Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

Kama huu uchochezi ndiyo zingekuwa huduma za jamii, basi Tanzania tungekuwa tumeshafanikiwa kuutokomeza ukimwi.

Hiyo ndiyo kazi yao maswala ya huduma za jamii wao hawana haja nazo! Wao haja yao ni kuona dunia nzima cku moja wanaifanya kuwa ya Kiislamu iwe kwa majambia, mitutu au hata mabomu. Kazi kweli kweli!
 
serikali iache mara moja kufadhili uendeshaji wa shule na hospitali za makanisa. iendeleze hospitali zake na zahanati zilizopo kila kona. MOU iliyopo ni ufisadi mkubwa. ilianzishwa na lowassa na profesa mahalu akaiandika. wote wana tuhuma za ufisadi.
 
Kweli usanii una mwisho wake!

Mara Serikali ya Ujerumani, mara serikali ya TZ ilikuwa ni observer tu, mara ni Shirika la MISEREOR (haliwezi kutoa idadi ya hayo mabilioni kila mwaka) , sasa mnasema kuwa ni mashirika mengi!

Je, unaweza kututajia hayo mashirika mengine?

Nyie wagumu wa kuelewa. Dr. Slaa kataja shirika ya Dhehebu lake, HAKUTAJA ya Warutheri, Waanglikana, n.k wanaotoa misaada ktk madhehebu hayo hapa nchini; kwa nini yasiwe mashirika mengi? Nadhani mna utapiamlo wa kifikra na kiakili ndo maana mna uelewa finyu!
 
qwi qwi qwi qwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii, teh teh teh, qwi qwi qwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii, yheuuuuwi! ukolon wa dini ni mbaya sana, afadhali hata ukoloni wa kiuchumi. eti mtu anakataa kwenda kusoma shule flan kisa eti kuna mti wenye umbo la alama ya jumlisha(+) umewekwa hapo kwenye hiyo shule!!!! jamani waafrika tuna nini vichwani mwetu??!!
Mkuu nawe unajua kufurahisha jamvi. Hata mimi nimecheka ingawa alama ya Msalaba ninaiheshimu. Unashangaa msalaba wakati mswahili anaweza kusimama katikati ya barabara huku magari yakiwa yanapita pande zote bila kuwa na hofu lakini akikuta hirizi au ndege mweusi amekufa barazani kwake inakuwa kama ni kiama kimefika. Haya ndiyo mambo yetu waafrika. Ukienda kwa wazungu/waarabu/wachina na wenyewe jinsi wanavyofanya mambo mengine utajiuliza hivyohivyo ...hivi hawa watu wana vitu gani vichwani mwao.
Hawana tofauti sana na wewe unaeabudu vitu vya asili...yaleye ya nyani kucheka kundule...
 
Soma hapo chini Kikwete anavyosema. Halafu hilo swali ulielekeze kwake...Yeye ndiye Mkuu wa nchi hii. Kwa katiba yetu , ukimuondoa muuumba, Kikwete ndiye anayefuata kwa kuwa na mamlaka makubwa. Soma kwa makini usijifanye zuzu...
http://www.dailynews.co.tz/index.php/local-news/6881-kikwete-pledges-support-to-holy-ghost-fathers

kaka Sweke 34, asante sana ila sku nyingine hawa usiwatafunie sana wanazidi kuwa vibogoyo mkuu. wape tu hint inatosha, wakatafute wenyewe. mathalani waambie tu kuwa "kasomeni magazeti mtaupata ukweli". hawa ukiwapa kila kitu watazidi kukaa vibarazani na kula tende, hawataki kujitesa. kalamu ipo mvunguni hawataki kuinama kuichukua, wanataka kusimama tu wima na kalamu itoke uvunguni kimiujiza(kijinijini labda) itue viganjani mwao.
 
Sasa MoU na wewe tumuamini nani? Ndio maana hii issue inabidi ikaguliwe tujue ukweli. Uliona wapi fisadi akakubali ufisadi wake? Atakuja na logical reasoning na kufanya wegine wote hawajasoma na hawana akili! Endelea kuamini unavyoamini lakini fact kwangu ni kwamba huu ni ufisadi unless proven otherwise with supporting details sio blaa blaa zako.

Tatizo lenu ni kama hata shule hamjaenda maana mnabisha hata vitu ambavyo hamuelewi. Kawaida sheria yoyote ile au makubaliano yoyote ya kisheria hayaanzi kufanya kazi mpaka zitungwe kanuni na taratibu za namna ya sheria au makubaliano hayo yafanye kazi. Sasa kwenye MOU kuna maelezo ya jumla ambayo yanahitaji ufafanuzi kwa kutumia kanuni na taratibu zake namna inavyotekelezwa. Tatizo lenu mnadhani mnaielewa MOU kumbe hata hamuielewi mnapiga kelele tu! Nadhani badala ya kuwalalamikia wakristo muilaumu serikali dhaifu ya CCM ambayo kwanza inategemea kuwa ombaomba ili ishirikiane na makanisa kutibu na kuajiri watu wake. Lakini pia muiambie serikali ya CCM iwape maelezo mnayoyataka. Nashangaa mnawalaumu wakristo kana kwamba ndio walioiomba serikali. Ndo maana pamoja na kelele zenu zote serikali ya CCM iko kimya maana inajua hamna hoja za msingi ni kelele tu na malalamiko yasiyo na tija kwa taifa! Mtafurahi sana watanzania wakiangamia kwa kukosa matibabu! Wewe unayesema ni ufisadi ndo unatakiwa kutoa uthibitisho wa ufisadi huo. Au kaiulize serikali ya JK, wakueleze mambo haya kama yana ufisadi au la!
 
Ndugu yangu Moshdar, ni kweli waislamu wanaujua ukweli ila tu tamaa, ubinafsi na kutaka kuleta udini ktk nchi hii ndo vinawasukuma kuwachochea vijana ambao hawajui hata hiyo MOU ilikujaje licha ya ukweli kuwekwa bayana. Lakini hawa ni wa kusamehewa tu maana hawajui walitendalo. Kisasi ni juu yake Bwana; kwa hiyo kisasi tumwachie yeye aliyezifanya mbingu na nchi.

Mkuu Mpenda.Haki, kati ya mafundisho ya wakristu ambayo nayaheshimu ni hili la kutolipiza ubaya kwa baya. kwamba ukipigwa shavu moja mgeuzie na la kushoto,kwamba mtu akikunyanganya shati moja mwachie achukue na la pili; hilo nalikubali mkuu na kwa hakika nimewaona wakristu wakionesesha hilo kwa vitendo kwa siku hizi. uoga wangu mkuu ni kuwa huu upole wa wakristu utakuja ku-fire back on to them. dallili zinaonesha kuna siku wakristu wataamka na watakachokutana nacho ni majambia yanaungukia juu ya shingo zao. itakuwa too late. ni heri kushtuana na kuandaana mapema. kama huniamini jifanye mwislamu siku moja moja za ijumaa ingia misikitini na sikiliza mahubiri yao, utakuja kuniambia. mimi nimeshaingia humo mara nne na niliyoyaskia ndo yalinifanya kwanza niwe atheist lakini pia na mimi ninunue kabisa jambia langu tiyar kwa mapambano. nikajisemea potelea mbali, Siwezi kufa kibudu mimi, if I must die let me nobly die mkuu[/QUOTE]

Walio upande wetu ni wengi kuliko walio upande wao. Tuna Jeshi kubwa la malaika upande wetu na mara zote walio upande wa Mungu hushinda. Tusiogope. Kumbuka Mungu anasema: Bwana asipoulinda mji wanaokesha kuulinda wanafanya kazi bure. Tumuachie Mungu ulinzi wetu!
 
Mkuu nawe unajua kufurahisha jamvi. Hata mimi nimecheka ingawa alama ya Msalaba ninaiheshimu. Unashangaa msalaba wakati mswahili anaweza kusimama katikati ya barabara huku magari yakiwa yanapita pande zote bila kuwa na hofu lakini akikuta hirizi au ndege mweusi amekufa barazani kwake inakuwa kama ni kiama kimefika. Haya ndiyo mambo yetu waafrika. Ukienda kwa wazungu/waarabu/wachina na wenyewe jinsi wanavyofanya mambo mengine utajiuliza hivyohivyo ...hivi hawa watu wana vitu gani vichwani mwao.
Hawana tofauti sana na wewe unaeabudu vitu vya asili...yaleye ya nyani kucheka kundule...

mkuu nakubaliana na wewe isipokuwa tu tunatofautiana kwenye kitu kimoja..wewe unaamini two wrongs can make it right, mimi najua two wrongs can not make it right. mimi nataka tuuchuke uchafu wa babu zetu tuusafishe tupate chetu kizuri, wewe unataka tuvitupe kabisa vya babu zetu tuchukue vya mwarabu na mzungu vi-replace vile vya babu zetu. isingekuwa tabu anyway, shida inakuja pale ambapo hivyo mnavyovichukua/au mlivoletewa kwa hao wakoloni wenu vimegeuka kuwa chanzo cha mifarakano na kuchinjana kati yenu. fumba macho na lifikirie bara nzima la afrika, niambie ni waafrika wangapi wanateketea sababu ya hizi chuki zenu zenye kiini kwenye hizi dini za kikoloni? na dallili zote zinaonesha no possibility of compromise at all, si leo si kesho.
 
qwi qwi qwi qwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii, teh teh teh, qwi qwi qwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii, yheuuuuwi! Ukolon wa dini ni mbaya sana, afadhali hata ukoloni wa kiuchumi. Eti mtu anakataa kwenda kusoma shule flan kisa eti kuna mti wenye umbo la alama ya jumlisha(+) umewekwa hapo kwenye hiyo shule!!!! Jamani waafrika tuna nini vichwani mwetu??!!


acha mambo ya kijiweni. Nimetaja msalaba na picha ya bikira maria kichwani kwa mgonjwa. Ndugu yangu kila dini ina mafundisho yake. Sijataja shule. React like a person who went to school. Hit on the points ive presented.
 
Mkuu Mpenda.Haki, kati ya mafundisho ya wakristu ambayo nayaheshimu ni hili la kutolipiza ubaya kwa baya. kwamba ukipigwa shavu moja mgeuzie na la kushoto,kwamba mtu akikunyanganya shati moja mwachie achukue na la pili; hilo nalikubali mkuu na kwa hakika nimewaona wakristu wakionesesha hilo kwa vitendo kwa siku hizi. uoga wangu mkuu ni kuwa huu upole wa wakristu utakuja ku-fire back on to them. dallili zinaonesha kuna siku wakristu wataamka na watakachokutana nacho ni majambia yanaungukia juu ya shingo zao. itakuwa too late. ni heri kushtuana na kuandaana mapema. kama huniamini jifanye mwislamu siku moja moja za ijumaa ingia misikitini na sikiliza mahubiri yao, utakuja kuniambia. mimi nimeshaingia humo mara nne na niliyoyaskia ndo yalinifanya kwanza niwe atheist lakini pia na mimi ninunue kabisa jambia langu tiyar kwa mapambano. nikajisemea potelea mbali, Siwezi kufa kibudu mimi, if I must die let me nobly die mkuu

Walio upande wetu ni wengi kuliko walio upande wao. Tuna Jeshi kubwa la malaika upande wetu na mara zote walio upande wa Mungu hushinda. Tusiogope. Kumbuka Mungu anasema: Bwana asipoulinda mji wanaokesha kuulinda wanafanya kazi bure. Tumuachie Mungu ulinzi wetu![/QUOTE]

Mkuu nipe mfano wa nchi moja tu duniani walikofarakana theists, Mungu wa upande mmoja akawapigania wa huo upande mmoja na sasa mambo ni shwari, theists wapo pamoja kama ndugu. sitaki miwili, nipe mmoja tu........

BTW natoka kidogo mkuu ntarejea usiku tuendeleze mjadala ili tuwafungue watu wetu. kidokidogo waafrika watajitanbua tu, ndo faida kubwa ya huu utandawazi
 
acha mambo ya kijiweni. Nimetaja msalaba na picha ya bikira maria kichwani kwa mgonjwa. Ndugu yangu kila dini ina mafundisho yake. Sijataja shule. React like a person who went to school. Hit on the points ive presented.

hapo red, Dini zipi na mafundisho yapi? haya mafundisho kuwa mkwawaue waafrika/watanzania wenzenu ndiyo unayoyasema au kuna mafundisho mengine?

hapo blue, eti "ndugu yangu", wewe wa kuniita mimi ndugu yako wewe wakati umeambiwa uniue kwa jina la Mungu wako na unakubali???!! unampaka nani mafuta kwa mgongo wa chupa hapa ili nijisahau unimalize vizuri au? kwa taarifa yako mimi nami jambia langu lipo tiyari, kamwe sintakugeuzia shafu la upande wa pili.
 
mmmmmmhhh! sikuelewi unalenga nini! nikuache kwa sababu siyo siri upeo wako ni mdogo. kubishana na wewe is wastage of tym. i better reserve my energy for other developmental duties rather than arguing with u! u r always off topic. this shows how primitive and illiterate u r
 
Nimecheka sana mkuu. Ni kweli hatuoni kwenye historia mababu zetu wakiwa kwenye vita vya dini lakini ni fact kwamba waliuana wenyewe kwa wenyewe kwa sababu ya imani potofu.
Ni halali kwa watu kuuawa katika siasa kwa sababu wanapigania maslahi fulani?
Inachopigania dini yangu inaonekana kutoka kwenye matendo yangu. Kama ni kuhubiri amani/upendo/kusaidia jirani/yatima/wajane ,kuondoa madhila/malazi/ukosefu wa elimu kwa kuweka huduma husika za jamii nk au kama ni kuhubiri chuki,vita,kuchoma nyumba za watu za ibada, malalamiko , visasi nk utayaona yote kupitia matendo.
Kwani unafikiri ukifuta hizi dini za Uislam na Ukristo ukabaki na waabudu jiwe/mlima/majoka/mibuyu ndiyo utabaki salama kwa mazingira yetu ya sasa?
Solution ni ndogo tu. Kuheshimu anachoabudu mwenzako. Hata kwenye siasa ni hivyohivyo kila mtu na chama chake, hata kwenye Elimu ni hivyo hivyo hatuwezi kusoma wote kitu kimoja, hata kwenye mpira ni hivyo hivyo hatuwezi wote kushabikia timu moja. Dunia sasa imekuwa kijiji na ni lazima kuvumiliana...Wale dini zao zinazowaruhusu kutishia watu au kuua watu ,akili yetu iliyokuwa brainwashed na elimu ya kikoloni inatuambia wanafanya uhalifu na wanastahili kuchukuliwa hatua na vyombo husika. Sheria zetu(tulioziazima kwa wazungu) ndiyo zinasema hivyo. Wewe unajua na mimi ninajua. Ndiyo maana kuna baadhi ya viongozi wa kidini wapo rumande sasa hivi.

Mkuu acha tu hii mambo inachekesha halafu inachanganya sana.

hapo kwenye red, ni heri kuuliwa kwa sababu za kisiasa kuliko za kidini. kwenye siasa mtu unapigania maslahi fulani yanayojulikana, hata ukifa unakufa kishujaa, hata ukiteseka unateseka kishujaa(kama mzee mandela). Je kwenye dini unapigania maslah gani?

Hapo blue, ni kweli mkuu siasa, mpira elimu kila mmoja anafuata chake. tatizo kwenye hizi dini zenu kila mmoja hafuati chake. mnajichanganyachanganya tu hamweleweki. Kwa mfano wote ninyi mkiulizwa Mungu ni wangapi kila mmoja atasema Mungu ni Mmoja tu. lakini mathalani wewe nikikuuliza kama Mungu ni Mmoja mbona yuke flani yeye Mungu wake anamfuata msikitini na wewe kwa nini unamfuata kanisani, kwa nini msimfuate pahala pamoja nyote maadamu Mungu ni mmoja?! najua hapo jibu lako litakuwa ni nini, utasema....aaah, unajua Mungu wangu ninayemfuata si yule anayemfuata yule, Mungu wangu ndye wa ukweli wa yule si wa ukweli, hapo utanipa na data na ushahid kuthibitisha Mungu wako ndo wa ukweli. sasa subiria niende nikamwambie yule mwingine kuwa eti wewe Sweke 34 unasema eti Mungu ni yule unayemfuata wewe na si yule anayemfuata yeye, weeeeeeeeeeeeeeee,, thubuti yake!! na hata kama ni wewe mtu akuambie eti Mungu wako si wa kweli, weeeeeeeeeeeeeee! thubutu!!

Lakini bado mnashikilia Mungu ni mmoja, yan theists you are too a contravercial people.
 
mmmmmmhhh! sikuelewi unalenga nini! nikuache kwa sababu siyo siri upeo wako ni mdogo. kubishana na wewe is wastage of tym. i better reserve my energy for other developmental duties rather than arguing with u! u r always off topic. this shows how primitive and illiterate u r

owky, after all i DON THINK it would be possible for a brainwashed brain to discuss issues with a clean, free and emancipated brain, good day broda.
 
Walio upande wetu ni wengi kuliko walio upande wao. Tuna Jeshi kubwa la malaika upande wetu na mara zote walio upande wa Mungu hushinda. Tusiogope. Kumbuka Mungu anasema: Bwana asipoulinda mji wanaokesha kuulinda wanafanya kazi bure. Tumuachie Mungu ulinzi wetu!

Mkuu nipe mfano wa nchi moja tu duniani walikofarakana theists, Mungu wa upande mmoja akawapigania wa huo upande mmoja na sasa mambo ni shwari, theists wapo pamoja kama ndugu. sitaki miwili, nipe mmoja tu........

BTW natoka kidogo mkuu ntarejea usiku tuendeleze mjadala ili tuwafungue watu wetu. kidokidogo waafrika watajitanbua tu, ndo faida kubwa ya huu utandawazi
Fine..ila ukirudi jaribu kujikita kwenye mada husika hapo juu. Mambo ya kuna Mungu au hayupo yana threads zake zimeshaanzishwa kitambo. Mtafute Kiranga atakusaidia.
 
Nakumbuka ilivyotokea kubomolewa kwa dakika kisha imebaki historia kama picha hiyo hapo chini katika jiji la New York ground zero. Tusiombe haya yatokee, nilishuhudia kwa macho yangu live hadi dege la pili linavyoingia kwenye mnara wa pili, bora kusikia kuliko kushuhudia. Ilikuwa kihoro, watu walikata tamaa, hakuna pa kujishika. Wengine wanarukia majini kuogelea mkondo wa Hudson river kuvukia Jersey City. Ilikuwa blaa tupu.

Ulishuhudia kwa kuona kwenye TV live?

Au ulikuwa karibu na tukio?

Umesema minara ilibomolewa? kwa ndege au mabomu?

 
Last edited by a moderator:
Hapana Suala hilo ni Dr Slaa kama kiongozi wa siasa wa Kisiasa, muhasisi wa MoU na kama kiongozi wa kiroho anayetetea haku na kupingana na dhulma na kama mtoa mada hii. Nilibainisha kuwa alitakiwa aende mbali zaidi katika historia yake na kusema sababu hizo mpaka leo zipo valid na kama hazipo valid alitakiwa alieleze kanisa liache dhulma .

slaa ni mwanasiasa sawa lakini hatekelezi sera yoyote ya nchi kwa sasa. anachofanya slaa kwa sasa ni kukuomba ridhaa yako ili awe mtekeleza sera wa nchi hii na hapo utakuwa na haki ya kumhoji juu ya utekelezaji wa sera flani ikiwemo MoU. Tatizo lako wewe flani kapiga kelele mwizi huyooooo badala ukimbize mwizi wewe unakimbiza alaiyepiga kelele za mwizi. halafu si ajabu ukute na wewe serikali iliyopo madarakani uliipigiaga kura ya ndiyo vizuri tu na hata kodi za serikali si ajabu unalipaga vizuri tu, laKINi kuihoji serikali yako kwa mambo mbalimbali ambayo huridhiki nayo.............aaaaaaaaaah, hilo hutaki, umeng'ang'ana tu na dini za waarabu.

hivi ngoja nikuulize kitu cha utani tu lakini.... ukizingatia 80% ya wa tz ni wakulima wa jembe la mkono litumialo nguvu nyingi za msuli wa binadamu, hivi ukienda shamba utaweza kulima kweli na hayo manguo mengi namna hiyo uliyojitundika mwilini kwenye hiyo avator yako? sasa ikiwa wewe upo na manguo mengi hivyo na mke wako naye manguo mengi hivyo watoto wako nao manguo mengi hivyo je mtalima saa ngapi mpate maendeleo hasa kama nguo hizo ni amri ya dini (Mungu) kuwa zisivuliwe? wenzako kule kwenyewe wanavaaga hivyo, wanatandika mkeka wanakaa kula tende huku wakijua visima vya dizeli vinatema kama kawa. nyie je? hasa nyie wenzangu na mimi wa huku vijijini?

acheni utani vaeni bukta tuchape kazi tupate maendeleo..
 
Tatizo lenu ni kama hata shule hamjaenda maana mnabisha hata vitu ambavyo hamuelewi. Kawaida sheria yoyote ile au makubaliano yoyote ya kisheria hayaanzi kufanya kazi mpaka zitungwe kanuni na taratibu za namna ya sheria au makubaliano hayo yafanye kazi. Sasa kwenye MOU kuna maelezo ya jumla ambayo yanahitaji ufafanuzi kwa kutumia kanuni na taratibu zake namna inavyotekelezwa.

Na wewe hata sijui umesomea kitu gani cha kujitapa Mr know it all?
 
Fine..ila ukirudi jaribu kujikita kwenye mada husika hapo juu. Mambo ya kuna Mungu au hayupo yana threads zake zimeshaanzishwa kitambo. Mtafute Kiranga atakusaidia.

mKUU, sina tatizo na hilo kaka, tatizo ni kuwa hamtakaa muache kuchukiana na hata kuuana kama hamtajibu hiyo concern hapo kwenye red. hii concern ya oooh MoU oooh ivunjwe ni scapegoat tu. wenzako wanachohoji hasa si MoU bali ni hicho hapo kwenye red. hivi kama ingekuwa tatizo ni MoU, haya MAELEZO YOOOOOOOOOOOTE TENA YA KITAALAMU mliyotoa huku bado tu hayajajibu hizo cocerns zao? mbona kila mkifafanua na kila ufafanuzi wenu unavyozidi kuwa correct ndivyo nao wanavozidi ku-grow militancy?! hapa kaka MoU SIYO ishu, ishu hapa ni DINI, ishu ni kuwa ni NI MUNGU yupi wa ukwel, ndo ishu hiyo, wala usiJIKOMAZE misuli bure kufafanua MoU. wee hawa huwajui vizuri wewe!
 
SIELEWI MAMBO YAFUATAYO;
1- ndugu zanguni. slaa alitaja bakwata mwanzo mwa maelezo yake. hakueleza hata chembe bakwata waliachwa wapi kwenye saini za makubaliano.
2- Kama shule na hospitali za taasisi za dini zimerudishwa, kwa nini mchango wa serikali uwe endelevu!?
3- vjapo shule na hospitali hazizuii waislamu kutbiwa au kusoma, kitandani panapo wekwa msalaba na muislamu haamini msalaba, kisaikolojia mgonjwa muislamu atakua salama kweli!?
4- hii MOU haina mwisho?
5- hamuoni kuwa serikali ni baba. baba anapowezesha baadhi ya watoto wake na kuacha wengine si anafanya baadhi waishi vizuri wengine wabaki maskini!? chuki na uhasama m iongoni mwa hawa watoto vitakosekana?
6- je pana haja kwa serikali kuingia katika MOU nyingine n waislamu ili nao shule na hospitali zao zifadhiliwe na serikali?
7- kwa nini slaa ametaja michango ya ujerumani lkn ya serikali haitaji!?
8- kweli slaa muanzilishi wa MOU inawezekana alikua hajawahi iona bali ameiona hapa JF!?

ni hayo tu

Absolutely! Hapa kuna maswali mengi yanahitaji majibu mazito kutokana na maelozo ya Padri Slaa.
Hoja ya Slaa kwamba madhumuni ya MoU eti ni kutokana na majengo ya huduma za kijamii ya madhehebu ya dini (kanisa) yaliyotaifishwa yalikosa huduma ya serikali na kupelekea kuwa magofu (machakavu) na hivyo yarejeshwe kwa madhehebu husika ili yaudumiwe. Sasa inakuaje tena serikali hiyo hiyo eti itoe pesa zake kusaidia makanisa? Kwa maana hapa tulitarajia kuona kanisa ambalo ndio lenye uwezo na nia ya kuyaendeleza majengo yake litoe pesa (msaada) kwa serikali.
 
Back
Top Bottom