mwenye pumzi na nyama wa kusema hapana"
"Mungu akisema ndiyo hakuna mwanadamu yeyote mwenye pumzi na nyama wa kusema hapana"
Last edited by a moderator: